Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Shanga ni urembo lakini mbali na urembo ni chachu ktk mapenzi kwani humwongezea mwanamume mshawasha, raha ya shanga uweze kuzibagua kwa taratiibu huku ukitumia kidole kimoja cha mwisho na dole gumba bac hapo unaweza msababishia mwanamke mtekenyo fulani hv unaoongeza hisia zake, mimi hua nikimkuta mwanamke amevaa shanga nampatia zawadi ya kumkojoza
 
Shanga ni urembo lakini mbali na urembo ni chachu ktk mapenzi kwani humwongezea mwanamume mshawasha, raha ya shanga uweze kuzibagua kwa taratiibu huku ukitumia kidole kimoja cha mwisho na dole gumba bac hapo unaweza msababishia mwanamke mtekenyo fulani hv unaoongeza hisia zake, mimi hua nikimkuta mwanamke amevaa shanga nampatia zawadi ya kumkojoza

Hahahahaa apo mwisho mechekesha sana mimi
 
BUNDUKI BILA YA RISASI INAUA KWA MSHITUKO KWANI WENGINE WANA PRESHA YA KUPANDA AU KUSHUKA AU WE UMEKUSUDIA BUNDUKI GANI:flypig:
 
Zamani zilikuwa na thamani siku hiz uko baa unafanya yako na wife linakuja jamaa kajaza mkononi linapiga promo biashara sasa mwenye akil zake anaweza kununua bidhaa hiyo baa tena mbele za watu ambao tayar akili za usiku zishakuwa mixing
 
Shanga zimpate mwanamke anayejua kunyonga na MWANAUME anayejua kuzichezea kwa ulimi. Otherwise ni urembo tu kama hereni
Siku hizi wanavaa gold na silver.....au shanga za rangi ya gold na silver
 
Wakuu....kwema?

Hivi mwanamke akivaa shanga kiunoni, ni ishara ya nini? Je, anataka nini?

Nimesikia sikia uvumi kuhusu maana ya shanga kiunoni, nimeona nije jikoni huki kabisa nipate mlo murua!

Tuelezane.


anza kwa kuelezea huo uvumi uliyousikia then watu wazima tumwage data hapa
 
Nakumbuka mada kama hii imewahi kujadiliwa hapa kitambo kidogo.... Well, mimi bado nasema kuwa kikuku kina maanisha kitu fulani... na anayejipamba kwa kikuku huwa analengo la kufikisha ujumbe kuwa mambo fulani hapo kwake ni ruksa...!

Sio kweli dada kuna watu kibao wanavaa vikuku hawana hizo tabia, mie mwenyewe ninavitupiaga some times lakini sijawahi hata kujalibu kufanya hivyo ila kuna jirani yangu mmoja anavipinga kweli na kuvitafsiri kama unavyotafsiri wewe, anafanya mambo hayo kama hana akili nzuri maana ina fika wakati tuajiuliza sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom