Urembo wasabisha mauti kwa ndoa changa

Urembo wasabisha mauti kwa ndoa changa

kila kitu wanabandika tu, kucha wanabandika, kope wanabandika, makalio wanabandika.....na sisi tutaanza kubandika naniliu....mtashangaa mji mzima kila mtu saizi ya punda!
 
kila kitu wanabandika tu, kucha wanabandika, kope wanabandika, makalio wanabandika.....na sisi tutaanza kubandika naniliu....mtashangaa mji mzima kila mtu saizi ya punda!
Ha ha ha!
Ya punda mzee!
Utapata mada kesi, ile ya IST Bukoba ikawa cha mtoto!
 
Daah so sad,hivi nyie wadada na hayo makucha ya mikononi mnachamba vipi?,hamjiumizi kweli? Teh teh teh.
 
Nyamgulu u can't be serious
Why not sasa bibie. Kwanza your name itself inaashiria hotness ya hali ya juu!
I have imagined vitu vingi tu nawewe. Was a secret admirer...! Now sio secret tena, just an admirer. Pia sifagilii fakeness!
 
Huu urembo wa kubandika sijui kope kucha ulishanipita pembeni....

Afadhali yako maana hata Uislamu urembo wa design hii umekemea kabisa, ila mwanadamu jeuri sana, hasa wanawake. Sasa mnaposema eti kuboresha mwonekano wa kucha; Jamani!! kwani kucha alizokupa MUNGU zina nini? Halafu mm wenye kucha za bandia huwa nawaona kinyaa sana. Utadhani jini na siyo binadamu. Wanawake ridhikeni na namna Mungu alivyowaumba!
 
Mi ni mrembo ila sipendi haya makitu kabisa

Bora unavojijua kuwa u mrembo.maana Mungu alivokuumba yapaswa umshukuru..mi naona wamajisumbua sana.Huwa najiuliza wanawezaje kufua na kucha zile kama jini
 
Inna li Llahi wa Inna Illayhi Rajiun.

Poleni sana wafiwa.
 
Nikiwa kama mmoja wa wadau kwenye Dunia ya urembo nimesikitika sana na hii taharifa. Kama kweli niliyoyasoma kutoka kwenye hili gazeti la Mwananchi basi ni hatari sana na imenigusa sana...pole kwa familia husika!.

Lakini hata hivyo ningeshauri hiyo familia ifanye mambo yafuatayo-:
1. Walipeleke hili swala polisi
2. Waitafute hiyo Salon iliyotoa huduma kwa marehemu na wajiridhishe pasipo na shaka kuwa ni kweli matatizo ya marehemu yalianzia hapo.
3.Watafute wakili mzuri then ili swala liende mahakamani. Kama itakuwa ni professional salon basi wahakikishe wanalipwa stahiki zote kulingana na sheria za mahakama zetu...na ikiwa ni hizi salon za uchochoroni au za vibarazani kama pale Mwenge basi wahakikishe hicho ki salon kinafungwa na huyo muhudumu aliyesababisha hayo matatizo kwa marehemu basi anapata mvua za kutosha na aozee jela. IMENIUMA SANA!!
 
Nikiwa kama mmoja wa wadau kwenye Dunia ya urembo nimesikitika sana na hii taharifa. Kama kweli niliyoyasoma kutoka kwenye hili gazeti la Mwananchi basi ni hatari sana na imenigusa sana...pole kwa familia husika!.

Lakini hata hivyo ningeshauri hiyo familia ifanye mambo yafuatayo-:
1. Walipeleke hili swala polisi
2. Waitafute hiyo Salon iliyotoa huduma kwa marehemu na wajiridhishe pasipo na shaka kuwa ni kweli matatizo ya marehemu yalianzia hapo.
3.Watafute wakili mzuri then ili swala liende mahakamani. Kama itakuwa ni professional salon basi wahakikishe wanalipwa stahiki zote kulingana na sheria za mahakama zetu...na ikiwa ni hizi salon za uchochoroni au za vibarazani kama pale Mwenge basi wahakikishe hicho ki salon kinafungwa na huyo muhudumu aliyesababisha hayo matatizo kwa marehemu basi anapata mvua za kutosha na aozee jela. IMENIUMA SANA!!

Itasaidia nini ikiwa mtu ameshakufa,,,!!
 
Nikiwa kama mmoja wa wadau kwenye Dunia ya urembo nimesikitika sana na hii taharifa. Kama kweli niliyoyasoma kutoka kwenye hili gazeti la Mwananchi basi ni hatari sana na imenigusa sana...pole kwa familia husika!.

Lakini hata hivyo ningeshauri hiyo familia ifanye mambo yafuatayo-:
1. Walipeleke hili swala polisi
2. Waitafute hiyo Salon iliyotoa huduma kwa marehemu na wajiridhishe pasipo na shaka kuwa ni kweli matatizo ya marehemu yalianzia hapo.
3.Watafute wakili mzuri then ili swala liende mahakamani. Kama itakuwa ni professional salon basi wahakikishe wanalipwa stahiki zote kulingana na sheria za mahakama zetu...na ikiwa ni hizi salon za uchochoroni au za vibarazani kama pale Mwenge basi wahakikishe hicho ki salon kinafungwa na huyo muhudumu aliyesababisha hayo matatizo kwa marehemu basi anapata mvua za kutosha na aozee jela. IMENIUMA SANA!!

Hapa kwetuTZ:- Mmmmmh, Labda huko 1st world !!
Polisi watafunguwa mradi... watakula kwa mshtakiwa na kwa kwa mlalamikaji.... hadi wajute !
 
Back
Top Bottom