Urembo wasabisha mauti kwa ndoa changa

Urembo wasabisha mauti kwa ndoa changa

Hapana mkuu,ukijipanga na kuwa silias inawezekana...dawa ni kutafuta mwanasheria mzuri na siyo ilimradi mwanasheria.
Right Mrembo, usemayo ! Siajabu cost ya hiyo saloon ni chini ya kiwango, Pia mmiliki na watoahuduma watasota jela for yrs!! Bongo ajali za aina hii zimeshapindukia KM:- Hospitals error Ajali za barabarani/majini/rumande nk. !!
God forbid yasimkute mtu !!
 
Right Mrembo, usemayo ! Siajabu cost ya hiyo saloon ni chini ya kiwango, Pia mmiliki na watoahuduma watasota jela for yrs!! Bongo ajali za aina hii zimeshapindukia KM:- Hospitals error Ajali za barabarani/majini/rumande nk. !!
God forbid yasimkute mtu !!

Mkuu,kwanza mimi ni ME na siyo KE' ha ha haaa...pili mimi ni mdau wa masuala ya urembo. I mean nauza vitu vinavyomfanya mwanamke aonekane mrembo na pia ninatoa huduma za urembo.

Back to the topic: ni kweli usemacho kuwa kuna baadhi ya majanga yakikukuta basi esabia imekula kwako kwani nchi ya Bongo ni out law...kama hauna kitu mfukoni basi hesabu maumivu. Ila kwa hili la huyu marehemu am sure kama familia itaungana na kuwa kitu kimoja lazima watashinda hii kesi(ilimradi kuwe na ushahidi usiyo na shaka) ninauhakika na ninachokisema.

Sawa tunaweza sema ni moja ya hajari kazini...lakini huwezi kufanya mzaha kwenye mwili wa binadamu mwenzako. Wewe kama muhudumu wa Salon inatakiwa uijue kazi yako kwa ufasaha sana kabla ujashika au kumuhudumia mteja. Haya mambo ya kienyeji enyeji madhara yake ndiyo haya. Daah imeniuma sana!!
 
Hapa shida sio ubandikaji kucha ni vifaa vya kusafishia kucha ndio vimesbaza tetenasi.ni vyema unapoenda kusafisha kucha ubebe vifaa vyako ambavyo havina kutu na viko kwenye hali nzuri. Hata taulo beba maana kinga ni nzuri kuliko tiba/kifo

Umeongea vizuri sana...ila kwenye hizi professional salon vifaa vyao vinakuwa kwenye sterilizer mda wote kila wammalizapo mteja.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    424.7 KB · Views: 158
  • image.jpg
    image.jpg
    396.5 KB · Views: 147
  • image.jpg
    image.jpg
    498 KB · Views: 158
Unabandika kucha, kope what for?
Unakuta mtu kabandika kope mpaka akinyanyua jicho utazani lakinyonga, au kucha ndefu kama za jina aaagaaah bora nibaki the way nilivyo natural basi
 
Mkuu,kwanza mimi ni ME na siyo KE' ha ha haaa...pili mimi ni mdau wa masuala ya urembo. I mean nauza vitu vinavyomfanya mwanamke aonekane mrembo na pia ninatoa huduma za urembo.

Back to the topic: ni kweli usemacho kuwa kuna baadhi ya majanga yakikukuta basi esabia imekula kwako kwani nchi ya Bongo ni out law...kama hauna kitu mfukoni basi hesabu maumivu. Ila kwa hili la huyu marehemu am sure kama familia itaungana na kuwa kitu kimoja lazima watashinda hii kesi(ilimradi kuwe na ushahidi usiyo na shaka) ninauhakika na ninachokisema.

Sawa tunaweza sema ni moja ya hajari kazini...lakini huwezi kufanya mzaha kwenye mwili wa binadamu mwenzako. Wewe kama muhudumu wa Salon inatakiwa uijue kazi yako kwa ufasaha sana kabla ujashika au kumuhudumia mteja. Haya mambo ya kienyeji enyeji madhara yake ndiyo haya. Daah imeniuma sana!!
Mkuu Nimekupata, Hatari kazini !! Nashukuru sana.
 
Jaman inauma sana.poleni sana wafiwa. Wadada em tujikubali. Sawa tujirembe lakin kidogo tu. Macomplication tupunguze. Me ni mdada lakin i hate kubandika kucha, kope na kubond mawivn. Na sijawahi fanya hivo vitu na sitakuja kufanya.
 
Back
Top Bottom