Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga kazi mheshimiwa! Huyo binti atakuwa anatoka familia za kifugaji (Wasukuma) wanaozesha sana mabinti wadogo.Ahsanteni sana Wadau wa JF kwa taarifa hii. Huu ndiyo ushirikiano wa jamii tunaohitaji. Tunashughulikia. Ahsanteni kwa mawasiliano ya namba ya simu.
Ahsante Sana nimewasiliana naye tayari. 🙏Baba mchungaji huna namba ya waziri Gwajima wa jinsia,wanawake, watoto nikupatie
Shukrani nimewasiliana na chanzo cha taarifa,Piga kazi mheshimiwa! Huyo binti atakuwa anatoka familia za kifugaji (Wasukuma) wanaozesha sana mabinti wadogo.
Wenye dawati watafurahi sana na kupiga mbinja.Anawapelekea mchongo huo.Sahihi
Shukran mheshimiwa kwa kulichukua hiliNiko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Wanaupenda sana ule uzi wa kimasiharaKumbe kuna waheshimiwa humu, kuanzia leo siongei ujinga tena
Hongera sana kwa wepesi wako katika kushughulikia mambo!Shukrani nimewasiliana na chanzo cha taarifa,
Kumbe upo humu mama? Ukimaliza kumuokoa huyo binti, uje huku tuokoe bandari.Ahsanteni sana Wadau wa JF kwa taarifa hii. Huu ndiyo ushirikiano wa jamii tunaohitaji. Tunashughulikia. Ahsanteni kwa mawasiliano ya namba ya simu.
Acha hizo bwana! Tunaongeaga ujinga sana humu lakini serikali pia imo! Tuweni na heshima kwa huu mtandao wa JFWanaupenda sana ule uzi wa kimasihara
Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni.Niko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Hapo shida sio umri pekee, shida ni kwamba binti mwenyewe hajaridhia na hayuko tayari kuolewa!Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni .Kama serikali haipendi hizo ndoa za utotoni kwanini walikata rufani waliposhindwa mahakamani na Rebecca Gyumi? Haya mnayotuambia hapa ni maigizo tu,kama kweli serikali inadhamira ya dhati a basi hiyo sheria ya binti wa miaka 14 kuolewa ibadilishwe mara moja vinginevyo serikali ikae kimya tu
Asante sana mh waziri kwa wepesi wako wa kuzingatia matatizo ya wtz kwa haraka. Mungu akubariki sana.Niko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Hakika na hoja Iko hapo,Miaka 16, kabalehe kabisa anafaa kuolewa huyo.
Shida ni kwenye kuozeshwa kwa NGUVU. Ingekuwa kataka mwenyewe kuolewa basi ni sahihi kuolewa.
Hajataka kwanini wamlazimishe, binti apewe msaada.
Hakika, hoja Imejikita hapaHapo shida sio umri pekee, shida ni kwamba binti mwenyewe hajaridhia na hayuko tayari kuolewa!
Hakika, hoja Imejikita hapaHapo shida sio umri pekee, shida ni kwamba binti mwenyewe hajaridhia na hayuko tayari kuolewa!
Amina, Kila la heri kwako pia. 🙏Asante sana mh waziri kwa wepesi wako wa kuzingatia matatizo ya wtz kwa haraka. Mungu akubariki sana.
Habari za jioni ndugu yangu katika JMT. Nadhani utakuwa umefuatilia mrejesho wa serikali kuhusu hoja uliyoleta. Mara kadhaa kumekuwa na mrejesho kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali juu ya ajenda hii. Hata hivyo, sidhani kama ni sahihi kutotoa msaada na ushirikiano kwa hoja iliyopo sasa dhidi ya manusura ambaye anahitaji msaada kwamba, tukae kimya tu kwa kuwa bado ile hoja ya awali haijafikia mwisho.Kwani sheria ya ndoa ya serikali ya Tanzania inasemaje kuhusu ndoa kama wazazi wa binti wa miaka zaidi ya 14 wameridhia aolewe? Serikali si ilishindwa kwenye kesi ya Rebecca Gyumi kupinga ndoa za utotoni serikali ikakata Rufani ikashindwa tena ikashauriwa irekebishe sheria hiyo ya ndoa lakini mpaka hakuna muswada wowote wa wa mabadiliko ya hiyo sheria ya ndoa uliofikishwa bungeni .Kama serikali haipendi hizo ndoa za utotoni kwanini walikata rufani waliposhindwa mahakamani na Rebecca Gyumi? Haya mnayotuambia hapa ni maigizo tu,kama kweli serikali inadhamira ya dhati a basi hiyo sheria ya binti wa miaka 14 kuolewa ibadilishwe mara moja vinginevyo serikali ikae kimya tu