Urgent: Ninahitaji ID COPY ya NIDA ,nina namba tu,mwenye kujua namna ya kupata

Urgent: Ninahitaji ID COPY ya NIDA ,nina namba tu,mwenye kujua namna ya kupata

Walimuamini vp huyo mshikaji wako mpaka wakampa kitambulisho chako.?
Anyway, kama ulijiandikisha mkoa A na sasa upo mkoa B na sina mpango wa kwenda mkoa A na nna hitaji kitambulisho hapo inakuwaje.?
Agiza mtu mzee hii nchi ukisema ufate utaratibu utachelewa sana “NAMAANISHA SANA”.

Mpe kazi mtu anaeujua vizuri wajihi wako mpe majina yako matatu kamili aende ofisi ya kata/mtaa uliouandika ktk karatasi zako za NIDA atakikuta.
 
Urgent: ninahitaji ID COPY ya NIDA, nina namba tu, mwenye kujua namna ya kupata.

Najua humu kuna watu wa aina mbalimbalina wenye uwezo tofauti


Naomba msaada

Amina, Arusha tz
Ingia kwenye website Yao kuna namna Unaweza pata copy
 
Urgent: ninahitaji ID COPY ya NIDA, nina namba tu, mwenye kujua namna ya kupata.

Najua humu kuna watu wa aina mbalimbalina wenye uwezo tofauti


Naomba msaada

Amina, Arusha tz
Sikia Nenda Tawi lolote la bank waambie watakuasaidia ilo tatizo lako dogo tu wana System hiyo

hata mimi nikifanikiwa kupata copy nmb bank ila haikua kwa matuminzi yangu binafsii bank ndo waliitaji copy yangu so nikawapa data zangu nilizo jiandikisha kwenye Nida form,then nikaona wametoa hard copy:
 
Urgent: ninahitaji ID COPY ya NIDA, nina namba tu, mwenye kujua namna ya kupata.

Najua humu kuna watu wa aina mbalimbalina wenye uwezo tofauti


Naomba msaada

Amina, Arusha tz
Chutama halafu piga kisha piga picha huko Chakechake Pemba
 
Back
Top Bottom