Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Mhhh...ni juzi tu nimegundua kuwa mpenzi wangu ana U.T.I....sikuwa na uelewa mkubwa sana so nikaona nihabarike zaidi wikipedia ndo nikakutana na hiyo habari kuwa U.T.I ni rahisi sana kuwapata wenye ujauzito na isipotibiwa vizuri ikaisha kwa mama wajazito inaweza kusababisha pre-mature birth(kuzaa njiti) na disabilties nyinginezo kwa huyo mtoto...hivyo ushauri wangu kwako ni vema uhakikisheunalitibu kwa kina hilo tatizo lako haraka iwezekanavyo...
Cha pili naomba nisaidiwe hapa jamani kama mpenzi wangu ana U.T.I namimi ntakosa kweli???....na madhara yake ni nini kwa wanaume??
Cha pili naomba nisaidiwe hapa jamani kama mpenzi wangu ana U.T.I namimi ntakosa kweli???....na madhara yake ni nini kwa wanaume??