Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

tafuta majani ya muhina chemsha unywe siku 3 asbh na usiku halaf boxer sijui chupi zichome moto nunua mpya
hutoiskia tena u.t.i
Muhina ndo mti gan huo au kwa jina lingine kwa sabab sijawai kuusikia
 
Tatzo hapo ni "usugu wa bacteria kuuliwa na dawa" hii inatokana na "self medication" na "improper prescription of drugs by poor skilled physians" so ushauri wangu tumia nitrofurantoin au unaweza kwenda hospital kubwa kama Muhimbili uwaeleze ili wafanye urine culture and sensitivity kwenye mkojo wako
Nitatumia hiyo dawa then ndo nitaenda hospital kama haitafanya kaz
 
Nenda duka la madawa baridi ya binadam then ulizia dawa inaitwa AZUMA ipo ktk fom ya vdonge... Me ni nshaitumiaga ipo vzur sana, ila ukipewa make sure unamaliza doz mana inawah kuponyesha so ucje ukajikuta unaikatisha doz.... Hakikisha unaimaliza
Azuma nimetumia na zaman kweli ilikuwa helpful lakini saiz imegoma na huwa namaliza dozi sijawai kukatisha hata mara moja
 
Tumia baking soda weka kijiko kimoja cha chai kwenye glass kutwa mara moja (subh kabla ya kula kitu chochote) kwa siku saba
Sijaelewa unaichanganya na maji?
Na kama unaichanganya na maji ni ya moto au ya barid?
 
UTI inasababishwa na bacteria wengi, bacteria wanaongoza kwa kusababisha Uti ni GNC( E.coli, klebsiella, proteus)
Na GPC mara nyingi yupo S. Aureus
Kwenye dawa ni bora kutumia regime yenye moja kati ya hizi dawa ciprofloxacin, amoxylin na nitrofurantoin..
Pia mtu unaweza kutumia cefriaxone ukapona, umeandika UTI sugu as mshauri nilitaka kujua umeanza kutumia lini dawa, aina gani ya dawa ulizotumia na pia kama ulikuwa unamaliza dozi
Cipro nimetumia nitajarib hizo nyingine
Asanteh sana
 
Jinsia yako na umri tafadhali. Mengine ya muhimu ni kufanya culturing ya mkojo kama walivyoshauri wadau wengine.
 
Fanya kipimo cha culture and sensitivity kwanza ndugu otherwise utatumia kila dawa Bila mafanikio
 
tafuta majani ya muhina chemsha unywe siku 3 asbh na usiku halaf boxer sijui chupi zichome moto nunua mpya
hutoiskia tena u.t.i
Kwa kipimo gan mkuu?...kijiko,kikombe n.k
 
Nimekuelewa vizur sana lakini hujanipa kipimo cha hyo dawa kama ni kijiko,glass au jagi
 
Back
Top Bottom