Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumia azuma,cipro na doxyTafuta AZUMA, sijaitumia ila nasikia ni nzuri sana, inatibu na typhoid
Muhina ndo mti gan huo au kwa jina lingine kwa sabab sijawai kuusikiatafuta majani ya muhina chemsha unywe siku 3 asbh na usiku halaf boxer sijui chupi zichome moto nunua mpya
hutoiskia tena u.t.i
Nitatumia hiyo dawa then ndo nitaenda hospital kama haitafanya kazTatzo hapo ni "usugu wa bacteria kuuliwa na dawa" hii inatokana na "self medication" na "improper prescription of drugs by poor skilled physians" so ushauri wangu tumia nitrofurantoin au unaweza kwenda hospital kubwa kama Muhimbili uwaeleze ili wafanye urine culture and sensitivity kwenye mkojo wako
hina za kupaka yale majani yakeMuhina ndo mti gan huo au kwa jina lingine kwa sabab sijawai kuusikia
Azuma nimetumia na zaman kweli ilikuwa helpful lakini saiz imegoma na huwa namaliza dozi sijawai kukatisha hata mara mojaNenda duka la madawa baridi ya binadam then ulizia dawa inaitwa AZUMA ipo ktk fom ya vdonge... Me ni nshaitumiaga ipo vzur sana, ila ukipewa make sure unamaliza doz mana inawah kuponyesha so ucje ukajikuta unaikatisha doz.... Hakikisha unaimaliza
Sijaelewa unaichanganya na maji?Tumia baking soda weka kijiko kimoja cha chai kwenye glass kutwa mara moja (subh kabla ya kula kitu chochote) kwa siku saba
Cipro nimetumia nitajarib hizo nyingineUTI inasababishwa na bacteria wengi, bacteria wanaongoza kwa kusababisha Uti ni GNC( E.coli, klebsiella, proteus)
Na GPC mara nyingi yupo S. Aureus
Kwenye dawa ni bora kutumia regime yenye moja kati ya hizi dawa ciprofloxacin, amoxylin na nitrofurantoin..
Pia mtu unaweza kutumia cefriaxone ukapona, umeandika UTI sugu as mshauri nilitaka kujua umeanza kutumia lini dawa, aina gani ya dawa ulizotumia na pia kama ulikuwa unamaliza dozi
Sina kawaida ya kurudia nguo ya aina yoyote ile mwilini mwangu bila kuifanyia usafi.vaa boxer Safi
acha uvivu wa kutofua boxer
-kunywa maji mengi
Asanteh sanahina za kupaka yale majani yake
Jinsia:MwanammeJinsia yako na umri tafadhali. Mengine ya muhimu ni kufanya culturing ya mkojo kama walivyoshauri wadau wengine.
Kwa kipimo gan mkuu?...kijiko,kikombe n.ktafuta majani ya muhina chemsha unywe siku 3 asbh na usiku halaf boxer sijui chupi zichome moto nunua mpya
hutoiskia tena u.t.i
Samahan kama unajua gharama zake naomba nijue ili niende ata keshoFanya kipimo cha culture and sensitivity kwanza ndugu otherwise utatumia kila dawa Bila mafanikio
kikombe mkuuKwa kipimo gan mkuu?...kijiko,kikombe n.k
karibu tena ila ukumbuke hizo nguo za ndani choma moto zote nunua mpya uanze nazo ukishaanza hiyo dawaAsanteh sana
Baking soda kijko cha chai unachanganya na maji (baridi) glass mojaSijaelewa unaichanganya na maji?
Na kama unaichanganya na maji ni ya moto au ya barid?