chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Pole sana mkuu Nina mdogo wangu wa kiume anatatizo kama lako. Amefanya hicho kipimo cha culture lkn bdo anaumwa . Kwa sasa anatibiwa na dawa za asili . Ushaur wangu kama una mpenz kampime na Yeye hata kama hana Anywe dozi , nguo za ndani zipasiwe kabla ya kuvaa au choma zote nunua mpya.Nimekuelewa vizur sana lakini hujanipa kipimo cha hyo dawa kama ni kijiko,glass au jagi
Tafuta majani ya maembe changanya na majani ya migomba chemsha kutwa mara 12Habari za kazi wakuu
Natanguliza shukrani kwa mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai na kukutana kwa ajili ya mijadala mbalimbali kwenye uwanja huu.
Niende moja kwa moja kwenye point...
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa UTI(Urine Track Infection) na kiukwel nimetumia dawa nyingi sana na kwa kufuata masharti husika ya dawa, lakini kila ninapomaliza dose nikikaa siku kujisikilizia ili nikapime tena naanza kuhisi dalili za uwepo wa ugonjwa huu na mara nirudipo hospital kwa ajili ya vipimo ungojwa huwa bado upo na madaktari huamua kunibadilishia dozi.
Nimebadilishiwa dozi nyingi mpaka sindano lakini sijapona na huu ni mwez wa tatu sasa tangu ugonjwa huu uanze kunisumbua.
Ni matumaini yangu nitapata msaada japo wa mawazo na dawa nzur ya kutumia ili kutibu ugonjwa huu ambao sasa umekuwa sugu.Naomba msaada wenu kwa hili tatzo wakuu na mungu atawabariki.
unamwambia aende lugalo BT hujajua Anaishi wapi, vipi kama yuko huko Namanyere vijijini Rukwa siyo mchezo kuja lugalo maana kuja lugalo na kurudi Laki2Nakushauri nenda Lugalo hospitali ukafanyiwe CULTURE ili kujua ni mdudu gani wa UTI anayekusumbua na anatibiwa kwa dawa gani. Lugalo ni wataalam sana wa UTI culture. Huenda una mdudu anayesababisha UTI aitwaye E.Coli. Mdudu huyu ni hatari sana.
Ukifika Lugalo maabara muulize Sajenti Chigamba. Huyo ndio mwisho wa UTI!!! NI PM kama unataka namba yake ya simu.
Tumia Condom Mara Zote... Ni Urinary Tract Infection (UTI)Habari za kazi wakuu
Natanguliza shukrani kwa mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai na kukutana kwa ajili ya mijadala mbalimbali kwenye uwanja huu.
Niende moja kwa moja kwenye point...
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa UTI(Urine Track Infection) na kiukwel nimetumia dawa nyingi sana na kwa kufuata masharti husika ya dawa, lakini kila ninapomaliza dose nikikaa siku kujisikilizia ili nikapime tena naanza kuhisi dalili za uwepo wa ugonjwa huu na mara nirudipo hospital kwa ajili ya vipimo ungojwa huwa bado upo na madaktari huamua kunibadilishia dozi.
Nimebadilishiwa dozi nyingi mpaka sindano lakini sijapona na huu ni mwez wa tatu sasa tangu ugonjwa huu uanze kunisumbua.
Ni matumaini yangu nitapata msaada japo wa mawazo na dawa nzur ya kutumia ili kutibu ugonjwa huu ambao sasa umekuwa sugu.Naomba msaada wenu kwa hili tatzo wakuu na mungu atawabariki.
Mkuu Maradhi ya UTI yamekuwa ni maradhi sugu yasiyo sikia dawa za Hospitali utaweza kutumia dawa za hospitali hata miaka 2 kupona kwako hayo maradhi ya UTI itakuwa ni hadithi tusio rahisi kupona kwa dawa za Hospitali. Kuna mtu nimemtibia mimi hayo maradhi ya UTI kwa muda wa siku 30 kwa dawa zangu za asili amepona kabisa .Alitumia dawa za Hospitali karibu miaka 2 na hajapona ametumia dawa zangu siku 30 na amepona kabisa ukihitaji matibabu toka kwangu.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.Habari za kazi wakuu
Natanguliza shukrani kwa mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai na kukutana kwa ajili ya mijadala mbalimbali kwenye uwanja huu.
Niende moja kwa moja kwenye point...
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa UTI(Urine Track Infection) na kiukwel nimetumia dawa nyingi sana na kwa kufuata masharti husika ya dawa, lakini kila ninapomaliza dose nikikaa siku kujisikilizia ili nikapime tena naanza kuhisi dalili za uwepo wa ugonjwa huu na mara nirudipo hospital kwa ajili ya vipimo ungojwa huwa bado upo na madaktari huamua kunibadilishia dozi.
Nimebadilishiwa dozi nyingi mpaka sindano lakini sijapona na huu ni mwez wa tatu sasa tangu ugonjwa huu uanze kunisumbua.
Ni matumaini yangu nitapata msaada japo wa mawazo na dawa nzur ya kutumia ili kutibu ugonjwa huu ambao sasa umekuwa sugu.Naomba msaada wenu kwa hili tatzo wakuu na mungu atawabariki.
Habari za kazi wakuu
Natanguliza shukrani kwa mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai na kukutana kwa ajili ya mijadala mbalimbali kwenye uwanja huu.
Niende moja kwa moja kwenye point...
Nasumbuliwa sana na ugonjwa wa UTI(Urine Track Infection) na kiukwel nimetumia dawa nyingi sana na kwa kufuata masharti husika ya dawa, lakini kila ninapomaliza dose nikikaa siku kujisikilizia ili nikapime tena naanza kuhisi dalili za uwepo wa ugonjwa huu na mara nirudipo hospital kwa ajili ya vipimo ungojwa huwa bado upo na madaktari huamua kunibadilishia dozi.
Nimebadilishiwa dozi nyingi mpaka sindano lakini sijapona na huu ni mwez wa tatu sasa tangu ugonjwa huu uanze kunisumbua.
Ni matumaini yangu nitapata msaada japo wa mawazo na dawa nzur ya kutumia ili kutibu ugonjwa huu ambao sasa umekuwa sugu.Naomba msaada wenu kwa hili tatzo wakuu na mungu atawabariki.
Nenda kafanye kipimo cha urine culture and sensitivity nitakupa dawa sahihi ya kutumia naweza kushauri zaidiZingatia haya;
1.Kunywa maji yasiopungua Lita 5 kwa siku.Hii itakusaidia kukojoa Mara kwa Mara na kuondoa vijidudu.
2.Fanya mazoezi kila siku hadi yakufanye utoke jasho.
3.Ni mwiko kukutana na mpenzi wako kimwili na mshauri nae aanze matibabu.
4.Usafi wa mwili na nguo zako uwe wa zaidi ya kawaida/mazoea.
5.Tumia dawa yoyote ya UTI huku ukizingatia ushauri wa hapo juu 1-4.
6.kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu utapona mapema mnoo,ila jipe likizo ya ugonjwa at least miezi 3 baada ya kupona bila kukutana na mwenza.
Ila umeke sure anakuwa mkavu huko chini Muda wote. Kuvaa chupi mbichi achatafuta majani ya muhina chemsha unywe siku 3 asbh na usiku halaf boxer sijui chupi zichome moto nunua mpya
hutoiskia tena u.t.i
Power safePole ndugu kamuone docta mzoefu kuna sindano nimeisahau jina inachanganywa then inakuwa kama maziwa afu unadugwa Cc10 ya tako uchungu wa hapo unausikia hadi kwenye moyo kama hujala usidungwe utazimia ni kali mno then unapewa doz ya vidonge. Zingatia
ukitumia vidonge tu huponi.