miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Ni kweli mtoto ana homa Kali, nimeshauriwa kumtahili ila nasubiri apate nafuu kidogo.
ok jamani kadogo unamkata nanii yake utamuumiza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mtoto ana homa Kali, nimeshauriwa kumtahili ila nasubiri apate nafuu kidogo.
Wandugu jambo?
Ktk familia yetu kuna watu 3 wanasumbuliwa sana na hii UTI. Tumeenda kwa hospitali ila hakuna ahueni.
Please, ajuae dawa yake au kinga anihabarishe tuokoe kizazi hiki.
Barikiwa!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mmoja abt 65, 24 na 17 na ni jinsia ya kike.Wana umri gani hao wote 3 na je jinsia zao?
Pole UTI inasumbua sana kupona huenda dawa wanazopewa bacteria wanaresist kwa uhakika kawafanyie Urine culture itaonyesha dawa gani iko active na ipi inareact kwa hao bacteria, wanywe maji mengi pia itasaidia kudilute urine kupunguza maumivu
Wadau
Naomba mnisaidie tena, UTI visababishi vikuu ni nini? Je, kuna dawa mahsusi kuizuia? Inatesa sana jamani, inatesa. Maji yanatumika sana, lakini bado sijaona improvement yake!
Ushauri tafadhari.
Asanteni.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Pole,
UTI kitaaamu humaanisha mkojo "mchafu"....husababishwa na wadudu wa aina nyingi kutegemeana na aina ya jamii yake,
Pili, kuna mazingira yanayosababisha hasa uchafu(kupungua kwa usafi), magonjwa ya zinaa, na upungufu wa utumiaji ya maji.
Ni vizuri kupima mkojo, na ikishindikana kuotesha wadudu walio katika mkojo na hasa kuzingatia dawa.
Fuatilia thread nyingine zilizo JF Doctor zinazohusu UTI!