URITHI; Mtoto wa nje alitaka nyumba zote ziuzwe ili apate hela kubwa. Ni shukrani gani hii?

URITHI; Mtoto wa nje alitaka nyumba zote ziuzwe ili apate hela kubwa. Ni shukrani gani hii?

Jmbo ni moja tu, ukishaona mambo yako ya kifamilia yamekaa kushoto (vibaya) au watoto wako hawaeleweki vichwa vyao wewe andika wosia tu.

Zaidi ya yote kwenye hali yoyote ile wewe andika wosia, maana watu wanatamaa na watu wanabadilika muda wowote.

Kuandika wosia ni jambo nyeti na muhimu sana kwa sasa hapa nchini
 
Mali za urithi mmmhh!!! Ziniepushie mbali, nisije nikageuzwa kuwa ndondocha bure.
 
Hivi mtoto wa nje anawezaje kunipiga kwenye urithi ambao nimepambana na baba yake kuutafuta. Ninachojua kisheria mwenza mmoja akifariki basi urithi unagawanywa 50 kwa 50,, sasa katika ile 50 ya marehemu mke ana asilimia yake na watoto wana asilimia yao.

Na binafsi nimeshasema kama mwanaume ataleta mtoto wa nje mapema sana nitamwambia kama ni kujenga au kutafuta urithi wa mwanae mapema ingali yupo hai. Na hivi najua na sheria kimchongo. Baadhi ya watoto hawana shukrani kama mama alimlea leo hii anawezaje akauza nyumba zote halafu mke halali akakae wapi. Tena mtoto ambaye amepatikana ndani ya ndoa.Thubutu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtoto wa nje anawezaje kunipiga kwenye urithi ambao nimepambana na baba yake kuutafuta. Ninachojua kisheria mwenza mmoja akifariki basi urithi unagawanywa 50 kwa 50,, sasa katika ile 50 ya marehemu mke ana asilimia yake na watoto wana asilimia yao.

Na binafsi nimeshasema kama mwanaume ataleta mtoto wa nje mapema sana nitamwambia kama ni kujenga au kutafuta urithi wa mwanae mapema ingali yupo hai. Na hivi najua na sheria kimchongo. Baadhi ya watoto hawana shukrani kama mama alimlea leo hii anawezaje akauza nyumba zote halafu mke halali akakae wapi. Tena mtoto ambaye amepatikana ndani ya ndoa.Thubutu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Madam sheria za Tanzania mtoto akitambulishwa hata kwa kaka na dada wa mumeo na sio kwako basi. Na mtoto unajua baada ya mjme kufariki. Dada na kaka wa mume wako kama wapo atasema walitambulishwa, kwa hio wanapata urithi wa Baba yao.
Sio wa mke wa Baba yao.
 
Hivi mtoto wa nje anawezaje kunipiga kwenye urithi ambao nimepambana na baba yake kuutafuta. Ninachojua kisheria mwenza mmoja akifariki basi urithi unagawanywa 50 kwa 50,, sasa katika ile 50 ya marehemu mke ana asilimia yake na watoto wana asilimia yao.

Na binafsi nimeshasema kama mwanaume ataleta mtoto wa nje mapema sana nitamwambia kama ni kujenga au kutafuta urithi wa mwanae mapema ingali yupo hai. Na hivi najua na sheria kimchongo. Baadhi ya watoto hawana shukrani kama mama alimlea leo hii anawezaje akauza nyumba zote halafu mke halali akakae wapi. Tena mtoto ambaye amepatikana ndani ya ndoa.Thubutu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio sheria inawaumiza wanawake wengi sana wa ndoa.
Kwa nini nasema hivyo.

Maisha ya ndoa ni ya wawilituu.
Utakuta Baba kanunua kiwanja kaandika jina lake. Kwenye kuanza ujenzi mama anamua kumpa pesa mume wake kama kuchangia katika nyumba nyumba inajengwa mpaka Inaisha . Na mara nyingi mke anakuwa hana ushaidi kama alichangia. Nyumba au majumba yapo kwa jina la mume wake. Hiko kitu kinawaumiza sana mke wa ndoa. Tena sana.
 
Habari wana Jamii forum.

Ngoja leo nilete hii kesi niliyoishuudia kwa macho yangu.

Kulikuwa na Baba mmoja na familia yake wa watoto 4, wapili ni wakiume ambae alimzaa nje na wengine 3 Wandoa wakike alizaa na mkewe.

Niliambiwa hivi, Baada ya mkewake kujifungua mtoto wa kwanza ikapita kama mwaka hivi Baba akazaa nje mtoto wa kiume ila aliyamaliza na mkewe.

Mtoto alipofika umri wa miaka 6 mzee alimchukua na kukaa nae home.

Mke wake alikubaliana na hali na kumlea tu bila shida yoyote. Na likizo akawa anaenda kwa mama yake.

Sasa baada ya kufika utu uzima watoto wote.

Yule Baba alifariki na kuacha nyumba mbili tu. 1 aliyokuwa anaishi na mke wake nyingine walipangisha.

Sasa mtoto wa kiume wa baba ambae alimzaa nje akawa anag'ang'ania awe msimamizi wa mirathi kwa kigozo cha yeye ndiyo wa kiume ndiyo anaendeleza familia ya mzee.

Na pia analazimisha nyumba zote mbili ziuzwe wagawane ila yeye akawa anahitaji kupata asilimia kubwa.

Kesi ilikuwa kubwa mpaka kupelekana mahakamani , ila walipofika mahakamani mabinti wale watatu wakasema wao hawaitaji nyumba kuuza kwa sababu mama yao atakaa wapi.

Lakini mahakama wakamwambia jamaa wote ni watoto wa baba mmoja kwa hio wote mtapata sawa hakuna huyu wa kiume wala huyu wa kike wote mnapata kwa usawa.

Lakini mwishoni walikubaliana wauze nyumba mmoja halafu kaka yao wampe pesa zake na zingine ili wafidie ile nyumba nyingine ambayo Mama yao anakaa.

Nyumba iliuzwa 1 jamaa akachukua pesa ndefu tu ili kufidia ile nyumba nyingine ambayo mama wa mabinti alikuwa anaishi na mume wake.

Sidhani kama wanaundugu mpaka leo wa karibu.

Nafikiri jamaa alitaka ziuzwe zote bila kujali mama yule atakaa wapi.

Hiyo ni kwa sababu yule hakuwa mama yake, hata nyumba ikiuzwa yeye ataumia chochote.

Karibuni jamani mutoe uzoefu wenu kama umewahi kutana na migogoro kama hii.

Karibu.
Ugomvi si umeshaisha huu? Au wrwe unataka nini hapo? Au ulitaka wavuke mstari, wapute halafu waanze kuzichapa?
Halafu huyo siyo mtoto wa nje. Mtu ametambulishwa tangu utotoni, amelelewa hapo halafu mnssema eti ni mtoto wa nje?
 
Hivi mtoto wa nje anawezaje kunipiga kwenye urithi ambao nimepambana na baba yake kuutafuta. Ninachojua kisheria mwenza mmoja akifariki basi urithi unagawanywa 50 kwa 50,, sasa katika ile 50 ya marehemu mke ana asilimia yake na watoto wana asilimia yao.

Na binafsi nimeshasema kama mwanaume ataleta mtoto wa nje mapema sana nitamwambia kama ni kujenga au kutafuta urithi wa mwanae mapema ingali yupo hai. Na hivi najua na sheria kimchongo. Baadhi ya watoto hawana shukrani kama mama alimlea leo hii anawezaje akauza nyumba zote halafu mke halali akakae wapi. Tena mtoto ambaye amepatikana ndani ya ndoa.Thubutu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuta hata mke anakaa anapanga life na mume wake kuhusu familia yao iendelee mbelee na utakuta mafanikio ya mume basi Mama anahusika kqa asilimia kubwa sana tena sana.

Anampa mawazo mume wake. Tena utakuta mke nyumba zingine anakuwa mpaka mtunza azina wa pesa za mume wake. Na kila kitu kinachofanyika kwenye familia mama anahusika akaamini ni investment za baadae za watoto wao. Lkn mwishoni inakuwa sivyo hivyo. Ni maumivu makubwa sana wanawake wanapata.

Watunga sheria hawakufikilia hilo , hisia za mke wa ndoa na maisha ya ndoa ya watu wawili inavyokuwa its pain sana kwa wanawake waliofanyiwa hivyo.
 
Ndio maana unaambiwa usiwe mwema ni raha sana ukiwa na rohi mbaya
 
Hivi mtoto wa nje anawezaje kunipiga kwenye urithi ambao nimepambana na baba yake kuutafuta. Ninachojua kisheria mwenza mmoja akifariki basi urithi unagawanywa 50 kwa 50,, sasa katika ile 50 ya marehemu mke ana asilimia yake na watoto wana asilimia yao.

Na binafsi nimeshasema kama mwanaume ataleta mtoto wa nje mapema sana nitamwambia kama ni kujenga au kutafuta urithi wa mwanae mapema ingali yupo hai. Na hivi najua na sheria kimchongo. Baadhi ya watoto hawana shukrani kama mama alimlea leo hii anawezaje akauza nyumba zote halafu mke halali akakae wapi. Tena mtoto ambaye amepatikana ndani ya ndoa.Thubutu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliona hapa mtaa wa pili mume wa mtu alizaa nje mtoto mmoja na mke wake alizaa mtoto mmoja.
Tena alizaa kwa kuchepuka.

Alikuwa ni kijana tuu hakuwa na nyumba wala kiwanja. Alifariki kwenye ajari.

Ila waligawana na hawala wa mume wake vitu vya ndani sawa sawa. Alichukua kwa kisingizio cha mtoto. Nilishangaa mpk vyombo vya ndani. 😳.

Na yule dada alikuwa anakazi yake fresh .
Hivi jamani vitu vya ndani mara nyingi wanaonunua nyumbani huku kati ya Baba na mama ni nani? Tuwe wakweli.
Sisemi Wababa hawanunui hpn.
 
Sasa unawezakuta huyo dada alikuwa anapanga future yake na mume wake fresh kabisa. Pekeao.
 
Madam sheria za Tanzania mtoto akitambulishwa hata kwa kaka na dada wa mumeo na sio kwako basi. Na mtoto unajua baada ya mjme kufariki. Dada na kaka wa mume wako kama wapo atasema walitambulishwa, kwa hio wanapata urithi wa Baba yao.
Sio wa mke wa Baba yao.
Ni kweli ndo maana nimesema kama mtoto atakuja au laaa ile hamsini ya baba yao tutagawana wote na mke na watoto wangu pamoja yeye. Lkn sio kwamba eti apate mgao mkubwa kuliko wengine hiyo asahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuta hata mke anakaa anapanga life na mume wake kuhusu familia yao iendelee mbelee na utakuta mafanikio ya mume basi Mama anahusika kqa asilimia kubwa sana tena sana.

Anampa mawazo mume wake. Tena utakuta mke nyumba zingine anakuwa mpaka mtunza azina wa pesa za mume wake. Na kila kitu kinachofanyika kwenye familia mama anahusika akaamini ni investment za baadae za watoto wao. Lkn mwishoni inakuwa sivyo hivyo. Ni maumivu makubwa sana wanawake wanapata.

Watunga sheria hawakufikilia hilo , hisia za mke wa ndoa na maisha ya ndoa ya watu wawili inavyokuwa its pain sana kwa wanawake waliofanyiwa hivyo.
Hapo sasa halafu anayekuja kufaidi mtoto wa nje ambaye kuna wakati usikute baba alitelekeza familia mama akawa anapambana na watoto wake kujenga familia . Kwa kweli ni majonzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niliona hapa mtaa wa pili mume wa mtu alizaa nje mtoto mmoja na mke wake alizaa mtoto mmoja.
Tena alizaa kwa kuchepuka.

Alikuwa ni kijana tuu hakuwa na nyumba wala kiwanja. Alifariki kwenye ajari.

Ila waligawana na hawala wa mume wake vitu vya ndani sawa sawa. Alichukua kwa kisingizio cha mtoto. Nilishangaa mpk vyombo vya ndani. [emoji15].

Na yule dada alikuwa anakazi yake fresh .
Hivi jamani vitu vya ndani mara nyingi wanaonunua nyumbani huku kati ya Baba na mama ni nani? Tuwe wakweli.
Sisemi Wababa hawanunui hpn.
Sema changamoto wengi ni kwa kutofahamu sheria au wanawatumia wanasheria wanaopindisha ukweli.

Binafsi kuna familia naifahamu walikuwa na uwezo mkubwa tu,,na watoto wao walishakua wakubwa wanajitegemea ikatokea mama akafariki. Basi baba akawaga mali zote 50 kwa 50,,,kwa hiyo 50 watoto walichukua jasho la mama yao 50 iloyobaki akachukia baba na kwenda kuoa. Tena walifanya kisheria kabisa.

Sema ndo hivyo hawara anakujaje kuchukua vyombo,,vya ndani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema ndo hivyo hawara anakujaje kuchukua vyombo,,vya ndani
Mwenyewe nilishangaa.

Yani Sheria za Tanzania sizielewaji mimi.
Yani ME akiwa hana mke akizaa na binti tuu wote hawana ndoa. Kijana na anamali baadhi , akifariki na kuacha mali huyo dada aliyezaa nae hawezi kuchukua mali kwa kupitia mtoto kwa sababu hakuwa mke wake.

Lkn mume wa mtu akizaa nje kwa kuchepuka huku Anandoa yake na mke wake. Siku akifariki basi mchepuko anakuja kuchukua mali na wanagawana , tena wengine wanaenda mpk mahakamani kabisa na kupewa mgoa kwa kisingizio cha haki ya mtoto wake.

Hapo hapo sheria inasema ukitembea na mume wa mtu ni kosa kisheria. (UGONI).

SASA inakuwaje wakati hakuwa si mke wake , pili ni ugoni ushahidi ni mtoto.
 
Back
Top Bottom