Hujaiona mantiki ya kuandika .Subiri utafahamu kidogo kidogo siku Israel ikidondoka mbele ya macho yenu.
Mumetabiri mengi kuhusu Israel kwa kuangalia wingi na ukali wa silaha.
ukiondoa kuua na kuharibu majengo hakuna ushindi na tunakoelekea ni kushindwa kabisa.Kama si mwaka huu basi si mbali sana.
Tunapotaja madhila ya wapalestina tunataka muone na baadae mfahamu kinachofuata.
Mpaka sasa wanaopigana na mbabe mkubwa wa mashariki ya kati na yule wa dunia ni watu maskini tu na waliofungwa mikono huku wakipigwa na majirani zao wakioangalia bila kutoa msaada.
Maskini ni Yemen,Hezbollah na Hamas na itashangaza kuwa wao ndio watakaoangusha wababe wawili wa dunia.