Urusi ilipozuia nafaka kelele zilikuwa kubwa.Israel imezuia vyakula vyote na maji wanaolia ni watu wa Gaza peke yao

Kwa akili zako siku za usoni utatimiza ndoto yako za kuwa gaidi mkubwa duniani, maana post zako zinawaza ugaidi 2
 
Kwa akili zako siku za usoni utatimiza ndoto yako za kuwa gaidi mkubwa duniani, maana post zako zinawaza ugaidi 2
Nisaidie kujuua ugaidi una maana gani kwa akili yako.
Kwani mimi siujui nausikia tu kupitia vyombo vya habari vya kimarekani na kiyahudi.
 
Hivyo vyombo vya habar vya kiyahudi na kimarekan vinasemaje kuhusu ugaid kama unavyosikia ww?
 
Labda yesu awe Nabii isa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…