Urusi imeingia kwenye 18 ya Marekani, dunia ijiandae kuona majimbo mapya ya Marekani katika ardhi ya Urusi

Eti Russia anashambuliwa.
Duu!
Mkuu sasa hivi Putin ameshaandaliwa makazi ya kujificha huko chini ya udongo (handakini) maana kitachofatia baada ya Ukraine kuvuka boda itakuwa na habari mbaya kwa Putin na genge lake.
 
Umeandika ujinga ndugu..ni vizuri mnapoandika hizo makals...mseme kabisa.."Kwa maoni yangu..."
Mkuu kama unafikiri mimi natania basi subiri muda utaongea.
Tuombe uzima tu mkuu utakuja kuniambia.
 
Acha uongo mkuu! Putin alisema atakaye ingiza jeshi ukraine na sio atakaye msaidia ukraine.
 
yaan vita iliyoendeshwa miezibyote hyo hajakimbia!!… Kifupi siraha za iran hazijaleta impact kubwa kwene hii vita!!…Drone hata urusi anazo sema kuongeza washiriki!!
 
wacha wapigane me nawatakia siku njema tu ya kupigana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…