Urusi imeishiwa wanajeshi hadi inarejesha vitani waliojeruhiwa na kupewa likizo

Urusi imeishiwa wanajeshi hadi inarejesha vitani waliojeruhiwa na kupewa likizo

Halafu katumia nguvu nyingi kugombania kamji ka watu 10,000 kapoteza wanajeshi mara mbili ya hiyo, kamji kenyewe shughuli zake ni uzalishaji wa chumvi.
Halafu wengine wanatuletea story za eti US na NATO wamekiri Ukraine hataweza kuyakomboa yale majimbo. Imgekuwa hivyo vita si ingeshaisha?
Hata hawatumii akili kujiuliza ni nini kiliwatokea Russia wakati walishaingia hadi Kyiv na walikua ni kama wameishakamata nchi yote lakini sasa hivi wamebaki kule pembezoni
 
Nakumbuka bado maneno ya Al Sahhaf na propaganda zake ni kama hizi tu
 
Halafu wengine wanatuletea story za eti US na NATO wamekiri Ukraine hataweza kuyakomboa yale majimbo. Imgekuwa hivyo vita si ingeshaisha?
Hata hawatumii akili kujiuliza ni nini kiliwatokea Russia wakati walishaingia hadi Kyiv na walikua ni kama wameishakamata nchi yote lakini sasa hivi wamebaki kule pembezoni
Kyiv ilikuwa zuga babu kubwa na NATO ikaingia mkenge nguvu zote kuweka kyiv, kumbe mzee baba alikuwa ana maeneo yake tayari
 
Jameni Warusi wanapitia mateso sana, mtu amejeruhiwa amepasuka pasuka analazimishwa arudi vitani akapigane na kufia huko, hii aibu itaisha lini maana kama inazidi kuwa mbovu.....

Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursday.
  • Wounded Russian soldiers are being sent to Ukraine to fight despite their injuries, according to a report.
  • Soldiers with damaged lungs and shrapnel wounds have been returned to the frontline.
  • The presidential Human Rights Council in Russia is investigating the matter, a council member said.
In one instance, two Russian soldiers with punctured lungs were sent into combat, instead of to a military medical commission for examination, Valentina Melnikova, executive secretary of the Union of the Committees of Soldiers' Mothers of Russia, said, per Agentstvo.

In another example, soldiers with shrapnel wounds were returned to fight, without the shrapnel being removed, according to a translation of the article by independent media outlet Meduza.

There are "an unacceptable number" of documented cases of commanders sidestepping military doctors and instead sending wounded soldiers straight from the hospital to the frontline, Melnikova told Agentstvo, per a Meduza translation.

There have also been cases of soldiers receiving treatment for ulcers, heart attacks, and strokes being sent back to Ukraine, she said.



1674482407148.png



 
Acheni propoganda zisizo na ukweli. Hakuna CIC yeyote anaweza kufanya huo ujinga
 
Labda mjitolee mkaisadie Urusi, kunao Watanzania wanafia huko kama yule wa juzi....takbirr
Takbir.....[emoji110][emoji110][emoji109] walahi hatu hatukubali
 
Jameni Warusi wanapitia mateso sana, mtu amejeruhiwa amepasuka pasuka analazimishwa arudi vitani akapigane na kufia huko, hii aibu itaisha lini maana kama inazidi kuwa mbovu.....

Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursday.
  • Wounded Russian soldiers are being sent to Ukraine to fight despite their injuries, according to a report.
  • Soldiers with damaged lungs and shrapnel wounds have been returned to the frontline.
  • The presidential Human Rights Council in Russia is investigating the matter, a council member said.
In one instance, two Russian soldiers with punctured lungs were sent into combat, instead of to a military medical commission for examination, Valentina Melnikova, executive secretary of the Union of the Committees of Soldiers' Mothers of Russia, said, per Agentstvo.

In another example, soldiers with shrapnel wounds were returned to fight, without the shrapnel being removed, according to a translation of the article by independent media outlet Meduza.

There are "an unacceptable number" of documented cases of commanders sidestepping military doctors and instead sending wounded soldiers straight from the hospital to the frontline, Melnikova told Agentstvo, per a Meduza translation.

There have also been cases of soldiers receiving treatment for ulcers, heart attacks, and strokes being sent back to Ukraine, she said.

Supa-pawa wa mchongo alifanya mobilisation ya makuruta 300,000, wapo wapi hao ?
 
ni suala la muda tu lazima ukraine itakuwa chini ya utawala wa Moscow
mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!
Kukosa Hekima ya nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na kutusaidia amini angeendelea kutamba mwanza na vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi ili ku–balance vita ili Iwe fursa ya kuuza silaha [emoji56][emoji15]
Tatizo ww inawezekana ulikuwa bado unanyonya hujui uchungu na athari za [emoji12]
 
Mbona Putin kafanya ?
Ushahidi?Mmeanza zile zile propaganda mfu za Toka last year!Urusi kaishiwa chakula,mara kaishiwa silaha,mara baada ya Miezi sitq hataweza kuendesha vita na nyingine kibao!
Sasa tunaambiwa Urusi kaishiwa askari,si mkomboe maeneo period!
 
Ushahidi?Mmeanza zile zile propaganda mfu za Toka last year!Urusi kaishiwa chakula,mara kaishiwa silaha,mara baada ya Miezi sitq hataweza kuendesha vita na nyingine kibao!
Sasa tunaambiwa Urusi kaishiwa askari,si mkomboe maeneo period!
Unahitaji ushahidi gani tena wakati habari inajieleza kabisa ?.....
 
Halafu katumia nguvu nyingi kugombania kamji ka watu 10,000 kapoteza wanajeshi mara mbili ya hiyo, kamji kenyewe shughuli zake ni uzalishaji wa chumvi.
Huo mji ukidakwa utasababisha counter attack ya Ukraine kuwa ngumu.
 
Unahitaji ushahidi gani tena wakati habari inajieleza kabisa ?.....
Ndio nasema Mmeanza zilezile propaganda mfu ambazo nimezitaja hapo juu!Nazo pia zilikuwa zinakuja Kwa style hii kama habari ila kumbe ni mtu kakaaa tu huko kajisikia kuandika anachilojisikia!
Kwahiyo Russia kaishiwa askari😃😃😃😃
 
Kitu ambacho Russia yafaa wafahamu ni kwamba wasifikiri kwamba watachukua ardhi yoyote ya Ukraine na kuikalia halafu eti iwe mwisho wa vita, hiyo wasahau kabisa.

Na kwa kuwa nchi yao ni maskini inayozidiwa kiuchumi hata na jimbo moja tu la Marekani hawataweza kuyalinda hayo maeneo kwani na uchumi wao utakuwa umeporomoka kabisa. Time will tell.
 
Back
Top Bottom