Halafu wengine wanatuletea story za eti US na NATO wamekiri Ukraine hataweza kuyakomboa yale majimbo. Imgekuwa hivyo vita si ingeshaisha?Halafu katumia nguvu nyingi kugombania kamji ka watu 10,000 kapoteza wanajeshi mara mbili ya hiyo, kamji kenyewe shughuli zake ni uzalishaji wa chumvi.
Inakuwaje Kuna kazi ya kufyeka fyeka wakati NATO walijimbia kule toka 2014?Anaendelea kutuma hadi raia wa kigeni wakiwemo Watanzania, hivyo kuna kazi sana ya kufyeka fyeka.....
Kyiv ilikuwa zuga babu kubwa na NATO ikaingia mkenge nguvu zote kuweka kyiv, kumbe mzee baba alikuwa ana maeneo yake tayariHalafu wengine wanatuletea story za eti US na NATO wamekiri Ukraine hataweza kuyakomboa yale majimbo. Imgekuwa hivyo vita si ingeshaisha?
Hata hawatumii akili kujiuliza ni nini kiliwatokea Russia wakati walishaingia hadi Kyiv na walikua ni kama wameishakamata nchi yote lakini sasa hivi wamebaki kule pembezoni
Jameni Warusi wanapitia mateso sana, mtu amejeruhiwa amepasuka pasuka analazimishwa arudi vitani akapigane na kufia huko, hii aibu itaisha lini maana kama inazidi kuwa mbovu.....
Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursday.
In one instance, two Russian soldiers with punctured lungs were sent into combat, instead of to a military medical commission for examination, Valentina Melnikova, executive secretary of the Union of the Committees of Soldiers' Mothers of Russia, said, per Agentstvo.
- Wounded Russian soldiers are being sent to Ukraine to fight despite their injuries, according to a report.
- Soldiers with damaged lungs and shrapnel wounds have been returned to the frontline.
- The presidential Human Rights Council in Russia is investigating the matter, a council member said.
In another example, soldiers with shrapnel wounds were returned to fight, without the shrapnel being removed, according to a translation of the article by independent media outlet Meduza.
There are "an unacceptable number" of documented cases of commanders sidestepping military doctors and instead sending wounded soldiers straight from the hospital to the frontline, Melnikova told Agentstvo, per a Meduza translation.
There have also been cases of soldiers receiving treatment for ulcers, heart attacks, and strokes being sent back to Ukraine, she said.
Wounded Russians are being sent back to Ukraine with major injuries like punctured lungs and shrapnel still in their bodies, report says
Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursdayafrica.businessinsider.com
Takbir.....[emoji110][emoji110][emoji109] walahi hatu hatukubaliLabda mjitolee mkaisadie Urusi, kunao Watanzania wanafia huko kama yule wa juzi....takbirr
Supa-pawa wa mchongo alifanya mobilisation ya makuruta 300,000, wapo wapi hao ?Jameni Warusi wanapitia mateso sana, mtu amejeruhiwa amepasuka pasuka analazimishwa arudi vitani akapigane na kufia huko, hii aibu itaisha lini maana kama inazidi kuwa mbovu.....
Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursday.
In one instance, two Russian soldiers with punctured lungs were sent into combat, instead of to a military medical commission for examination, Valentina Melnikova, executive secretary of the Union of the Committees of Soldiers' Mothers of Russia, said, per Agentstvo.
- Wounded Russian soldiers are being sent to Ukraine to fight despite their injuries, according to a report.
- Soldiers with damaged lungs and shrapnel wounds have been returned to the frontline.
- The presidential Human Rights Council in Russia is investigating the matter, a council member said.
In another example, soldiers with shrapnel wounds were returned to fight, without the shrapnel being removed, according to a translation of the article by independent media outlet Meduza.
There are "an unacceptable number" of documented cases of commanders sidestepping military doctors and instead sending wounded soldiers straight from the hospital to the frontline, Melnikova told Agentstvo, per a Meduza translation.
There have also been cases of soldiers receiving treatment for ulcers, heart attacks, and strokes being sent back to Ukraine, she said.
Wounded Russians are being sent back to Ukraine with major injuries like punctured lungs and shrapnel still in their bodies, report says
Severely injured Russian soldiers are being returned to the frontline in Ukraine without the approval of military doctors, independent Russian news outlet Agentstvo reported on Thursdayafrica.businessinsider.com
Mbona Putin kafanya ?Acheni propoganda zisizo na ukweli. Hakuna CIC yeyote anaweza kufanya huo ujinga
mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seaking missiles ambazo zilituishia!ni suala la muda tu lazima ukraine itakuwa chini ya utawala wa Moscow
Ushahidi?Mmeanza zile zile propaganda mfu za Toka last year!Urusi kaishiwa chakula,mara kaishiwa silaha,mara baada ya Miezi sitq hataweza kuendesha vita na nyingine kibao!Mbona Putin kafanya ?
Unahitaji ushahidi gani tena wakati habari inajieleza kabisa ?.....Ushahidi?Mmeanza zile zile propaganda mfu za Toka last year!Urusi kaishiwa chakula,mara kaishiwa silaha,mara baada ya Miezi sitq hataweza kuendesha vita na nyingine kibao!
Sasa tunaambiwa Urusi kaishiwa askari,si mkomboe maeneo period!
Too late for thatni suala la muda tu lazima ukraine itakuwa chini ya utawala wa Moscow
Huo mji ukidakwa utasababisha counter attack ya Ukraine kuwa ngumu.Halafu katumia nguvu nyingi kugombania kamji ka watu 10,000 kapoteza wanajeshi mara mbili ya hiyo, kamji kenyewe shughuli zake ni uzalishaji wa chumvi.
Ndio nasema Mmeanza zilezile propaganda mfu ambazo nimezitaja hapo juu!Nazo pia zilikuwa zinakuja Kwa style hii kama habari ila kumbe ni mtu kakaaa tu huko kajisikia kuandika anachilojisikia!Unahitaji ushahidi gani tena wakati habari inajieleza kabisa ?.....
Hii takbirrr ipo siku itakutia ujauzito mkuu.Labda mjitolee mkaisadie Urusi, kunao Watanzania wanafia huko kama yule wa juzi....takbirr
Wapo uko wanalinda maeneo tuliojimegea. Sasahivi wanasubiria vifaru vya NATO wavitie kiberitiSupa-pawa wa mchongo alifanya mobilisation ya makuruta 300,000, wapo wapi hao ?