Urusi imeishiwa wanajeshi hadi inarejesha vitani waliojeruhiwa na kupewa likizo

Ushahidi?Mmeanza zile zile propaganda mfu za Toka last year!Urusi kaishiwa chakula,mara kaishiwa silaha,mara baada ya Miezi sitq hataweza kuendesha vita na nyingine kibao!
Sasa tunaambiwa Urusi kaishiwa askari,si mkomboe maeneo period!
Halafu eti source ni independent Russian news outlets. Yaani ni propaganda na udaku wa kwenye mitandao ndo analeta kama source. Poor Kenyan MK254 . Naona timu NATO Proved nae akijiliwaza eti Urusi kaishiwa kwa source ya udaku
 
Kwahiyo kwa akili yako ni kwamba ukiwa na natural resources umekuwa nchi tajiri!!! Ingekuwa hivyo DRC ingekuwa nchi tajiri Afrika kama siyo ulimwenguni.
Kwa taarifa yako Russia ni nchi ya 12 kiuchumi na maendeleo duniani, na ni kati ya nchi nane zilizo na maendeleo makubwa ya kiviwanda. Halafu we umekaa hapo Nyamalembo unaleta propaganda mfu, eti nothing to show in development.
 
ety puttini kaishiwa wanajeshi, sijui ana mpango ghani 😂😂😂
 
Ndivyo walivyokwambia hivyo? Unafikiri Ukraine anavyopigana kuyagomboa ni fala? Si wangeyaachia waendelee na mambo mengine!
Kuna wenye masrahi na hii Vita . Mfano Uchina, Urusi, Iran, US, wanafanya biashara kubwa ya siraha na nishati kwa pesa za ndani.
 
Kyiv ilikuwa zuga babu kubwa na NATO ikaingia mkenge nguvu zote kuweka kyiv, kumbe mzee baba alikuwa ana maeneo yake tayari
Hizo ni strategies za kivita. Urusi ilitaka Majimbo 5 tu kwa ajili ya Uchumi wake including SOLEDAR. Ardhi haitaji mbolea, Viwanda vya kemikari, machimbo ya chunvi, vinu vya Nuklia, Madini na mitambo ya Madini ya Chuma n.k.
 
Utaweza basi!
 
Pole sana.malighafi zitakazo ktk hayo majimbo zitajipigania zenyewe
 
Unayaelewa vizuri haya maeneo ambako vita inapiganwa? Huko kulikuwepo na vita hata kabla, huko ni miongoni mwa majimbo ambayo Russia amekua akipandikiza mamluki mida tu ili wadai kujitenga.
 
Kuna wenye masrahi na hii Vita . Mfano Uchina, Urusi, Iran, US, wanafanya biashara kubwa ya siraha na nishati kwa pesa za ndani.
Sasa kama wana hiyo maslahu kwanini US na NATO wakakupigia simu wewe kukwambia kuwa hiyo vita wanajua kamwe hawatashinda? Na walikupigia wewe kukwambia hivyo ili uwasaidie nini?
 
Halafu eti source ni independent Russian news outlets. Yaani ni propaganda na udaku wa kwenye mitandao ndo analeta kama source. Poor Kenyan MK254 . Naona timu NATO Proved nae akijiliwaza eti Urusi kaishiwa kwa source ya udaku
Wanatumia hivyo vibwagizo kujipa faraja ila ni useless!Ipo siku tutafufua nyuzi zao na hawataamini!
 
Halafu eti source ni independent Russian news outlets. Yaani ni propaganda na udaku wa kwenye mitandao ndo analeta kama source. Poor Kenyan MK254 . Naona timu NATO Proved nae akijiliwaza eti Urusi kaishiwa kwa source ya udaku

hehehe Ukraine walianza kufukuzia Warusi kuanzia Kyev, kila siku mlikua mnasema propaganda, leo mwaka mmoja baadaye mnagombea kamji ka chumvi bado mnasema propaganda....mpaka mtakoma aisei takbirr
 
hehehe Ukraine walianza kufukuzia Warusi kuanzia Kyev, kila siku mlikua mnasema propaganda, leo mwaka mmoja baadaye mnagombea kamji ka chumvi bado mnasema propaganda....mpaka mtakoma aisei takbirr
Habari za Urusi siyo saizi yako, zimekuzidi sana. Nakushauri tu kapambanie kombe pale Migingo Island kabla Gen. Muhozi Kainerugaba hajakiwasha mpaka Nairobi.
 
Habari za Urusi siyo saizi yako, zimekuzidi sana. Nakushauri tu kapambanie kombe pale Migingo Island kabla Gen. Muhozi Kainerugaba hajakiwasha mpaka Nairobi.

kwamba wameiteka Kyev ndani ya wiki moja....mpaka mtakoma takbirr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…