Angalia sbb zifuatazo:
Jumuiya ya kimataifa including Russia haikuwah kuikubalia Armenia kumiliki hili eneo lililo kwenye mgogoro, hivyo Russia haikuona umuhimu wa kuizuia Az. isifanye yake
Turkey iliyo upande wa Az. imekuwa rafiki wa Russia hivi karibuni, na Putin ameona aendeleze urafiki; kumbuka Uturuki ni nchi ya pili kwa ukubwa wa jeshi NATO ikitanguliwa na US. Mrussi anakiri siku zote NATO ndio adui yake namba 1; kujipendekeza kwa uturuki ni kumong'onyoa umoja wa adui yake: jambo ambalo amefanikiwa. Sasa Edrogan yuko karibu na putin kuliko Western leaders.
Sababu ya tatu ni kwamba kiongozi wa Armenia alionesha kuegemea upande wa nchi za ulaya(Pro western) na hivyo Russia kaona ni mda muafaka wa kum'punish. US haijaingilia moja kwa moja probably sababu ya uchaguzi.
Sasa kwenye makala yako kuhusisha kuanguka kwa Russia na China kwa nguvu ya Western countries naona hujaitendea haki kalamu ya uandishi.