Mkuu putin anamahesabu makali San, unajua alivowagombanisha uturuki na USA na magharibi kwaujumla pale alipompa erdogan mkanda mzima wanamna alivokua atolewe madarakan na Hao jamaa kupitia mapinduz? Hebu vuta picha toka putin amuokoe erdogan nilin Hawa jamaa Waliachana, mm natabiri kama uturuki akizid kuungana hiv na rushia tutegemee hakun chamarekan Wal China Dunia itahikwa nahiz nchi mbili
Ngoja nitoe mfano kidogo ili kujenga hoja yang, putin amekutana kijeshi na erdogan sirya unaona walivoyamaliza hasa kule idlib? Je marekan hajaangukia pua baada ya Hawa jamaa kupanga mikakati Yao kuhusu sirya? Kule Libya walikua a uwanja wamapambano sim a kumbuka walimalizan vizur2 na baada yakumalizana marekan nawashirika wake wameambulia kitu? Turud Armenia na azabaijan, siniwao wamemaliza Yale mapigano Hakuna chamarekan Wal mfaransa wote wameangukia pua nachakushangaza Zaid yy putin na erdogan ndo majeshi Yao yanasimamia Aman, swali lakujiuliza haya yote yanayo tokea yanaiweka wapi marekan na wamagharibi? Maan tumezoea kuona haya mambo yanafanywa nawao kwenye migogoro yote dunian, hebu wajuvi tujikite hapo,
Sent from my JKM-LX1 using
JamiiForums mobile app