Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
Screenshot_20240805-203403_1.jpg
 
Maneno mengi kama waswahili, kama wanalianzisha walianzishe ijulikane moja,.sio kutishia tishia nyau tu.
Hiyo unayoita ni tishia nyau imefanya maelfu ya raia wa Israel kuihama nchi kwa muda usiojulikana kwa kuhofia vita kamili.
Kiufupi hii tishia tishia inavuruga akili na utulivu wa Israel.
Ni kama psychological torture.
 
Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
 
Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Doctor Vulture is seeking to treat the baldness..🤣🤣🤣🤣🤣

 
Doctor Vulture is seeking to treat the baldness..🤣🤣🤣🤣🤣

Sibahatishi mkuu. Nenda X tayari US base ya marekani imekula chuma huko west Iraqi muda huu. Iran na urusi wanaanza kusafisha njia.
 
Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
Marekani anaipa kiburi Israel . Mbinu ya Urusi ya kupiga Kambi za wamarekani hapo uarabuni naielewa sana. Ukitaka kuuwa nyoka piga kichwa usipige mkia.
 
Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
Pole
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Leo ameua gaid jingine
 
Sibahatishi mkuu. Nenda X tayari US base ya marekani imekula chuma huko west Iraqi muda huu. Iran na urusi wanaanza kusafisha njia.
Angalia hao Russia wanavyochakazwa sasa ndio ampige nani...!!!

 
Back
Top Bottom