Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Maneno mengi kama waswahili, kama wanalianzisha walianzishe ijulikane moja,.sio kutishia tishia nyau tu.
Washaanza kusafisha njia. Kula chuma hiko
Screenshot_20240805-221422.png
 
Hiyo unayoita ni tishia nyau imefanya maelfu ya raia wa Israel kuihama nchi kwa muda usiojulikana kwa kuhofia vita kamili.
Kiufupi hii tishia tishia inavuruga akili na utulivu wa Israel.
Ni kama psychological torture.
Kuna jamaa yangu nilikua nachart nae Whatsapp yupo Tel Aviv ananiambia Leo ni siku ya 3 wanalala kwenye mahandaki hawajui Muiran atakuja saa ngapi.
 
Kuna jamaa yangu nilikua nachart nae Whatsapp yupo Tel Aviv ananiambia Leo ni siku ya 3 wanalala kwenye mahandaki hawajui Muiran atakuja saa ngapi.
Yani haya ni mateso ya kisaikolojia.
Japo sisi keyboard warrior tunachukulia kama mikwara tu ya kipuuzi.
Kama ingelikua ni jambo jepesi kwa Israel basi isingeleta taharuki kwa raia na uongozi.
 
Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438

Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yana

Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Kuna majambo watu wengi hawayajui, hasacuhusiano wa Iran na Urusi. Hawa zama za zamani walikuwa na uhusiano kidini na kiutawala walikuwa wanaamini katika kuabudu moto na jua(Persian empire) huku waisrael(wazayuni) na baarhi ya waraabu pamoja na Roma wanaabudu Mungu wa Vitabu vitakatifu yaani Ukristo na Uislam na Uyahudi.

Ndio maana kwa wakati huo ikiwa vita vitapiganwa na Empire ya Persian na Roma basi watu watakaa upande fulani kutokana na uhusiano wa dini.

Sasa basi, Urusi kuunga mkono Irani ni sehemu yake na ni haki. Ila katika vita hivi ikiwa vitapiganwa basi tujue kuna vita rasmi itakuja nayo ni adui wa wote hao Urusi, Marekani, wafuasi wa Roma na waarabu nao ni Islamic State.

Wakati wanapigana wenzao watakuwa wanajipanga.
Na tufahamu lengo la Islamic state ni kutawala dunia nzima kwa sheria za kiislam.

Kwa haya yote soma Kitabu cha Daniel pia soma Quran sura Rumi kuhusu husiano wa Iran na Urusi lakin pia tafuta vyanzo mbalimbali za mwisho wa ulimwengu mambo ambayo yatakuja kutokea.
Search Youtube nk
 
Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Ilikuwepo Misri ikiwakusanya waarabu kuipiga Israel na iliufyata baada ya kipondo,

Ni kweli urusi kipo anachokitafuta kutokea kwa myahudi maana amekuwa kizabinazabina wa kumsaidia Iran na mahasimu wengine wa Israel kizuri ni kuwa mwisho wa siku mshindi wa vita ni Israel.
 
Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
Hahahaha naona sasa ushayajua maguvu ya Wazayuni na kukiri kuwa Iran ni chui wa karatasi.
 
Kuna majambo watu wengi hawayajui, hasacuhusiano wa Iran na Urusi. Hawa zama za zamani walikuwa na uhusiano kidini na kiutawala walikuwa wanaamini katika kuabudu moto na jua(Persian empire) huku waisrael(wazayuni) na baarhi ya waraabu pamoja na Roma wanaabudu Mungu wa Vitabu vitakatifu yaani Ukristo na Uislam na Uyahudi.

Ndio maana kwa wakati huo ikiwa vita vitapiganwa na Empire ya Persian na Roma basi watu watakaa upande fulani kutokana na uhusiano wa dini.

Sasa basi, Urusi kuunga mkono Irani ni sehemu yake na ni haki. Ila katika vita hivi ikiwa vitapiganwa basi tujue kuna vita rasmi itakuja nayo ni adui wa wote hao Urusi, Marekani, wafuasi wa Roma na waarabu nao ni Islamic State.

Wakati wanapigana wenzao watakuwa wanajipanga.
Na tufahamu lengo la Islamic state ni kutawala dunia nzima kwa sheria za kiislam.

Kwa haya yote soma Kitabu cha Daniel pia soma Quran sura Rumi kuhusu husiano wa Iran na Urusi lakin pia tafuta vyanzo mbalimbali za mwisho wa ulimwengu mambo ambayo yatakuja kutokea.
Search Youtube nk
Urusi, Turkey, Iran, na northern africam countries na other Islamic countries zitaungana zikiongozwa na Russia yaani GoG wa Mogogu kutaka kuipiga Israel very bad ni kuwa watashindwa vibaya mnoo yaani itakuwa ni aibu kubwa sana kwa russia & its allies. Na hii itatoa room for European Union kuwa ni rumi iliyofufuka itakayokuwa jumuia yenye kiongozi mwenye nguvu na ushawishi mkubwa dunian.Dola hii itazikung'uta nchi ambazo zitaipinga na infact zipo nchi nyingi viongozi wake watakubali yaishe na kibaya watampa kiongozi huyo wa EU madaraka yao na offcourse huyo kiongozi wa EU si mwingine bali mpinga kristo.
Kwa mfuatiliaji wa biblia vitabu vya ezekieli, daniel, injili za mathayo, luka, marko, na ufunuo wa Yohana kilia kitu kipo wazi sanaaaaa.
Na yanayoendelea sasa duniani wala hamna jipya biblia ilishaweka wazi kila kitu zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
 
Urusi, Turkey, Iran, na northern africam countries na other Islamic countries zitaungana zikiongozwa na Russia yaani GoG wa Mogogu kutaka kuipiga Israel very bad ni kuwa watashindwa vibaya mnoo yaani itakuwa ni aibu kubwa sana kwa russia & its allies. Na hii itatoa room for European Union kuwa ni rumi iliyofufuka itakayokuwa jumuia yenye kiongozi mwenye nguvu na ushawishi mkubwa dunian.Dola hii itazikung'uta nchi ambazo zitaipinga na infact zipo nchi nyingi viongozi wake watakubali yaishe na kibaya watampa kiongozi huyo wa EU madaraka yao na offcourse huyo kiongozi wa EU si mwingine bali mpinga kristo.
Kwa mfuatiliaji wa biblia vitabu vya ezekieli, daniel, injili za mathayo, luka, marko, na ufunuo wa Yohana kilia kitu kipo wazi sanaaaaa.
Na yanayoendelea sasa duniani wala hamna jipya biblia ilishaweka wazi kila kitu zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
Muweke na mchina, north Korea then upime tena tafakuri yako. Kisha uamini kua nchi itakayotaka kushindwa kama itabonyeza nuclear au la.
 
Kwa jinsi Israel alivyo mweupe, unabaki kuamini tu kwamba ikitokea vita rasmi imeibukia mlangoni kwake na akashinda, basi Mungu atakuwa amewasimamia tu hakuna ubora wa kijeshi wala mbinu za kivita kama tulivokuwa brainwashed hapo kabla.
 
Kuna majambo watu wengi hawayajui, hasacuhusiano wa Iran na Urusi. Hawa zama za zamani walikuwa na uhusiano kidini na kiutawala walikuwa wanaamini katika kuabudu moto na jua(Persian empire) huku waisrael(wazayuni) na baarhi ya waraabu pamoja na Roma wanaabudu Mungu wa Vitabu vitakatifu yaani Ukristo na Uislam na Uyahudi.

Ndio maana kwa wakati huo ikiwa vita vitapiganwa na Empire ya Persian na Roma basi watu watakaa upande fulani kutokana na uhusiano wa dini.

Sasa basi, Urusi kuunga mkono Irani ni sehemu yake na ni haki. Ila katika vita hivi ikiwa vitapiganwa basi tujue kuna vita rasmi itakuja nayo ni adui wa wote hao Urusi, Marekani, wafuasi wa Roma na waarabu nao ni Islamic State.

Wakati wanapigana wenzao watakuwa wanajipanga.
Na tufahamu lengo la Islamic state ni kutawala dunia nzima kwa sheria za kiislam.

Kwa haya yote soma Kitabu cha Daniel pia soma Quran sura Rumi kuhusu husiano wa Iran na Urusi lakin pia tafuta vyanzo mbalimbali za mwisho wa ulimwengu mambo ambayo yatakuja kutokea.
Search Youtube nk
Asante nitaongeza elimu .
 
Back
Top Bottom