Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Urusi kuisaidia Iran Tujiandae kuona nchi za kiarabu zikiingia kwenye matatizo makubwa.

Ushabiki mwingine mbaya sana mtu anakashifu Israel kuweka raia wake kwenye mahandaki ,
Hamuoni kwamba ni nchi imejiandaa hiyo? Na ni kawaida sana mbona wakati wa vita ya Kagera wananchi hadi wa vijijini huko walichimba mahandaki sijaona cha ajabu kwa Israel
 
Naamini sbb Putin kaweka wazi vita vyake na wayahudi kupitia Iran, kwa asilimia 100, Putin atamalizwa sio muda mrefu, tutaona mengi mno ndani ya miezi 2 ijayo
 
Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
Sio mbaya kujifariji ila mwisho wasiku tunajua wapi pray for zinapotokeaga..waulize watu wa gaza wanakufa kila siku kama nzi.
 
Hahahaha naona sasa ushayajua maguvu ya Wazayuni na kukiri kuwa Iran ni chui wa karatasi.
Nguvu gani alokua nayo mzayuni kijana
Ukweli mchungu wazayuni hawana nguvu wenyewe nguvu wale wazayuni wa media wale wananguvu
Wale wazayuni wakwenye MSM walienda entebbe wakakomboa mateka kwa masaa 24 ila leo wanashindwa kukomboa mateka wao mwaka mzima tena hapo jirani
Wale wazayuni wa MSM walienda german nk kumaliza walowaita magaidi waloua wanamichezo wao ila leo wanamwaka wanahangaika na watu waliopo happ
Wale wazayuni wa MSM walipiga mataifa ya kiarabu kwa siku sita ila leo wanashindwa kumaliza kakata mwaka mzima
Wazayuni nnaowaogopa niwakwenye MSM ila hawa wazayuni wamchongo hata mimi wananiogopa nikienda najambia tu
 
Naamini sbb Putin kaweka wazi vita vyake na wayahudi kupitia Iran, kwa asilimia 100, Putin atamalizwa sio muda mrefu, tutaona mengi mno ndani ya miezi 2 ijayo
Umetoka chachi asubuhi hiii😀
 
Pole
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Leo ameua gaid jingine
Wewe ndio pole sababu hujaacha ugaidi
Ukiacha ugaidi utaelewa kwanini nakupa pole
 
Kuna jamaa yangu nilikua nachart nae Whatsapp yupo Tel Aviv ananiambia Leo ni siku ya 3 wanalala kwenye mahandaki hawajui Muiran atakuja saa ngapi.
Muirani akili kubwa sana ujue israhell wananza kusafisha stock zao za kula na mma mapema
Masuper market watu wananunua maji kama hawana akili na vyakula vinaondoka
Hapa kikija kipigo wanakufa kwa njaa mbwa hao kama kumbi kumbi shenzi kabisa
 
Kuna majambo watu wengi hawayajui, hasacuhusiano wa Iran na Urusi. Hawa zama za zamani walikuwa na uhusiano kidini na kiutawala walikuwa wanaamini katika kuabudu moto na jua(Persian empire) huku waisrael(wazayuni) na baarhi ya waraabu pamoja na Roma wanaabudu Mungu wa Vitabu vitakatifu yaani Ukristo na Uislam na Uyahudi.

Ndio maana kwa wakati huo ikiwa vita vitapiganwa na Empire ya Persian na Roma basi watu watakaa upande fulani kutokana na uhusiano wa dini.

Sasa basi, Urusi kuunga mkono Irani ni sehemu yake na ni haki. Ila katika vita hivi ikiwa vitapiganwa basi tujue kuna vita rasmi itakuja nayo ni adui wa wote hao Urusi, Marekani, wafuasi wa Roma na waarabu nao ni Islamic State.

Wakati wanapigana wenzao watakuwa wanajipanga.
Na tufahamu lengo la Islamic state ni kutawala dunia nzima kwa sheria za kiislam.

Kwa haya yote soma Kitabu cha Daniel pia soma Quran sura Rumi kuhusu husiano wa Iran na Urusi lakin pia tafuta vyanzo mbalimbali za mwisho wa ulimwengu mambo ambayo yatakuja kutokea.
Search Youtube nk
Islamic khalifas kama itakuja itakua ndio ukombozi kwa dunia
Dunia inapitia mateso makubwa sana kwa sheria hizi za wamagharibi wajinga wajinga
 
Ilikuwepo Misri ikiwakusanya waarabu kuipiga Israel na iliufyata baada ya kipondo,

Ni kweli urusi kipo anachokitafuta kutokea kwa myahudi maana amekuwa kizabinazabina wa kumsaidia Iran na mahasimu wengine wa Israel kizuri ni kuwa mwisho wa siku mshindi wa vita ni Israel.
Ila inashindwa kuimaliza hamas pekee mwaka sasa
Chachi na MSM zimewafanya mufikirie kwakutumia macho badala ya akili
 
Ushabiki mwingine mbaya sana mtu anakashifu Israel kuweka raia wake kwenye mahandaki ,
Hamuoni kwamba ni nchi imejiandaa hiyo? Na ni kawaida sana mbona wakati wa vita ya Kagera wananchi hadi wa vijijini huko walichimba mahandaki sijaona cha ajabu kwa Israel
Wakati wa vita kwani israhell ipo vitani nanani?
Sijajua kama vita itatokea kweli ama laaah
Ila anachokifanya sasa israhell ni ujinga kama itatokea vita yeye atakua ana hasara sana
Kwasasa watu wapo pangoni anaezalisha uchumi huku juu nani na umeona uchumi wake israhell tokea aingie vitani na hamas haupo sawa na sasa anazidi kuingia matatizoni zaidi
Kubwa nikwamba israhell anaiogopa iran yaani iran kama angekua mdhaifu halaf kaishatangasa rasmi kama ataitwanga israhell lazima israhell ange pre emptive dhidi ya iran
Kwasasa israhell kuanzia viongozi raia mpaka uchumi upo kwenye wasiwasi mkubwa
Hii mbungi ikitokea leo nakuhakikishia israhell hatoboi labda atumie nyuklia kama anti yake alivyofanya JAPAN
Ingawaje kama nyuklia kwasasa zimetapakaa kila kona naye watu watamnyoosha pia
 
Umetoka chachi asubuhi hiii😀


Putin is purely arrogant, sasa i will support kupigwa sana Putin, his downfall is inevitable, kama huwajui wayahudi, subiri uone mambo ya Putin, inside Moscow wanamuondoa, najua huamini, Putin jinga kabisa
 
Hili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.

Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Hii ndio kombinisheni xx ya wanaume
 
Sio mbaya kujifariji ila mwisho wasiku tunajua wapi pray for zinapotokeaga..waulize watu wa gaza wanakufa kila siku kama nzi.
Gaza ni occupied territory isiyo na ulinzi wa anga wala wa ardhi na wala isiyo na jeshi kamili.
Usifananishe Gaza na Iran ambayo ina airdefence system zaidi ya nne,ina ndege vita,ina makombora ya kufika popote na ina jeshi kamili.
Weeeh usifananishe.
 
Putin is purely arrogant, sasa i will support kupigwa sana Putin, his downfall is inevitable, kama huwajui wayahudi, subiri uone mambo ya Putin, inside Moscow wanamuondoa, najua huamini, Putin jinga kabisa
Russia is not Egypt kijana.
Kwamba unaweza ukafanya regime change kiboya boya.
 
Huyo mwehu putin aliwahi kusema marekani kinamsukuma nini kuingia ukraine badala ya kufanya yaliyo nchini kwake ajabu hicho hicho alichojifanya kukishangaa ndicho anataka kukifanya huko iran.
 
Pole
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Leo ameua gaid jingine
Anaongea hivyo yeye mwenyewe hayupo Tel Aviv. Aongee hivyo akiwa Israel tuone janja yake. Majuzi hapa drones za Hizbollah zimepiga katikati kabisa ya Tel Aviv na Israel wakabaki wanashangaa. Iron doe is no more
 
Back
Top Bottom