Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #41
Hayo fanyieni huko Gaza wanapotumia mawe na viroketi vya kutumia baruti huko kwengine ni jicho kwa jicho.Tusisikie vilio na kutaka sijui UN ingilie kati na mnavukaga mipaka mpaka mnatakaga Serikali ya Tanzania itoe tamko la kulaani vita mliyochokoza wenyewe.
Sio mbaya kujifariji ila mwisho wasiku tunajua wapi pray for zinapotokeaga..waulize watu wa gaza wanakufa kila siku kama nzi.Kama vita itapelekea israhell kufutwa na kuchakazwa na kuwa mwanzo wa Palestine kua na amani acha vita ipiganwe
Mazayuni wanachoelewa wao ni nguvu kwa nguvu tuuu mbwa wakubwa wale
Nguvu gani alokua nayo mzayuni kijanaHahahaha naona sasa ushayajua maguvu ya Wazayuni na kukiri kuwa Iran ni chui wa karatasi.
Umetoka chachi asubuhi hiii๐Naamini sbb Putin kaweka wazi vita vyake na wayahudi kupitia Iran, kwa asilimia 100, Putin atamalizwa sio muda mrefu, tutaona mengi mno ndani ya miezi 2 ijayo
Wewe ndio pole sababu hujaacha ugaidiPole
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Leo ameua gaid jingine
Muirani akili kubwa sana ujue israhell wananza kusafisha stock zao za kula na mma mapemaKuna jamaa yangu nilikua nachart nae Whatsapp yupo Tel Aviv ananiambia Leo ni siku ya 3 wanalala kwenye mahandaki hawajui Muiran atakuja saa ngapi.
Islamic khalifas kama itakuja itakua ndio ukombozi kwa duniaKuna majambo watu wengi hawayajui, hasacuhusiano wa Iran na Urusi. Hawa zama za zamani walikuwa na uhusiano kidini na kiutawala walikuwa wanaamini katika kuabudu moto na jua(Persian empire) huku waisrael(wazayuni) na baarhi ya waraabu pamoja na Roma wanaabudu Mungu wa Vitabu vitakatifu yaani Ukristo na Uislam na Uyahudi.
Ndio maana kwa wakati huo ikiwa vita vitapiganwa na Empire ya Persian na Roma basi watu watakaa upande fulani kutokana na uhusiano wa dini.
Sasa basi, Urusi kuunga mkono Irani ni sehemu yake na ni haki. Ila katika vita hivi ikiwa vitapiganwa basi tujue kuna vita rasmi itakuja nayo ni adui wa wote hao Urusi, Marekani, wafuasi wa Roma na waarabu nao ni Islamic State.
Wakati wanapigana wenzao watakuwa wanajipanga.
Na tufahamu lengo la Islamic state ni kutawala dunia nzima kwa sheria za kiislam.
Kwa haya yote soma Kitabu cha Daniel pia soma Quran sura Rumi kuhusu husiano wa Iran na Urusi lakin pia tafuta vyanzo mbalimbali za mwisho wa ulimwengu mambo ambayo yatakuja kutokea.
Search Youtube nk
Ila inashindwa kuimaliza hamas pekee mwaka sasaIlikuwepo Misri ikiwakusanya waarabu kuipiga Israel na iliufyata baada ya kipondo,
Ni kweli urusi kipo anachokitafuta kutokea kwa myahudi maana amekuwa kizabinazabina wa kumsaidia Iran na mahasimu wengine wa Israel kizuri ni kuwa mwisho wa siku mshindi wa vita ni Israel.
Wakati wa vita kwani israhell ipo vitani nanani?Ushabiki mwingine mbaya sana mtu anakashifu Israel kuweka raia wake kwenye mahandaki ,
Hamuoni kwamba ni nchi imejiandaa hiyo? Na ni kawaida sana mbona wakati wa vita ya Kagera wananchi hadi wa vijijini huko walichimba mahandaki sijaona cha ajabu kwa Israel
Umetoka chachi asubuhi hiii๐
Hii ndio kombinisheni xx ya wanaumeHili lipo wazi kabisa kwa sasa . Kitendo cha Urusi kutangaza wazi ushirikiano wake na Irani Tujiandae kuona nchi za kiarabu kuwa uwanja wa vita.
Kambi za kijeshi za wamarekani zilizopo katika nchi za kiarabu kwa sasa zitakua ni shabaha ya silaha za urusi na Iran.
Hii ndio chance pekee aliyopata mrusi ya kuweza kumpiga mmarekani Moja kwa Moja kupitia Iran.
Tusubiri yajayo yanafurahisha.
View attachment 3062438
Huyo jamaa ni psychopath aiseee๐๐๐๐๐๐.Muweke na mchina, north Korea then upime tena tafakuri yako. Kisha uamini kua nchi itakayotaka kushindwa kama itabonyeza nuclear au la.
Iran sio Palestina mazeeh.Tusisikie vilio na kutaka sijui UN ingilie kati na mnavukaga mipaka mpaka mnatakaga Serikali ya Tanzania itoe tamko la kulaani vita mliyochokoza wenyewe.
Gaza ni occupied territory isiyo na ulinzi wa anga wala wa ardhi na wala isiyo na jeshi kamili.Sio mbaya kujifariji ila mwisho wasiku tunajua wapi pray for zinapotokeaga..waulize watu wa gaza wanakufa kila siku kama nzi.
Russia is not Egypt kijana.Putin is purely arrogant, sasa i will support kupigwa sana Putin, his downfall is inevitable, kama huwajui wayahudi, subiri uone mambo ya Putin, inside Moscow wanamuondoa, najua huamini, Putin jinga kabisa
Anaongea hivyo yeye mwenyewe hayupo Tel Aviv. Aongee hivyo akiwa Israel tuone janja yake. Majuzi hapa drones za Hizbollah zimepiga katikati kabisa ya Tel Aviv na Israel wakabaki wanashangaa. Iron doe is no morePole
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Leo ameua gaid jingine