Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

Ndugu kuna sababu ambazo zinaiweka Russia ulimwengu wa pili.
Kubwa zaidi ni uchumi,Uchumi wa Russia hauko competitive ht kwa nchi moja ya ulimwengu wa kwanza.
Pigia mfano China alivyowekewa vikwazo kipindi Cha Trump na jinsi alivyovitengua na hakuna raia wa China aloathirika Wala hela ya China kiathirika,pia pigia mfano kinachomkuta Russia,wananchi leo wameingia road kuandamana Vita na Ukraine isitishwe ugumu wa maisha umewashinda vikwazo viondolewe.
JAMAA KWA HASIRA KAKAMATA MAELFU YA WAANDAMANAJI.
Humu watu huwa mnadhani Russia anajiweza hamna kitu.
Toka aingie madarakani raia wamekwishaandamana kupinga ugumu wa maisha zaidi ya mara kumi Moscow na viunga vyake.
wee jamaa bana
samahani kama ntakukwaza ila huna hoja yamana hapa uloandika zaidi ya ushabiki
RUSSIA ilikuepo mpaka kwenye nchi saba tajiri zaidi Ulimeenguni G7 kabla yakuja kumtoa kimichongo mwaka 2014 kwasababu yakuivamia UKRAIN nakuitwaa CRIMEA unathubutuje kusema kwamba RUSSIA ni middle?
kuhusiana na hao waloandamana wala hawakuandamana kwasababu yamaisha magumu yaloletwa na vikwazo jamaa weandamana kwakutaka vita isitishwe tu wala sio masuala yakiuchumi
muache kutudanganya walau siku moja moja
 
Inasikitisha kuona vijana wengi wa taifa ka Tanzania kutokujua historia ya dunia, achilia mbali ya Tanzania

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
wee jamaa bana
samahani kama ntakukwaza ila huna hoja yamana hapa uloandika zaidi ya ushabiki
RUSSIA ilikuepo mpaka kwenye nchi saba tajiri zaidi Ulimeenguni G7 kabla yakuja kumtoa kimichongo mwaka 2014 kwasababu yakuivamia UKRAIN nakuitwaa CRIMEA unathubutuje kusema kwamba RUSSIA ni middle?
kuhusiana na hao waloandamana wala hawakuandamana kwasababu yamaisha magumu yaloletwa na vikwazo jamaa weandamana kwakutaka vita isitishwe tu wala sio masuala yakiuchumi
muache kutudanganya walau siku moja moja
NDUGU PROXY IRAN HUNA ULIJUALO KTK MASUALA YA KIUCHUMI NA PIA ACHA MIHEMKO.
HT HIYO SOUTH AFRICA ILIKUA KTK G7 UNALIFAHAMU HILO!?
NIMEPOST LIST YA MIDDLE UPPER INCOME COUNTRIES NA NIKAELEZA SABABU KWANN RUSSIA HAIPO ULIMWENGU WA KWANZA KASOME.
Mm nimetizama vyombo vya habari takriban vitatu CGTN(China global television network), ALJAZEERA,FRANCE INTERNATIONAL KWAHIYO HIVYO VYOMBO VIMEAMBIZANA TAARIFA!?
PUNGUZAGA MAHABA WE JAMAA.
NA KABLA YA MWAKA HUU FUATILIA PROTEST ZOTE ZA RAIA WA RUSSIA DHIDI YA PUTIN UTAPATA JIBU.
 
Ninani alimwambia Mh Magufuli kwambq sisi ni nxhi ya uchumi wa kati? Niambie tofauti uliyoiona kwa kabla na baada ya kupqndishwa daraja na hayo mashirika ya kibeberu. Kuna tofauti yoyote?

IMF na WB ni vyombo vya westen country.
Sakata la Magufuli na hawa Westerners sikukaa nikalifuatilia.
Maana mwanzo walikataa Tanzania kuwa low middle income mara baadae wakakubali kuwa Tanzania kuwa low middle income.
Utofauti nilouona mm ni kuendelea kwa miundombinu tu sijaona kingine.Kwahiyo siwez kukujibu zaidi.
Ila ukiitizama Russia na jinsi wananchi wake huko nyuma walivyokua wakivutana na Putin wao,pia ukiitizama kwamba Russia haina dollar reserve kubwa my brother huwezi ukaiita hiyo nchi ulimwengu wa kwanza.
 
Hizo silaha zitapitia bahari Gani au anga Gani?
Urusi hakuna bahari au anga analoruhusiwa kukatiza kwa sasa🤔
 
Kipindi Warusi wanaibaka Georgia, kuna mbwa yoyote ulimsikia kubweka?.au umesahau kuwa Rais alikuwa huyo huyo Bush kipindi icho
Umeona Georgia tu mimi nimeona washirika wa urusi wa kiuchumi kama libya,Iraq na Libya wakivamiwa huku baunsa wao akifyata.
 
Itakuwa Poa
Mnajdanganya sana nyie wala hamna fikra, wakati Ukraine ikigeuka magofu,Cuba na Venezuela zitakuwa majivu, huku Moscow na New York zikigeuka vifusi na nyuklia ndo itakuwa jawabu la mwisho.
Nyie wana CCM hamnaga akili kabisa mnadhani Urusi atashinda vita kirahisi hivyo?
Marekani na Urusi ni Simba na Chui,nani mshindi hapo?
 
Mkuu kasome some historia vizuri Kati ya hao washirika wa NATO na USA wao enzi za Hitler nani aliweza kumtwanga Hitler kwa Ulaya,kama sio Mrusi!

All in all USA anamuogopa mrusi na amejaribu miaka mingi kujaribu kuua uimara wake ikiwemo kuua dude la USSR Ila bado Moscow ni mbabe pekee dhidi ya USA.

USA peke yake hawezi kuingia vitani na Urusi.
Unateswa sana na ushabiki mkuu
 
wee jamaa bana
samahani kama ntakukwaza ila huna hoja yamana hapa uloandika zaidi ya ushabiki
RUSSIA ilikuepo mpaka kwenye nchi saba tajiri zaidi Ulimeenguni G7 kabla yakuja kumtoa kimichongo mwaka 2014 kwasababu yakuivamia UKRAIN nakuitwaa CRIMEA unathubutuje kusema kwamba RUSSIA ni middle?
kuhusiana na hao waloandamana wala hawakuandamana kwasababu yamaisha magumu yaloletwa na vikwazo jamaa weandamana kwakutaka vita isitishwe tu wala sio masuala yakiuchumi
muache kutudanganya walau siku moja moja

Kitu ambacho hata kule US wakati Bush anaivamia Iraq au hata Afghstan katika ile Operation Enduring Freedom, wapo raia waliandamana. So naungana na wewe kua kuandamana kwa wenzetu siyo issue au jambo la ajabu
 
Back
Top Bottom