Urusi: Mkosoaji wa Rais Putin alazimishwa kuisikiliza hotuba ya Rais kwa siku 100 mfululizo

Urusi: Mkosoaji wa Rais Putin alazimishwa kuisikiliza hotuba ya Rais kwa siku 100 mfululizo

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Mkosoaji mkubwa wa rais wa Urusi,
Alex Navalny amelalamikia kitendo cha walinzi wa gereza aliloshikiliwa kumlazimisha kusikiliza hotuba ya Rais Vladimir Putin kwa muda wa siku mia moja mfululizo.

Mwanasheria wa Navalny,
wakili msomi Diwalii,amedai kuwa mteja wake alilazimishwa kuisikiliza hotuba hiyo kwa siku miamoja mfululizo na hata pale alipowaomba walinzi wa gereza kuibadilisha walimueleza kuwa hawawezi kufanya hivyo mpaka mbabe Putin atakapolihutubia bunge kwa mara nyingine tena.

Inasemekana hotuba hiyo aliyosikilizishwa kwa lazima bwana Navaln,
ni ile iliyotolewa na mbabe Putin kwa wabunge wa urusi siku chache kabla hajayaamuru majeshi yake kuingia nchini Ukraine kwa kile alichokidai kuwa kupambana na manazi wa kisasa​
 
Mkosoaji mkubwa wa rais wa Urusi,
Alex Navalny amelalamikia kitendo cha walinzi wa gereza aliloshikiliwa kumlazimisha kusikiliza hotuba ya Rais Vladimir Putin kwa muda wa siku mia moja mfululizo.

Mwanasheria wa Navalny,
wakili msomi Diwalii,amedai kuwa mteja wake alilazimishwa kuisikiliza hotuba hiyo kwa siku miamoja mfululizo na hata pale alipowaomba walinzi wa gereza kuibadilisha walimueleza kuwa hawawezi kufanya hivyo mpaka mbabe Putin atakapolihutubia bunge kwa mara nyingine tena.

Inasemekana hotuba hiyo aliyosikilizishwa kwa lazima bwana Navaln,
ni ile iliyotolewa na mbabe Putin kwa wabunge wa urusi siku chache kabla hajayaamuru majeshi yake kuingia nchini Ukraine kwa kile alichokidai kuwa kupambana na manazi wa kisasa​
Watu wabunifu sana


Kwamba huduma nyingine zoooooooooote amepatiwa fulesh tu ndani ya gereza ila tatizo ni kusikilizishwa mfululizo tu na hata ukubwa wa saut hajaulalamikia
 
Russia ni nchi isiyobadilika kabisa, wako vilevile walivyokuwa karne mbili zilizopita na wana bahati mbaya sana ya kutawaliwa na watawala madikteta.

Russia kwa rasilimali walizonazo kama ni nchi ambayo ingekuwa na mfumo wa utawala kama ule wa Marekani basi leo hii kiuchumi nchi kama Marekani na China zingekuwa ni cha mtoto kwa Russia.
 
Russia ni nchi isiyobadilika kabisa, wako vilevile walivyokuwa karne mbili zilizopita na wana bahati mbaya sana ya kutawaliwa na watawala madikteta.

Russia kwa rasilimali walizonazo kama ni nchi ambayo ingekuwa na mfumo wa utawala kama ule wa Marekani basi leo hii kiuchumi nchi kama Marekani na China zingekuwa ni cha mtoto kwa Russia.
Yeah na hapo putin akifa (mana sion akiachia madaraka akiwa hai) watasumbuana tena kumpata new dictator, ila wakitulia wakaacha vita visivyo na faida, watakuwa matajiri sanaaa
 
Russia ni nchi isiyobadilika kabisa, wako vilevile walivyokuwa karne mbili zilizopita na wana bahati mbaya sana ya kutawaliwa na watawala madikteta.

Russia kwa rasilimali walizonazo kama ni nchi ambayo ingekuwa na mfumo wa utawala kama ule wa Marekani basi leo hii kiuchumi nchi kama Marekani na China zingekuwa ni cha mtoto kwa Russia.
Uko sahihi
 
Russia ni nchi isiyobadilika kabisa, wako vilevile walivyokuwa karne mbili zilizopita na wana bahati mbaya sana ya kutawaliwa na watawala madikteta.

Russia kwa rasilimali walizonazo kama ni nchi ambayo ingekuwa na mfumo wa utawala kama ule wa Marekani basi leo hii kiuchumi nchi kama Marekani na China zingekuwa ni cha mtoto kwa Russia.
Kilichoifanya Marekani ifike hapo ilipo ni matokeo ya Vita na Uporaji sio Demokrasia kama unavyodhani
 
Mkosoaji mkubwa wa rais wa Urusi,
Alex Navalny amelalamikia kitendo cha walinzi wa gereza aliloshikiliwa kumlazimisha kusikiliza hotuba ya Rais Vladimir Putin kwa muda wa siku mia moja mfululizo.

Mwanasheria wa Navalny,
wakili msomi Diwalii,amedai kuwa mteja wake alilazimishwa kuisikiliza hotuba hiyo kwa siku miamoja mfululizo na hata pale alipowaomba walinzi wa gereza kuibadilisha walimueleza kuwa hawawezi kufanya hivyo mpaka mbabe Putin atakapolihutubia bunge kwa mara nyingine tena.

Inasemekana hotuba hiyo aliyosikilizishwa kwa lazima bwana Navaln,
ni ile iliyotolewa na mbabe Putin kwa wabunge wa urusi siku chache kabla hajayaamuru majeshi yake kuingia nchini Ukraine kwa kile alichokidai kuwa kupambana na manazi wa kisasa​
Ndio maana jeshi la Russia limegawanyika na kukatika vipande vipande na kuzalisha mamluki ili kumpinga Putin kutokana na udikteta wake., soon itatimia Prigozhin alishaelekea Moscow kumtibua rais wa Belarus akaingilia kati, something is going on Putin ataondoka tu
 
Kilichoifanya Marekani ifike hapo ilipo ni matokeo ya Vita na Uporaji sio Demokrasia kama unavyodhani
Duh akili zako ww kama ng'ombeh , na nyiny poleni na ingien kwenye vita au chocheeni vita ili muwe kama marekan , majib mengine ukijib unaonesha ulivyo ndez kichwan
 
Sion uhusiano wa reply yako na hii thread
Uhusiano ni kwamba bora uwe chini ya dikteta lakini sio kuwa chini ya viongozi mashoga. Udikteta ni mzuri kama kuna mfumo sahihi wa uongozi. Mfano Urusi na China wana mifumo mizuri ya kiutawala hata huo madikteta wanawachagua wenyewe na wanawekewa malengo wakishindwa kufikia wanatolewa alafu wanaanza mchakato mwingine. Kiuhalisia nchi za marekani na wenzake (mabeberu) wanatumia mwamvuli wa demokrasia lakini kiukweli hakuna demokrasia na pia mifumo yao inajali mzunguko wa uongozi kwa watu fulani tu, wananchi wa kawaida hawana nafasi kuchangia mawazo yao chanya. Lakini kwa upande wa Russia na China na wengine kama hao wanamchagua mmoja asimamie maslahi ya wananchi na nchi kwa ujumla na kama akishindwa anaondolewa anatafutwa mwenye uwezo zaidi kuliko wa mwanzo. Huu mfumo wa Russia na China laiti sisi waafrika tungezingatia tungefika mbali sana, kwa sababu democrasia haijawahi kutusaidia zaidi ya kutudidimiza kwa kuleta machafuko yasiyo na ukomo na kuwapatia fursa nchi zinazojifanya za kidemokrasia kama marekani na wenzake kutuibia rasilimali zetu. Nadhani utakuwa umenielewa.
 
Back
Top Bottom