Urusi: Mwana kayataka, Finland na Sweden wamekidhi vigezo vya NATO

Urusi: Mwana kayataka, Finland na Sweden wamekidhi vigezo vya NATO

Kwa hiyo zitafikia nchi 32 dhaifu kijeshi zimeungana ili kupambana na mwanaume mmoja akichukia?
Ndiyo maana mpuuzi mmoja akisema Urusi ni dhaifu au nchi ya kawaida namtoa maanani.
Urusi ndiye Super power wa ukweli na ndiyo maana nchi dhaifu myingi zinaamua kushirikiana kujilinda dhidi yake.
Urusi ina silaha za maangamizi ambazo akitokea kichaa anaweza kuiangamiza dunia. Ni ukosefu wa akili kufikiri kwamba dunia ina mbabe. Hata USA haiwezi kujigamba kwa sasa enzi hizi za nyuklia.
Korea kaskazini ni taifa dogo lakini ina silaha za maangamizi. Sijui kwa nini watu wako subjective kiasi hiki.
mataifa yote yanapaswa kupambana dhidi ya silaha hatari.
 
Kwa hiyo zitafikia nchi 32 dhaifu kijeshi zimeungana ili kupambana na mwanaume mmoja akichukia?
Ndiyo maana mpuuzi mmoja akisema Urusi ni dhaifu au nchi ya kawaida namtoa maanani.
Urusi ndiye Super power wa ukweli na ndiyo maana nchi dhaifu myingi zinaamua kushirikiana kujilinda dhidi yake.
huyo mwanaume hajawai igusa nchi nwanachama wa NATO anavamia walalahoi wenzake
 
Ili Mchakato wa Finland na Sweden wa kujiunga NATO ukamilike basi lazima Mabunge yote 30 ya nchi wanachama yapige kura ya kuidhinisha uanachama wa mataifa hayo. Kati ya Mataifa 30 mpaka Sasa Ni Mataifa 2 tu ambayo hayajaidhinisha rasmi uanachama wa Finland na Sweden. Mataifa hayo Ni Hungary na Uturuki. Mataifa hayo ikumbukwe kwamba Ni maswahiba wa Putin na ndiyo yanakwamisha Mchakato.

Juzi Wizara ya Ulinzi ya Marekani imeidhinisha Uuzwaji wa Makombora ya masafa marefu kwa Finland,na wakati huo huo Finland ikasema itakuwa tayari kuruhusu Marekani kuweka Makombora yake ya Nyuklia kule Finland. Sasa huenda haya yote Ni maandalizi ya nchi hizo kupokelewa rasmi kwenye muungano wa NATO.
ule muungano mwingine wao ni NDIO NDIO tu ukipinga bas ww MSALITI ila huku unapewa uhuru wa kumkataa member mpya na hawakusumbui , hatuez waangusha NATO kama tutaendeshana km nyani wa mwituni silaha bora ya kuwaangusha NATO sio kwa kufanya makosa yao bali kufanya mazuri yao kwa ufanisi mkubwa kukiko wao
 
Kwasasa Mitambo ya Nuclear inategwa boda pale na Finland na Sweden...wala haina shida mingine itawekwa Venezuela
tatizo Venezuela wananch hawaitak serikali , ukiweka mitambo kesho yake mapinduz , unawaachia silaha maadui
 
Hao wapuuzi wa NATO hawana chochote.
Mbona wameshindwa kumuunga Ukraine kwa hati ya dharula?
Hao mishoga ulipopigwa ubalozi wa Ujerumani Kiev mbona hawakutoa reaction yoyote?
unachoandika kina akisi uwezo wa akili yako , hujiuliz,kwann Putin kaivamia Ukraine ambayo haipo kwenye umoja wowote either wa kibara au kiulinz , hlf kaiacha Latvia au Estonia ambao na wao pia ni NATO
 
Kumbe vita ni Uzalendo na kujitoa hao Ukraine wamemsumbua Mrusi ambae kila kukicha alikua anafanya drills sijui leo na India kesho China kumbe zile zilikua show off tuu leo anaomba msaada Iran wa Drones...Mrusi hamna kitu kabisa kumbe hata majeshi yetu ya Afrika yana nguvu sana yakipata siraha wanaweza kusumbuana na hao waongo wa Vita...mtu anakamata Walevi mtaani wakapigane vita na kutumia wafungwa pana jeshi hapo ujanja ujanja tuu..
 
Kwa hiyo zitafikia nchi 32 dhaifu kijeshi zimeungana ili kupambana na mwanaume mmoja akichukia?
Ndiyo maana mpuuzi mmoja akisema Urusi ni dhaifu au nchi ya kawaida namtoa maanani.
Urusi ndiye Super power wa ukweli na ndiyo maana nchi dhaifu myingi zinaamua kushirikiana kujilinda dhidi yake.
URUSI NAE ANA MUUNGANO WAO WA KUJILINDA KAMA NATO UNAHUSU NCH ZAHUKO ENEOLAOKWA TAARIFA SIO KWAMBA YUKO PEKE YAKE KAMA UNAVYODHANI
 
Urusi alijaribu kuparamia Ukraine kisa hakutaka wajiunge NATO, sasa ndio kama kafungulia lango kuu, maana Finland na Sweden sasa wameruhusiwa kujiunga NATO, wamekidhi vigezo, ifahamike Finland ina mpaka na Urusi wenye kilomita 1,271.8 km, hiyo ni zaidi ya umbali wa Dar hadi Kigoma au Dar hadi Mwanza au Bukoba, yaani hata umbali wa Dar hadi Kigali bado haujakidhi urefu huo.

Kwa kifupi, NATO ndio kama wamefika mpakani kwa Urusi, na ifahamike sheria za NATO, Urusi hawezi kujichanganya au kujisahau akashambulia hata kakijiji kamoja tu ndani ya mwanachama wa NATO, yeye Urusi ana hulka ya kudhulumu majirani lakini huwa ako makini sana kwa vitaifa vilivyo na uanachama NATO.

xVxyj8NB_T1o4GH7qwmrrNz04DNwQshU1R1xQibuzyk.jpg

=============================

NATO head Jens Stoltenberg said Finland and Sweden had fulfilled the conditions for joining the military alliance, although Turkey said it is not yet possible to judge if the July agreement has been fully implemented.
NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday that Sweden and Finland were ready to join the military alliance.

Stoltenberg said the two Nordic states had delivered on Turkey's demands, paving the way for accession.

"It's time to welcome Finland and Sweden as members of NATO," he told a press conference alongside Turkish Foreign Minister Mevlut Cavusoglu in Istanbul.

"In these dangerous times it is even more important to finalize their accession, to prevent any misunderstanding or miscalculation in Moscow," Stoltenberg added.

Ungeleta habari tu hiyo Si ingetosha… mpaka uisindikize na umbea na unazi?

Malizia na Uturuki kuibania Sweeden basi:
 
Hata Digidigi akijiingiza kwenye Target hushambuliwa na Simba zaidi ya 10 Hadi kifo na kufanywa kitoweo. Hiyo haimaanishi kwamba Simba mmoja atamshindwa Digidigi mmoja Bali Ni katika Kuonesha Ni jinsi gani Simba wanaweza kushirikiana hata kwa Jambo Dogo.
Hata Digidigi akijiingiza kwenye Target hushambuliwa na Simba zaidi ya 10 Hadi kifo na kufanywa kitoweo. Hiyo haimaanishi kwamba Simba mmoja atamshindwa Digidigi mmoja Bali Ni katika Kuonesha Ni jinsi gani Simba wanaweza kushirikiana hata kwa Jambo Dogo.
Mfano wa kipuuzi kabisa, Simba huwa wanajiunga pamoja kumvamia digidigi kwa kuwa wanaogopa Digidigi atawaumiza au atawavamia au kwa sababu gani?.
Tumia hilo bichwa vizuri
 
Urusi ina silaha za maangamizi ambazo akitokea kichaa anaweza kuiangamiza dunia. Ni ukosefu wa akili kufikiri kwamba dunia ina mbabe. Hata USA haiwezi kujigamba kwa sasa enzi hizi za nyuklia.
Korea kaskazini ni taifa dogo lakini ina silaha za maangamizi. Sijui kwa nini watu wako subjective kiasi hiki.
mataifa yote yanapaswa kupambana dhidi ya silaha hatari.
Hivi watu wengine mnatumiaje vichwa? Kwani Urusi peke yake ndiyo ana silaha za maangamizi?
1. Kwani Marekani hana silaha za maangamizi? kwanini wasiungane dhidi ya Marekani?
2. UK hana silaha za maangamizi? kwanini wasiungane dhidi ya UK
3. France hana silaha za maangamizi? kwanini wasiungane dhidi ya France?
Jambo wazi ni kwamba Marekani ni dhaifu na mpuuzi tu (ukiondoa kwenye movies za Hollywood? na ndiyo maana anakusanya watu wa kumsaidia palr mwanaume atapowasha moyo.
Military Super power ni mmoja tu RUSSIA.
 
kwan ulishawai sikia operation inafikia hatua hadi wanawawinda walev mtaani wakafanye operation
Kwani kuna mmoja wako yoyote mlevi amekokotwa kwenda vitani na Urusi?
Au jirani yako yoyote amekokotwa?
Ili nithibitishe kuwa Urusi anakusanya walevi.
Au unaniletea habari ambazo wapinzani wa Urusi wanataka tuzisikie?
 
Back
Top Bottom