Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Tayari inefahamika kuwa Russia na China wameanza maandalizi ya ujenzi wa Kambi ya kijeshi ya kudumu katika visiwa vya Cuba ambavyo vipo umbali wa mile 90 kutoka pwani ya Marekani.
Hii ni strategy ya hali ya juu sana na hatari sana kwa usalama wa marekani. Nadhani kwa sasa lazima marekani ifanye mambo yake kwa tahadhari kubwa maana asiyempenda kaja mpaka sebuleni kwake.
Wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanatuambia huu ndio mwanzo wa mwisho marekani kutamba kijeshi katika mataifa ya nchi zingine.
Hii ni strategy ya hali ya juu sana na hatari sana kwa usalama wa marekani. Nadhani kwa sasa lazima marekani ifanye mambo yake kwa tahadhari kubwa maana asiyempenda kaja mpaka sebuleni kwake.
Wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanatuambia huu ndio mwanzo wa mwisho marekani kutamba kijeshi katika mataifa ya nchi zingine.