Urusi na China Kujenga kambi ya kudumu ya Kijeshi nchini Cuba

Urusi na China Kujenga kambi ya kudumu ya Kijeshi nchini Cuba

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Tayari inefahamika kuwa Russia na China wameanza maandalizi ya ujenzi wa Kambi ya kijeshi ya kudumu katika visiwa vya Cuba ambavyo vipo umbali wa mile 90 kutoka pwani ya Marekani.

Hii ni strategy ya hali ya juu sana na hatari sana kwa usalama wa marekani. Nadhani kwa sasa lazima marekani ifanye mambo yake kwa tahadhari kubwa maana asiyempenda kaja mpaka sebuleni kwake.

Wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanatuambia huu ndio mwanzo wa mwisho marekani kutamba kijeshi katika mataifa ya nchi zingine.

Screenshot_20240612_202921_X.jpg
Screenshot_20240612_203051_X.jpg
 
Huo si ndiyo mchezo wa marekani,Wacha na wenzake wafanye
Unaambiwa tangu juzi ndege za marekani za uchunguzi zinapiga patrol ile mbayaa hakuna kulala mwanaume anapita na meli zake za kivita pwani ya marekani kwanza kachelewa kufika Cuba alisimama kando ya Miami kuangalia hali ya hewa ya marekani.
 
Unaambiwa tangu juzi ndege za marekani za uchunguzi zinapiga patrol ile mbayaa hakuna kulala mwanaume anapita na meli zake za kivita pwani ya marekani kwanza kachelewa kufika Cuba alisimama kando ya Miami kuangalia hali ya hewa ya marekani.
20 miles huko Florida,waliona mzigo wa nuclear ukipita,kwamba zingueni tuwazingue
 
Naipenda Urusi ila unafanya masihara Sana unavyoichukulia Marekani Kama mshindani wa Karibu Sana wa Urusi katika Mambo ya kijeshi na ulinzi wa mipaka yake!! Be serious plz
 
Back
Top Bottom