Kiuchumi Marekani na Urusi wametofautiana sana ila kijeshi wapi at per na Kuna wakati wanasema Urusi ipo vizuri kuliko US. Hii inamaanisha Russia anaweza kuwa na uwezo makubwa sana kwenye Anga lakini majini yupo weak kwa kulinganisha na Marekani n.k hivyo kwenye wastani...ndio Kuna wakati Russia yupo juu