Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #61
Mbona mnajibu maswali ambayo hamjaulizwa au mmeshachanganyikiwa? 🤣Urusi amezungukwa zaidi na Marekani kuliko eneo moja huko Cuba, Marekani atakuwa na base Ukraine, tayari Poland, tayari Finland ambapo ni pua na mdomo na Urusi, Sweden ni vile Urusi akijaribu tu atachakazwa kama mpira wa coner
Soma vizuri hapo juu Russia na China wanajenga kambi ya kijeshi ya kudumu nchini Cuba km 90 kutoka marekani.Kichaa pekee ndo ataamini (Russia+cuba) wanaweza kufurukuta mbele ya USA.
hupendi kusikia au?Mbona mnajibu maswali ambayo hamjaulizwa au mmeshachanganyikiwa? 🤣
Kusikia kwenye hamna is 🤣hupendi kusikia au?
unamuonaje biden mkuu?PUtin his dayz are numbered.
🤣🤣 kachoka akikaa kwenye upepo lazima aangukeunamuonaje biden mkuu?
yule mzee ukipiga kwenzi tu umeua...
vumilia tuKusikia kwenye hamna is 🤣
na hapo kwenu Tinde ijengweNa sisi tunafungua za ziada Nyarugusu Nyakanazi na Chikundi
Wadanganye wasiojua hiyo The Cuban missile crisis. Je, ni kweli hujui kuwa Marekani na USSR walikaa mezani na kukubaliana kuumaliza huo mtafaruku katika dakika za mwisho ambayo ilifanya Dunia nzima kupumua? Au umeamua kupasha kijiwe.Vita ikianza kisiwa cha Cuba kitazamishwa!
Fuatilia The Cuban Missiles crisis 1962!
Wakati Soviet alipo deploy missiles cuba kwa siri kuelekea US response yake ilikuwaje! Cuba ilijikuta imezingirwa na manowari za kivita na anga lote limefunikwa na ndege za kivita za US tayari kukigeuza kisiwa majivu na kukifuta kabisa!
Soviet ilibidi iziondoe silaha hizo.
Cuba na Russia wana uhusiano wa kihistoria baina yao na ni historia yenye thamani kwao, lakini swala la China or Russia kujenga kambi za Kijeshi Cuba hilo lifuteni kabisa kwenye vichwa na zushi wenu.Tayari inefahamika kuwa Russia na China wameanza maandalizi ya ujenzi wa Kambi ya kijeshi ya kudumu katika visiwa vya Cuba ambavyo vipo umbali wa mile 90 kutoka pwani ya Marekani.
Hii ni strategy ya hali ya juu sana na hatari sana kwa usalama wa marekani. Nadhani kwa sasa lazima marekani ifanye mambo yake kwa tahadhari kubwa maana asiyempenda kaja mpaka sebuleni kwake.
Wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanatuambia huu ndio mwanzo wa mwisho marekani kutamba kijeshi katika mataifa ya nchi zingine.
View attachment 3015807View attachment 3015808
Walimalizaje mtafaruku kama si USSR kukubali kuondoa silaha zake Cuba?Wadanganye wasiojua hiyo The Cuban missile crisis. Je, ni kweli hujui kuwa Marekani na USSR walikaa mezani na kukubaliana kuumaliza huo mtafaruku katika dakika za mwisho ambayo ilifanya Dunia nzima kupumua? Au umeamua kupasha kijiwe.
Cuba haiihitaji msaada wowote kutoka marekani maana Cuba wananchi wanatibiwa bure , shule bure na hakuna mwananchi anaelala na njaa hiyo ni toka enzi na enzi. Anaetakiwa kusaidiwa ni marekani maana ndio wananchi wao wanahitaji msaada wa chakula , matibabu na ada .Cuba na Russia wana uhusiano wa kihistoria baina yao na ni historia yenye thamani kwao, lakini swala la China or Russia kujenga kambi za Kijeshi Cuba hilo lifuteni kabisa kwenye vichwa na zushi wenu.
Sasa hivi Cuba imerudisha uhusiano na US na mahusiano hayo yanazidi kuimarika hatua kwa hatua ni mahusiano ambayo yamepelekea maisha ndani ya Cuba kuanza kubadilika sababu ya project ambaxo US anazi impliment ndani ya Cuba.
Marekani imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini Cuba kama sehemu ya juhudi za kuimarisha mahusiano mapya na kusaidia wananchi wa Cuba. Baadhi ya miradi hiyo ni pamoja na;
Miradi ya Afya
Marekani imekuwa ikisaidia kwa kutoa vifaa na huduma za afya, ikiwa ni pamoja na msaada wa matibabu na vifaa vya hospitali.
Elimu na Mafunzo
Msaada wa elimu umejumuisha vifaa vya kufundishia, ufadhili wa masomo, na programu za kubadilishana wanafunzi na walimu kati ya Marekani na Cuba. Hii ni pamoja na kutoa nafasi za kusoma katika vyuo vikuu vya Marekani kwa wanafunzi wa Cuba.
Kilimo na Usalama wa Chakula
Miradavya kilimo inalenga kuboresha teknolojia za kilimo, mbegu bora, na mbinu za kisasa za kilimo ili kuongeza uzasishaji wa chakula na kupunguza njaa. Hii pia inajumuisha msaada wa mbolea na dawa za mimea.
Ujasirimali na Biashara
Programu zza kukuza ujasiriamali na biashara ndogo ndogo zimeanzishwa ili kusaidia Wacuba kuanzishi na kukuzaza biashara zao. Hii ni pamoja na mafunzo juu ya jinsi ya kuendesha biashara, kupata mikopo, na masoko.
Tetnolojia na Mawasiliano
Marekani imekuwa ikitoa msaada wa kiteknolojia ili kuboresha miundombinu ya mawasiliano na kugongeza upatikanaji wa intaneti. Hii ni pamoja na vifaa vya kompyuta na mafunzo ya teknolojia.
Maendeleo ya Miundombinu
Miradi ya miundombinu imejumuisha ujenzi wa barabara, mabwawa, na mifumo ya maji safi na taka. Lengo ni kuboresha hali ya maisha ya Wacuba na kuweka mazingira bora ya maendeleo ya kiuchumi.
Mazingira na Nishati
Miradi ya kuhifadhi mazingira na kukuza nishati mbadala imeanzishwa ili kusaidia Cuba kuhama kutoka nishati za kiasili kwenda kwenye nishati safi kama vile jua na upepo.
Miradi hii ina lengo la kuimarisha maisha ya wananchi wa Cuba na kuweka msingi wa mahusiano mazuri kati ya Marekani na Cuba, kwa njia ya kusaidia na kuleta maendeleo endelevu. Hata hivyo, utekelezaji wa miradi hii unakabiliwa na changamoto za kisiasa na kiuchumi ambazo zinaathiri uhusiano kati ya nchi hizi mbili.
Sasa mnapokuja na ngonjera za eti wanataka kuendeleza mahsiano ya miaka ya ya sitini kweusi huko mnawaina Wacuba ni mafala sana au? Walikuwa na USSR miaka yote lakini ikaishia tu kuwa ipoipo kama ghetto tu.
South Afrika kupitia ANC wameamua ku surrender DA na kuamua kurudisha majeshi kwa yule waliyempinga miaka yote
Wewe ndiye unayesema hawahitaji, lakini hiyo miradi ndiyo inayoendekea kutekelezwa nchini Cuba.Cuba haiihitaji msaada wowote kutoka marekani maana Cuba wananchi wanatibiwa bure , shule bure na hakuna mwananchi anaelala na njaa hiyo ni toka enzi na enzi. Anaetakiwa kusaidiwa ni marekani maana ndio wananchi wao wanahitaji msaada wa chakula , matibabu na ada .
USSR aliondoa silahaWalimalizaje mtafaruku kama si USSR kukubali kuondoa silaha zake Cuba?
Dam ya wairaq itawafataPutin mwanaume mara moja hakuna wa kumtishia. Ana mpango wa kujenga nyingine Mexico na Venezuela.
Marekani inajipendekeza / inajitongozesha kwa nguvu ila ndio hivyo Cuba haina mpango.Wewe ndiye unayesema hawahitaji, lakini hiyo miradi ndiyo inayoendekea kutekelezwa nchini Cuba.
Mahusiano ya Cuba na US yameendelea kuimarika.
Marekani ikiruhusu hizo kambi zijengwe itakuja juta,ifanye lolote kutengeneza chokochoko Cuba ili Cuba isikalike,adui zako wanawezaje kuja mlangoni kwako nawe ukawa kimya?Tayari inefahamika kuwa Russia na China wameanza maandalizi ya ujenzi wa Kambi ya kijeshi ya kudumu katika visiwa vya Cuba ambavyo vipo umbali wa mile 90 kutoka pwani ya Marekani.
Hii ni strategy ya hali ya juu sana na hatari sana kwa usalama wa marekani. Nadhani kwa sasa lazima marekani ifanye mambo yake kwa tahadhari kubwa maana asiyempenda kaja mpaka sebuleni kwake.
Wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanatuambia huu ndio mwanzo wa mwisho marekani kutamba kijeshi katika mataifa ya nchi zingine.
View attachment 3015807View attachment 3015808
Acha uongo juha wewe, Mexico ni Kambi ya Marekani,ungesema Venezuela sawaPutin mwanaume mara moja hakuna wa kumtishia. Ana mpango wa kujenga nyingine Mexico na Venezuela.