Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Nikuulize swali.
Kwa mfano hapa Tanzania:,je unategemea au inawezekana jarida la BAKWATA likatetea regimen au mambo ya kikristo Ingawa ni nchi moja???,jibu ni HAPANA

VIilevile Israel ni nchi pana ambayo Kuna wayahudi, waarabu, wakristo waislamu na kadhaliko,: sio kila jarida mtu ambaye Yuko Israel anaunga mkono serikali ya Israel:,hivyo ni kawaida kuwa critised na baadhi ya majarida au media.
Ndio maana siamini habari hizo.
Bora GOOGLE au CHATGPT kwa sababu hazina favour ya upande wowote.


Choose to Agree or Continue to Argue.
Uharo mtupu.
 

Attachments

  • Screenshot_20241201-142141_Facebook.jpg
    Screenshot_20241201-142141_Facebook.jpg
    240.4 KB · Views: 3
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
 
Asa hiyo ceasefire Israel ameiomba wapi??, naomba hayo maandishi au picha inaonyesha Israel wakiomba ceasefire..na pili swala la ceasefire ni shinikizo kutoka France,UN na marekani kwa njia ya kuongea na viongozi wa pande zote mbili nikimaanisha Israel na lebanon.asa hapo ni suluhisho tosha kuwa Israel hakuomba ceasefire..la tatu ni kwamba HEZBOLLAH ni kundi la linalo operate ndani ya Lebanon,,hivyo ndio maana viongozi wa Lebanon wakahusishwa kwenye ku saini.asa hao Hezbollah kundi la kigaidi Kama wale HAMAS wangewapatia wapi huku wanakaa wamejificha kwenye mahandaki???.
Hizbullah magaidi kwa mujibu wa nani pia kama mashinikizo mbona hawajaacha kuitwanga licha ya mashinikizo anayo pewa kwani hamas walivyokua wanasaini mikataba ya kuwaachia magaidi wa kizayuni pale Ghaza walikua wanapatikana wapi naona umeishiwa hoja kijana unaanza kuleta vioja
 
Hizo habari nilizokupa sio copy and paste ni real.hizo zako ndio ume copy kwenye jarida halafu ukaleta hapa jukwaani

Tunapoongelea kushindwa vita maana yake ni kwamba amekuwa affected Sana na vita au vita imemuathiri zaidi.

Asa je mpka kufikia hatua ya ceasefire .
YUPI ALIYEDHULIKA SANA NA VITA(ALIYEUMIA SANA) Kati ya Israel na Lebanon (Hezbollah). ???
Kakwambia nani kama vita inapimwa kwa kupata sana hasara kijana au unaongelea vita ipi vita hua na sababu za kufanya taifa ama kundi husika kuingia kwenye vita hizo sababu kama zitafikiwa hata kama watakufa wanajeshi ama kundi lote basi hio vita unakua umeshinda ila athari umepata kubwa kasome vita ya hitler na ussr kama hutaelewa hapa hutaelewa tena
 
Hama nayo imetekwa sasa hivi mapigano yameanza Damascus.
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.
Assad anapambana na raia wake waliochoshwa na utawala wake
 
Nikuulize swali.
Kwa mfano hapa Tanzania:,je unategemea au inawezekana jarida la BAKWATA likatetea regimen au mambo ya kikristo Ingawa ni nchi moja???,jibu ni HAPANA

VIilevile Israel ni nchi pana ambayo Kuna wayahudi, waarabu, wakristo waislamu na kadhaliko,: sio kila jarida mtu ambaye Yuko Israel anaunga mkono serikali ya Israel:,hivyo ni kawaida kuwa critised na baadhi ya majarida au media.
Ndio maana siamini habari hizo.
Bora GOOGLE au CHATGPT kwa sababu hazina favour ya upande wowote.


Choose to Agree or Continue to Argue.
Hilo gazeti lililoletwa sio la waarabu pia bakwata kwanini isisifie ila huwezi ukataka bakwata lilisifie kanisa kwa kusema Yesu ni Mungu hili itakua sio sifa bali ni qufru ila bakwata wasipo wasifia wakristo kwa kujenga kisima watakua wajinga
 
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
Kama kupenda madikteta ni ujinga basi mjinga wa kwanza atakua marekani Uingereza EU NATO nk
 
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
Netanyuhu naye Dicteta mana kwake watu awamtaki Wanaandamana miez sasa lkn ataki kuachia ngazi vip nae unamuongeleaje au kwako ni ASSAD tu japo atukuona maandamano kwa Assad zaid tumeona Waasi na mitutu!! au mitutu ndio maandamano yenyewe ya wananchi??
 
Netanyuhu naye Dicteta mana kwake watu awamtaki Wanaandamana miez sasa lkn ataki kuachia ngazi vip nae unamuongeleaje au kwako ni ASSAD tu japo atukuona maandamano kwa Assad zaid tumeona Waasi na mitutu!! au mitutu ndio maandamano yenyewe ya wananchi??
Jifunze kuandika kwanza,naona hueleweki
 
Duuuh kumbe wewe ni mweupe hivi!?
Umesoma ulichokileta vizuri??
Shebah farms tangu 2006 ilitumika kama buffer zone wala haijashikiliwa kama unavyodai.
Na hiyo Shebah farm nusu ni buffer zone ya Israel na nusu ipo ndani ya utawala wa Hizbollah Kusini.
Tutajie vijiji anavyoshikilia Israel tangu aanze operations mwezi wa 10 mwaka huu.
 
Back
Top Bottom