Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikisema vijana wa Afrika munafanya waafrika tudharaulike muelewe tuna maanisha binafsi sidhanii kama kuna sehemu nimesema israhell kashindwa vita ila pia hakuna sehemu utanipa ushahidi wa israhell kushinda vita hasa kama utanukuu maneno ya paka yalomfanya wapeleke jeshi Lebanon kama kashinda labda unambie kashindaje shindaje unasemaje israhell hajaomba sizi faya wakati kasaini na baraza la mawaziri wame approve kwanini wasingekataa kama wanavyo kataa kule Ghaza pia nakwambia tu hakuna kiongozi wa hizbullah alihusishwa kwenye hayo makubaliano ya sizi faya zaidi ya viongozi wa sirikali kama yupo mtaje kwa maana hii hata hizbullah hawakutaka mazungumzo piaAsa mnaposema Israel imefeli vita imefeli wapi???, Cha kwanza Israel hakuomba ceasefire bali walioomba ceasefire ni ufaransa(France), marekani, kwa msukumo na malalamiko kutoka umoja wa mataifa(UN) kwa ku engage na viongozi wa Lebanon na Israel ili mapigani yasitishwe,,,ndio both sides zikakubali kusitisha mapigano.
Asa mnaposema Israel imefeli vita,JE IMEFELI WAPI?? na LEBANON kashinda wapi??
Naambatanisha.
View attachment 3166405
Kwamba wewe ndio mwenye utafiti wa kweli sioNimepitia sana hili suala na kujiridhisha kuwa hili ni kujilisha upepo kwa wazungu,kuficha ukweli halisi,na kuna siku BBC walifichua hili tena UK,binti wa kizungu wa UK na hijab zake akipinga unachoamini, wazungu wanasilimu
Ndio watu tuelewe kua hawana demokrasia sio Uingereza tu hata marekani hakuna demokrasia piaHilo swali hata mimi huwa nauliza kama Uingereza wana demokrasia kiongozi mkuu(mfalme/malkia) huwa anachaguliwa na wananchi?
Si bora put out kuliko yule mzee alorithi baada ya ***** kufa pale UK 🇬🇧kuna tofauti gani alivyoshinda uchaguz putin na babu yako aliyeendazake 2020
Punguani ni ww mfuasi wa Mudi mpenda Nyashi.Angalia huyu punguani hivi vita siyo vya dini ni vita vya maslahi.
Hayo mambo yanasimamiwa na idara ndogo Sana , WALA putin hawezi kuweka attention hukoHiyo mikakati ya ku-divide Putin's attention itafanya kazi kwa muda mfupi sana.
Saudia wanaogopa FAFO.Mbona hawajaungana na saudia
Asa hiyo ceasefire Israel ameiomba wapi??, naomba hayo maandishi au picha inaonyesha Israel wakiomba ceasefire..na pili swala la ceasefire ni shinikizo kutoka France,UN na marekani kwa njia ya kuongea na viongozi wa pande zote mbili nikimaanisha Israel na lebanon.asa hapo ni suluhisho tosha kuwa Israel hakuomba ceasefire..la tatu ni kwamba HEZBOLLAH ni kundi la linalo operate ndani ya Lebanon,,hivyo ndio maana viongozi wa Lebanon wakahusishwa kwenye ku saini.asa hao Hezbollah kundi la kigaidi Kama wale HAMAS wangewapatia wapi huku wanakaa wamejificha kwenye mahandaki???.Nikisema vijana wa Afrika munafanya waafrika tudharaulike muelewe tuna maanisha binafsi sidhanii kama kuna sehemu nimesema israhell kashindwa vita ila pia hakuna sehemu utanipa ushahidi wa israhell kushinda vita hasa kama utanukuu maneno ya paka yalomfanya wapeleke jeshi Lebanon kama kashinda labda unambie kashindaje shindaje unasemaje israhell hajaomba sizi faya wakati kasaini na baraza la mawaziri wame approve kwanini wasingekataa kama wanavyo kataa kule Ghaza pia nakwambia tu hakuna kiongozi wa hizbullah alihusishwa kwenye hayo makubaliano ya sizi faya zaidi ya viongozi wa sirikali kama yupo mtaje kwa maana hii hata hizbullah hawakutaka mazungumzo pia
Kweni Vita vya RusoUkraine ni vya Dini?!H
Ow abt Russia vs 🇺🇦 🇺🇦 mbona war ongoing wakristo mnapigana nyie kwa nyie vp makanisa mapta tatajengwaje
Hizo habari nilizokupa sio copy and paste ni real.hizo zako ndio ume copy kwenye jarida halafu ukaleta hapa jukwaaniAchana na hizo copy na paste nimekuwekea ushahidi kutoka jarida maarufu la Israel wenyewe Yedioth Ahronoth umekataa habari kutoka X.
Wapi nimeomgelea kijiji kimoja?
Soma tena.
Israeli occupation forces have failed to capture even a single village in southern Lebanon, despite deploying over 50,000 troops in a month-long ground invasion, the Hebrew
Vikosi vya Israel vimeshindwa kukamata hata kijiji kimoja kusini mwa Lebanon, licha ya kupeleka zaidi ya wanajeshi 50,000 katika uvamizi wa ardhini uliodumu kwa mwezi mmoja.
Sawa,Ila usidanganywe na hizo post za Twitter na majarida ambayo yako kwa mlengo wa kutetea wahusika,Kuna Open sources ambazo unaweza uka search mwenyewe,jaribu hata google au CHATGPT.Hujui chochote endelea na ushabiki mandazi ulivyoniomba ushahidi nikajua najadiliana kwa hoja kumbe vihoja.
Vitu vingi ufahamu ungetumia huu uzi kuuliza kujifunza unauliza Hezbollah watawapata wapi unamalizia na kusema kundi la kigaidi wanaishi kwenye mahandaki.Asa hiyo ceasefire Israel ameiomba wapi??, naomba hayo maandishi au picha inaonyesha Israel wakiomba ceasefire..na pili swala la ceasefire ni shinikizo kutoka France,UN na marekani kwa njia ya kuongea na viongozi wa pande zote mbili nikimaanisha Israel na lebanon.asa hapo ni suluhisho tosha kuwa Israel hakuomba ceasefire..la tatu ni kwamba HEZBOLLAH ni kundi la linalo operate ndani ya Lebanon,,hivyo ndio maana viongozi wa Lebanon wakahusishwa kwenye ku saini.asa hao Hezbollah kundi la kigaidi Kama wale HAMAS wangewapatia wapi huku wanakaa wamejificha kwenye mahandaki???.
Wewe ndiyo unadanganywa na hiizo copy and paste unazoleta humu ndiyo maana hata sija hqja ya kuuliza unazikota wapi mimi nakupa ushahidi wa source mfano umekataa habari za X nimekuweka link ya site jarida la Israel la Yedioth Ahronoth, lakini bado unaendelea kubisha.Sawa,Ila usidanganywe na hizo post za Twitter na majarida ambayo yako kwa mlengo wa kutetea wahusika,Kuna Open sources ambazo unaweza uka search mwenyewe,jaribu hata google au CHATGPT.
Any way usikwepe mada kuu.Vitu vingi ufahamu ungetumia huu uzi kuuliza kujifunza unauliza Hezbollah watawapata wapi unamalizia na kusema kundi la kigaidi wanaishi kwenye mahandaki.
Unajua kama Hezbollah wana wawakilishi kwenye bunge la Lebanon.
Nikuulize swali Baraza la Mawaziri lilipiga kura ya kusitisha vita na makubaliano kwa nini walipigq kura hiyo?
Nikuulize swali.Wewe ndiyo unadanganywa na hiizo copy and paste unazoleta humu ndiyo maana hata sija hqja ya kuuliza unazikota wapi mimi nakupa ushahidi wa source mfano umekataa habari za X nimekuweka link ya site jarida la Israel la Yedioth Ahronoth, lakini bado unaendelea kubisha.
Tangu lini waislamu waasi wakakubali kushirikiana na Israel kuipiga nchi ya kiislam?.Israel