Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

'Alawites', Dhehebu la Bashiri ni dhehebu la Kishia, ndio maana linasaidiwa na Ayatolah Hezbola pamoja na Vikundi vya Kishia vya Iraq vinavyoungwa mkono na Ayatolah ambao wote ni Dhehebu la Kishia.

Erdoğan kwa upande mwingine ni Sunni yeye na hayo makundi ambayo mengine ni ya Kigaidi ni Madhehebu ta Sunni.

Wakurdi wao ni Sunni lakini lengo lao ni Full Autonomy kwenye Maeneo yao ambayo wanataka kuanzisha Nchi yao iitwayo Kurdistan.
Kaka apa umesema kweli ongella hiii vita tatizo lengine lipo apa Uturuki anaowasaidia anataka pia wawafeke PKK wa w Syria ndio mana mzozo huu mgumu!!! Marekani anasapoti pkk w Syria kulinda visima na maeneo yao kwaiyo hii vita kwasasa Pkk nao wanaofu kubwa japo ni SUNN pengine Marekani na UTURUK walikubaliana mzozo usiende walipo PKK. Ikiwa mtakumbuka kipindi kile ktk mzozo Marekani aliwaacha njia panda awa PKK ikabidi Pkk waombe msaada wa Majeshi ya serikali ya ASSAD kwaiyo PKK awapo ktk madhehebu wanashililkiiana na yyte muimu usalama wao.. UTURUK yeye anatumiwa tu apo lkn inajua awezi fikia malengoyake kama pindi kile mwenyewe akaombo pooo kwa kufanya mkataba kule SOCH RUSSIA kwann ilibidi afanye mkataba nch3 RUSSIA IRAN na yeye mwenyewe UTURIUKA sababu izi apa ktk mzozo wa mwanzo Russia ilipogundua PKK y Syria imetelekezwa Marekani kimakusudi njama kati ya Uturuk na Marekani ili kumwachia Uturuki adhibiti ule mji shakushangaza apa Marekani walivo wanafiki na sio watu wakuwaamini walikuwa wanajua Uturuki inawaona awa PKK kuwa ni MAGAID inamana unawaacha washilika wako PKK kwa Uturuki ikawauwe wote!!! Kwaiyo RUSSIA akajua iyo njama kupitia ujasus wakaambiwa PKK waandike barua kuomba Majeshi ya Serikali waje kuwasaidia apo ndipo ikazaiwa ESTANA mkataba kule SOCHI Uturuki alipelekewa moto na akujua kilichojificha kuwa wale PKK sasa wapo pamoja na Serikali na Wajuba wa Hezbolah wamefika na ndio wanatoa kipigo. UTURUKI ikapiga esabu hii ndoa hatari kwangu PKK wapo IRAQ wanapigana awa Hezbollah wasije wakaenda na kule IRAQ apa SYRIA wajeda wangu wameuwawa kama kuku apana anaewamiliki awa Wahuni wa Hezbollah nani ni IRAN ndio ikaundwa ile ESTANA na Russia juzi kaiyona Uturuki kuwa inakiuka mkataba wa ESTANAA awa PKK wapo apo Syria Iraq ata Iran wapo wakiongezwa nguvu awa jamaa mjuwe UTURUKI atachapika sana japo nae atasaidiwa lkn galama itakuwa kubwa kwao,, ngoja tuone huu mzozo utaishaje wasasa pengine Uturuki kaona Russia yupo Biz kule!! ndio wkt apambanie ndotozao.
 
Bashar al-Assad ni detector hataki kungoka madarkani, analazimisha kuitawala Syria kama alivyoiacha baba yake muache apigwe vita, wasiriya wenywe ndio mana kuna makundi kibao ya Islamic hawamtaki anauwa watu wake ili aendelee kubaki madarakani, Putin anamuunga mkono kwa sababu ni dictator mwenzake na ana maslahi yake Syria
Vijana mnapenda kuropokwa kweli kweli aseee nitajie saudia UAE Jordan Bahrain Qatar nk mara ya mwisho kufanya uchaguzi wakuchagua rais au mfalme ulikua lini halaf nikumbushe mara ya mwisho kura ya kumchagua Mfalme ama malkia wa Uingereza ilifanyika lini
 
Israel na US wameona Lebanon wame failed sa wameamua kuwatumia hao ISIS eti Al Nusrah kumuangusha Assad 😄 Shenzi type kila anaye tumwa na US na Israel kudhuru nchi yake.
Unasema isreal wamefeli,huku baada ya ceasefire Bado Kuna maeneo ya Lebanon kama baadhi ya vijiji vimeshikiliwa na Israel haf unasema wamefeli,,wamefeli wapi???
 
Bashar al-Assad ni detector hataki kungoka madarkani, analazimisha kuitawala Syria kama alivyoiacha baba yake muache apigwe vita, wasiriya wenywe ndio mana kuna makundi kibao ya Islamic hawamtaki anauwa watu wake ili aendelee kubaki madarakani, Putin anamuunga mkono kwa sababu ni dictator mwenzake na ana maslahi yake Syria
KeWakati mwingine tumia akili alizokupa Mungu siyo kushikiwa akili tu na propaganda za Ulaya na Marekani hao ni binadamu wenzako, Putin kashida juzi uchaguzi wa wazi kabisa Urusi leo wewe upo Itigi unamuita Putin Dikteta.
 
Warusi na Wairani wanashindwa nini kuisaidia Syria kurudisha visima vya mafuta vinavyokaliwa na wamarekani na kuuacha Uchumi wa Syria ukidhoofika na kuonewa na waasi?
Wamarekani na EU wanashindwa nini kuisaidia Ukraine kurudisha Crimea na baadhi ya maeneo kule mashariki na kaskazini mwa Ukraine mpaka wanaacha wa Ukraine wanakufa
 
Vijana mnapenda kuropokwa kweli kweli aseee nitajie saudia UAE Jordan Bahrain Qatar nk mara ya mwisho kufanya uchaguzi wakuchagua rais au mfalme ulikua lini halaf nikumbushe mara ya mwisho kura ya kumchagua Mfalme ama malkia wa Uingereza ilifanyika lini
Akikujibu niite nipo mahala nimejibanza nakunywa kahawa.
 
Hakuna vita yeyote inayotokea hapo middle east bila ya mkono wa west hasa US na Israel.
Western countries wakikuchoka wanakuita dictator ili wakuondoe.
Hapo middle east kuna nchi yeyote inayofanya uchaguzi? Tuanzie hapo Jordan, Saudia, Oman, UAE, Qatar, etc
Ila hao wengine kwa sababu wamewekwa na US na Israel na wanafuata masharti yao basi kamwe hutasikia kuwa ni madikteta.

This world is a good place without the west and Israel.
 
Unasema isreal wamefeli,huku baada ya ceasefire Bado Kuna maeneo ya Lebanon kama baadhi ya vijiji vimeshikiliwa na Israel haf unasema wamefeli,,wamefeli wapi???
Muwe munaelewa mambo vijana musipende kuropokwa mnatuabisha waafrika wenzenu huku umeelewa kwenye Ile agree walikua na makubaliano ya muda gani kuji ondoa huko Lebanon au leo tayari ni siku ya 61 tokea makataa yasainiwe msipende kuropokwa
 
Hakuna vita yeyote inayotokea hapo middle east bila ya mkono wa west hasa US na Israel.
Western countries wakikuchoka wanakuita dictator ili wakuondoe.
Hapo middle east kuna nchi yeyote inayofanya uchaguzi? Tuanzie hapo Jordan, Saudia, Oman, UAE, Qatar, etc
Ila hao wengine kwa sababu wamewekwa na US na Israel na wanafuata masharti yao basi kamwe hutasikia kuwa ni madikteta.

This world is a good place without the west and Israel.
Naongeza nyama sio mido ist tu mgogoro wowote duniani lazima majamaa yahusike Taiwan wanapeleka silaha Sudan wanapeleka silaha Kongo wanapeleka silaha Ukraine wanapeleka silaha nk nk nk
 
Kwa fada ya JF tutajie hivyo vijiji ambavyo vinashikiliwa na Israel JF siyo sehemu ya porojo.
Screenshot_20241201-091016_1.jpg

Hivyo hapo mkuu.
 
Hakuna vita yeyote inayotokea hapo middle east bila ya mkono wa west hasa US na Israel.
Western countries wakikuchoka wanakuita dictator ili wakuondoe.
Hapo middle east kuna nchi yeyote inayofanya uchaguzi? Tuanzie hapo Jordan, Saudia, Oman, UAE, Qatar, etc
Ila hao wengine kwa sababu wamewekwa na US na Israel na wanafuata masharti yao basi kamwe hutasikia kuwa ni madikteta.

This world is a good place without the west and Israel.
Hayo makundi yote yanapata msaada kutoka Ulaya na Marekani ni makundi ya kigaidi wataka yapewe dola. Nimeeleza vizuri kwenye huu uzi wangu nimeshangaa Mods wa JF wame edit uzi wangu yale maneno yote wameyatoa😁
 
Watapokea kipigo mapema na wapoteane mapema tu Russia ni Lidude kubwa sana. Lkn ukikaa kusikia propaganda za West unaweza sema Russia mgambo tu.!!
Kumbe Waislamu mnategemea msaada wa "kafir" Putin ili kuupambania Uislamu ?
 
Assad aliua mtu ndo sababu haya yote yalianza mwaka 2011 , Ile nchi siyo ya Assad , mnavyozid kumtetea Assad ndivyo mnavyo chochea hii vita Wasyria wanateseka kisa Assad anang'ang'ania madarakani
Hata wamarekani pia waliua watu kapitol
 
Back
Top Bottom