Kida ze great
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 242
- 288
Walijaribu kilicho wakuta hawataki tena kurudi huko kukomboa hivyo visimaWarusi na Wairani wanashindwa nini kuisaidia Syria kurudisha visima vya mafuta vinavyokaliwa na wamarekani na kuuacha Uchumi wa Syria ukidhoofika na kuonewa na waasi?