Urusi na Iran hawawezi kukubali serikali ya Syria itoke madarakani

Uharo mtupu.
 
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
 
Hizbullah magaidi kwa mujibu wa nani pia kama mashinikizo mbona hawajaacha kuitwanga licha ya mashinikizo anayo pewa kwani hamas walivyokua wanasaini mikataba ya kuwaachia magaidi wa kizayuni pale Ghaza walikua wanapatikana wapi naona umeishiwa hoja kijana unaanza kuleta vioja
 
Kakwambia nani kama vita inapimwa kwa kupata sana hasara kijana au unaongelea vita ipi vita hua na sababu za kufanya taifa ama kundi husika kuingia kwenye vita hizo sababu kama zitafikiwa hata kama watakufa wanajeshi ama kundi lote basi hio vita unakua umeshinda ila athari umepata kubwa kasome vita ya hitler na ussr kama hutaelewa hapa hutaelewa tena
 
Hama nayo imetekwa sasa hivi mapigano yameanza Damascus.
 
Wanaukumbi.

Waasi wanaoungwa mkono na Uturuki, Israel, Ulaya na Marekani wanatumiwa kuungusha utawala wa Rais Bashar al-Assad.

Ulaya na Marekani hapa wapambana na Urusi baada kushindwa kupambana naye Ukraine wamerudi tena Syria.
Assad anapambana na raia wake waliochoshwa na utawala wake
 
Hilo gazeti lililoletwa sio la waarabu pia bakwata kwanini isisifie ila huwezi ukataka bakwata lilisifie kanisa kwa kusema Yesu ni Mungu hili itakua sio sifa bali ni qufru ila bakwata wasipo wasifia wakristo kwa kujenga kisima watakua wajinga
 
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
Kama kupenda madikteta ni ujinga basi mjinga wa kwanza atakua marekani Uingereza EU NATO nk
 
Hamas wanaendelea kuchezea kipigo kizito.
 
We mjinga kwann wapenda madikteta? Yaani hao kina Assad kuanzia babayake Hafidh mpaka yeye wameigeuza hiyo ni nchi yao halafu wananchi wakiamua kuwaasi mnasema wanatumiwa,hiyo ni akili ya sawasawa kweli?
Netanyuhu naye Dicteta mana kwake watu awamtaki Wanaandamana miez sasa lkn ataki kuachia ngazi vip nae unamuongeleaje au kwako ni ASSAD tu japo atukuona maandamano kwa Assad zaid tumeona Waasi na mitutu!! au mitutu ndio maandamano yenyewe ya wananchi??
 
Jifunze kuandika kwanza,naona hueleweki
 
Duuuh kumbe wewe ni mweupe hivi!?
Umesoma ulichokileta vizuri??
Shebah farms tangu 2006 ilitumika kama buffer zone wala haijashikiliwa kama unavyodai.
Na hiyo Shebah farm nusu ni buffer zone ya Israel na nusu ipo ndani ya utawala wa Hizbollah Kusini.
Tutajie vijiji anavyoshikilia Israel tangu aanze operations mwezi wa 10 mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…