hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16]Mambo ya kwenye drafti haya.
Drafti la suluhu mtu anakuambia wewe ndiyo umetaka suluhu siyo mimi. Unamwambia basi shinda na hawezi vile vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mambo ya kwenye drafti haya.
Drafti la suluhu mtu anakuambia wewe ndiyo umetaka suluhu siyo mimi. Unamwambia basi shinda na hawezi vile vile.
Watajua hawajui manina zao .. lazima waombe poo[emoji16][emoji16]Nafaka hasa Ngano zinalimwa sana Ukrein na Urusi saivi Russia kashikilia maghala ya Nafaka za Ukrein hapo ndipo dunia inaposoma namba sasa, Ulaya inategemea Gas ya Urusi kwa 60% na tunaelekea kwenye baridi, mbona wataelewa tu
Usiku wa deni haukawii kukicha [emoji16]Badiri inaanza mwezi November, bado sana kipindi cha baridi. Wenzetu sasa ndio wanaanza kipindi cha joto, then September wanakuwa na autumn.
Simba ana kula swala , swala ana kula majani [emoji16][emoji16]Duniani hakuna haki samaki mkubwa anammeza samaki mdogo
Nalog off Z
Nimekuelewa mkuu, kuna jamaa tu kanipigia ananidai hapa, siku inakaribia kwisha na sijapata hela yake🤣🤣🤣Usiku wa deni haukawii kukicha [emoji16]
Russia kupitia vita hii anakwenda kujitanua Africa Sasa na kuuza bidhaa zake hakuna watu watakao taka kuona Wana kufa na njaaRais wa Urusi Vladimir Putin alijadili ushirikiano wa kisiasa, kibiashara na kiuchumi, pamoja na athari za vikwazo vya Magharibi na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Senegal Macky Sall katika mji wa Sochi kusini mwa Urusi hapo jana (Ijumaa).
Putin na Sall walizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano, ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kuimarisha mazungumzo ya kisiasa pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kibinadamu kati ya Urusi na nchi za Afrika, Kremlin ilisema.
Putin alisema kuwa Urusi iko tayari kuendeleza uhusiano wa kibinadamu na nchi za Afrika, akitaja nia kubwa ya Urusi katika utamaduni wa Kiafrika.
Sall pia alibainisha athari za vikwazo vya Magharibi kwa Urusi, akiongeza kuwa nchi nyingi za Afrika ziliathiriwa moja kwa moja na mzozo wa Russia na Ukraine.
"Vikwazo dhidi ya Urusi vimezidisha hali hii, na kwa sasa hatuna nafaka kutoka Urusi, hasa ngano ... muhimu zaidi, hatuna mbolea ... na hii ina madhara kwa usalama wa chakula katika Afrika," Sall alinukuliwa na Kremlin akisema.
[emoji1][emoji1]Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo 'superpower' wa kweli amefahamika kwa sasa!Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.
Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?
Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.
Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.
Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
Na hawatoipata milele.Simba ana kula swala , swala ana kula majani [emoji16][emoji16]
Hivi ndivyo nature ilivyo amua tuishi . Hao wanao ililia haki Wana jiongopea sana
Sure!Kwa namna dunia ilikofikia mambo ya kupigana mavita ni ya kishamba.
Vita ina hasara mara nyingi kuliko faida, kama si vita ya Kagera leo tungekuwa mbali sana.
🤣🤣🤣🤣 Jf Ina Kila aina yarangiNimekuelewa mkuu, kuna jamaa tu kanipigia ananidai hapa, siku inakaribia kwisha na sijapata hela yake🤣🤣🤣
Hili ndilo somo sahihi kwa dunia kuwa kila nchi ijifunze kuwa self reliant, ni jambo la kushangaza kwa nchi za tropiki kutegemea chakula cha kila siku kutoka kwa ukrainKwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea be
Wakati mwingine ukiwa misinformed au ukiwa hujui au huna hakika na usemacho kaa kimya. Niwekee link walau moja kuonesha Syria imetuma makombora au hata kupiga Risasi Israel. Usiongee tu roporopo.Hakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
Ukraine sio nchi huru. Kuna mifano kibao ya kuthibitisha hilo.Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Pimbi wa akiliHakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
[emoji38][emoji38] tuishi humo kakaNimekuelewa mkuu, kuna jamaa tu kanipigia ananidai hapa, siku inakaribia kwisha na sijapata hela yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo USA anahaki ya kuwalubuni wengine na kuweka silaha jirani kabisa na wenzie.??Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Dunia gani unaiomba kuondoka vikwazo Urusi kupitia JF?Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.
Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?
Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.
Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.
Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.