Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Rais wa Urusi Vladimir Putin alijadili ushirikiano wa kisiasa, kibiashara na kiuchumi, pamoja na athari za vikwazo vya Magharibi na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Senegal Macky Sall katika mji wa Sochi kusini mwa Urusi hapo jana (Ijumaa).

Putin na Sall walizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano, ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kuimarisha mazungumzo ya kisiasa pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kibinadamu kati ya Urusi na nchi za Afrika, Kremlin ilisema.

Putin alisema kuwa Urusi iko tayari kuendeleza uhusiano wa kibinadamu na nchi za Afrika, akitaja nia kubwa ya Urusi katika utamaduni wa Kiafrika.

Sall pia alibainisha athari za vikwazo vya Magharibi kwa Urusi, akiongeza kuwa nchi nyingi za Afrika ziliathiriwa moja kwa moja na mzozo wa Russia na Ukraine.

"Vikwazo dhidi ya Urusi vimezidisha hali hii, na kwa sasa hatuna nafaka kutoka Urusi, hasa ngano ... muhimu zaidi, hatuna mbolea ... na hii ina madhara kwa usalama wa chakula katika Afrika," Sall alinukuliwa na Kremlin akisema.
Swali dogo tu. Kwa nini Afrika hatujajitegemea angalao kwa chakula. Kulikoni, nani wa kumlaumu - uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. It sounds irresponsible and illogical
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin alijadili ushirikiano wa kisiasa, kibiashara na kiuchumi, pamoja na athari za vikwazo vya Magharibi na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Senegal Macky Sall katika mji wa Sochi kusini mwa Urusi hapo jana (Ijumaa).

Putin na Sall walizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano, ikiwa ni pamoja na umuhimu wa kuimarisha mazungumzo ya kisiasa pamoja na ushirikiano wa kiuchumi na kibinadamu kati ya Urusi na nchi za Afrika, Kremlin ilisema.

Putin alisema kuwa Urusi iko tayari kuendeleza uhusiano wa kibinadamu na nchi za Afrika, akitaja nia kubwa ya Urusi katika utamaduni wa Kiafrika.

Sall pia alibainisha athari za vikwazo vya Magharibi kwa Urusi, akiongeza kuwa nchi nyingi za Afrika ziliathiriwa moja kwa moja na mzozo wa Russia na Ukraine.

"Vikwazo dhidi ya Urusi vimezidisha hali hii, na kwa sasa hatuna nafaka kutoka Urusi, hasa ngano ... muhimu zaidi, hatuna mbolea ... na hii ina madhara kwa usalama wa chakula katika Afrika," Sall alinukuliwa na Kremlin akisema.
Watu tumelima ila tumeshindwa kumudu bei ya mbolea na mashamba yamepotelea polini
 
Swali dogo tu. Kwa nini Afrika hatujajitegemea angalao kwa chakula. Kulikoni, nani wa kumlaumu - uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. It sounds irresponsible and illogical
Iko wazi nchi nyingi za Afrika hazitilii maanani masuala ya technology na ndio maana Tz tumeshindwa kutengeneza mbolea za kueleweka na tukaishia tu Minjingu Phosphorus Fertilizer na wabunifu waliishia hapo hadi kesho. Ila mbolea haihitaji rocket sciences kutengeneza ni vile tu kipaumbele cha nchi hii kwa viongozi wetu ni
1. Uchaguzi ujao
2. Upigaji
3. Starehe
 
Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.

Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?

Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.

Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.

Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
Kiukweli Russia ndo ameweka vikwazo sio mwingine..
 
Swali dogo tu. Kwa nini Afrika hatujajitegemea angalao kwa chakula. Kulikoni, nani wa kumlaumu - uvamizi wa Urusi kwa Ukraine. It sounds irresponsible and illogical
Kabisa aisee, mafuta yatushinde hata mahindi tu, hatupo siriaz
 
Back
Top Bottom