Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Urusi ndiyo iliyeweka vikwazo kwa Dunia, si Dunia iliyomwekea vikwazo Urusi

Wakati mwingine ukiwa misinformed au ukiwa hujui au huna hakika na usemacho kaa kimya. Niwekee link walau moja kuonesha Syria imetuma makombora au hata kupiga Risasi Israel. Usiongee tu roporopo.
Maana yangu haikukuwa niandike Damascus, bali Parestina
 
Mkuu umetoa mfano hai kabisa, ila vijana wengi wa leo itakuwa ngumu kuelewa
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Anayo haki zaidi ya %100
Fuatilia mambo kijana RUSSIA anatakiwa aongeze mapigo zaidi
Twendeni na RUSSIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
Kama wao UKRAINE sio wakorofi basi kaeni kwakutulia anyooshwe kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Unafikili Burundi akileta maujinga ya kutaka kuatarisha usalama wa nchi yetu pendwa Tanzania tutamuacha?? Wakati mwingene tumiaga akili kufikili
 
Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Nchi hairuhusiwi kuivamia nchi nyingine hata kama anakuvamia na kinachotakiwa ni kulinda mipaka yako tu. Tz ilifanya kosa kuivamia Uganda na USA na mademu zake walikuwa kimya kwakuwa tu shehe Eid alikuwa mshirika wa Urusi na ujamaa.
 
Kwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.

Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
Huyo amerogwa na propaganda za wast kantriz
 
Kwa namna dunia ilikofikia mambo ya kupigana mavita ni ya kishamba.

Vita ina hasara mara nyingi kuliko faida, kama si vita ya Kagera leo tungekuwa mbali sana.
Kwa TZ hii sidhani kama upo sahihi
 
Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.

Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?

Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.

Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.

Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
Halafu waweka vikwazo walivyo malofa wanambembeleza wakiyemeekea vikwazo awaruhusu watoe chakula alichokizuia Kwa anayetumiwa kuhujumu mrusi🤔
 
Naonahii
Nafaka hasa Ngano zinalimwa sana Ukrein na Urusi saivi Russia kashikilia maghala ya Nafaka za Ukrein hapo ndipo dunia inaposoma namba sasa, Ulaya inategemea Gas ya Urusi kwa 60% na tunaelekea kwenye baridi, mbona wataelewa tu
hii namba tunaisoma wote hadi Afrika
i
 
Vita ina hasara kwa wewe hata bomu la kurusha kwa mkono unategemea kupewa msaada ila nchi Kama urusi ni sawa yupi kwenye majaribio ya siraha zake na kuangamiza siraha chakavu
Silaha za kivita zinajaribiwa na juangamizwa baharini
 
Kwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.

Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
Kama SII Kwa uonevu kama alivyofanya, Nato /marekani na Ulaya Kule Libya,au alichokifanya marekani kule Iraq.Ila mrusi Kwa kuhujumiwa kupitia Ukraine ana haki ya kuhakikisha usalama wake.
 
Hakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
Hata Tz ilipokuwa inapelekeshwa na Malawi juu ya lake Malawi i.e Nyasa ndipo Rwanda nae akaanza kutusokonyoa. Kitendo cha Ukraine kuhodhiwa na USA ndipo Putin akaona udhaifu na yy ametamani pia kumtawala
 
Kama SII Kwa uonevu kama alivyofanya, Nato /marekani na Ulaya Kule Libya,au alichokifanya marekani kule Iraq.Ila mrusi Kwa kuhujumiwa kupitia Ukraine ana haki ya kuhakikisha usalama wake.
Watu hawaangalii mambo kwa kina na kuona Urusi kama ni monster au devil ila Ukraine ndiye sababu na mkorofi kwa Urusi.
Putin nae anaichelewesha operation hii bila ya sababu za msingi.
 
Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi
Tanzania yako ilikosea sheria za kimataifa!! yenyewe ilipiga mpaka Kampala .....ilipaswa kurudisha sehemu zake tu! zilizo chukuliwa na Idd amin!
 
Tanzania yako ilikosea sheria za kimataifa!! yenyewe ilipiga mpaka Kampala .....ilipaswa kurudisha sehemu zake tu! zilizo chukuliwa na Idd amin!
Nimemwambia na kilichosaidia ni kwakuwa ni Id Amin ambaye naye alivunja sheria nyingi tu za nchi ikiwemo kupindua serikali na kufanya majaribio ya kumuua rais aliyempindua madarakani otherwise cc saizi tungekuwa hatupo duniani maana hata mahindi ya Yanga tusingeyapata
 
Back
Top Bottom