Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Mwenye akili hawezi kujibu kama wewe. Kwa majibu hayo unaweza ukawa mweupe kichwani mara 100 yangu. (Japo hapo juu maana yangu haikuwa niandike Damascus bali Parestina)Pimbi wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye akili hawezi kujibu kama wewe. Kwa majibu hayo unaweza ukawa mweupe kichwani mara 100 yangu. (Japo hapo juu maana yangu haikuwa niandike Damascus bali Parestina)Pimbi wa akili
Maana yangu haikukuwa niandike Damascus, bali ParestinaWakati mwingine ukiwa misinformed au ukiwa hujui au huna hakika na usemacho kaa kimya. Niwekee link walau moja kuonesha Syria imetuma makombora au hata kupiga Risasi Israel. Usiongee tu roporopo.
Anayo haki zaidi ya %100Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kama wao UKRAINE sio wakorofi basi kaeni kwakutulia anyooshwe kidogoHakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
HAKIKARussia kupitia vita hii anakwenda kujitanua Africa Sasa na kuuza bidhaa zake hakuna watu watakao taka kuona Wana kufa na njaa
Unafikili Burundi akileta maujinga ya kutaka kuatarisha usalama wa nchi yetu pendwa Tanzania tutamuacha?? Wakati mwingene tumiaga akili kufikiliHivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Nchi hairuhusiwi kuivamia nchi nyingine hata kama anakuvamia na kinachotakiwa ni kulinda mipaka yako tu. Tz ilifanya kosa kuivamia Uganda na USA na mademu zake walikuwa kimya kwakuwa tu shehe Eid alikuwa mshirika wa Urusi na ujamaa.Hivi mbona watu mna akili za kichawi hivi. Hivi Russia ana haki ya kuipiga nchi huru kabisa na wewe unasapot ujinga huu. Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi ya Burundi. Au hapo ulipo jiran yako akiwa ana nguvu ana hak ya kukuvamia hapo kwako
Huyo amerogwa na propaganda za wast kantrizKwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.
Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
Kwa TZ hii sidhani kama upo sahihiKwa namna dunia ilikofikia mambo ya kupigana mavita ni ya kishamba.
Vita ina hasara mara nyingi kuliko faida, kama si vita ya Kagera leo tungekuwa mbali sana.
Halafu waweka vikwazo walivyo malofa wanambembeleza wakiyemeekea vikwazo awaruhusu watoe chakula alichokizuia Kwa anayetumiwa kuhujumu mrusi🤔Sioni kwa namna yoyote ile dunia ikinufaika kwenye vikwazo ambavyo wao wanadai wamemwekea mbobezi na mbabe huyu wa dunia.
Kwangu mimi ninachoona ni ubinafsi na unafiki wa mataifa ya magharibi kwa dunia. Dunia inapata tabu kisa Ukraine, hii Ukraine ina nini hadi inafanya nchi nyingi za Afrika na Asia zinapata tabu kiasi hichi?
Kwa sasa duniani mafuta bei juu,vyakula bei juu,mbolea bei juu na kilicho na bei ndogo kunyamba tu basi.
Naiomba dunia waondoe vikwazo walivyoweka kwa Urusi ili mambo yaende sawa na Urusi acha amtwange Ukraine kwani hata ikifutika katika uso wa dunia bado dunia itaishi na haimtegemei yeye. Dunia inamtegemea Urusi kwa 87% na huyu ndie baba na babu wa ulimwengu huu.
Maisha magumu ni kwa sababu tu Urusi amechokozwa na tunapata tabu kweli kweli.
hii namba tunaisoma wote hadi AfrikaNafaka hasa Ngano zinalimwa sana Ukrein na Urusi saivi Russia kashikilia maghala ya Nafaka za Ukrein hapo ndipo dunia inaposoma namba sasa, Ulaya inategemea Gas ya Urusi kwa 60% na tunaelekea kwenye baridi, mbona wataelewa tu
Silaha za kivita zinajaribiwa na juangamizwa bahariniVita ina hasara kwa wewe hata bomu la kurusha kwa mkono unategemea kupewa msaada ila nchi Kama urusi ni sawa yupi kwenye majaribio ya siraha zake na kuangamiza siraha chakavu
Kama SII Kwa uonevu kama alivyofanya, Nato /marekani na Ulaya Kule Libya,au alichokifanya marekani kule Iraq.Ila mrusi Kwa kuhujumiwa kupitia Ukraine ana haki ya kuhakikisha usalama wake.Kwa hiyo Marekani anahaki ya kuingia Syria na kuweka jeshi lake kwenye nchi huru, Israel inahaki ya kupiga makombora Damascus kila mara mbona hao hawawekewi vikwazo.
Unaona kibanzi kwa mwenzako huoni boriti kwako
Hata Tz ilipokuwa inapelekeshwa na Malawi juu ya lake Malawi i.e Nyasa ndipo Rwanda nae akaanza kutusokonyoa. Kitendo cha Ukraine kuhodhiwa na USA ndipo Putin akaona udhaifu na yy ametamani pia kumtawalaHakuna cha kibanzi wala nini Damascus wakorofi. Huoni.wanavurumsha maroket upande wa Israel. Wanaenda kujitoa mhanga Israel. Hao wataachwa vipi ili-hali wao ndio wakorofi?. Tofauti na Ukraine ilikalia kimya. Nyie warusi kutwa kuitaka Ukraine isifanye mambo yake kwa uhuru. Nyie warusi mnataka muwaamulie nyie kenge cha kufanya Ukraine. Wapi umewahi kuona Tanzania inaamua namna ya watu wa Kenya wanavyotakiwa waishi kwa kufuata maamuzi ya Tz?
Watu hawaangalii mambo kwa kina na kuona Urusi kama ni monster au devil ila Ukraine ndiye sababu na mkorofi kwa Urusi.Kama SII Kwa uonevu kama alivyofanya, Nato /marekani na Ulaya Kule Libya,au alichokifanya marekani kule Iraq.Ila mrusi Kwa kuhujumiwa kupitia Ukraine ana haki ya kuhakikisha usalama wake.
Tanzania yako ilikosea sheria za kimataifa!! yenyewe ilipiga mpaka Kampala .....ilipaswa kurudisha sehemu zake tu! zilizo chukuliwa na Idd amin!Mbona Tanzania haikuachia Uganda Kagera ilivyoivamia Tanzania. Au Mimi ndo sijui hivi Tanzania una haki ya kuvamia nchi huru kama Burundi kwa sababu tu Tanzania ina nguvu zaidi
Nimemwambia na kilichosaidia ni kwakuwa ni Id Amin ambaye naye alivunja sheria nyingi tu za nchi ikiwemo kupindua serikali na kufanya majaribio ya kumuua rais aliyempindua madarakani otherwise cc saizi tungekuwa hatupo duniani maana hata mahindi ya Yanga tusingeyapataTanzania yako ilikosea sheria za kimataifa!! yenyewe ilipiga mpaka Kampala .....ilipaswa kurudisha sehemu zake tu! zilizo chukuliwa na Idd amin!