ushachanganyikiwa wewe , watu wanauana ndani ya Urusi , ndani ya urus kuna vikundi vinadai kujitenga , hiyo ardhi ya ukraine ataitawala lini ? Ungekuwa na akili ungeangalia kabla ya 2022 na leo 2024 Urusi kaenda mbele au karudi nyuma , China sasa hv anakamata import za Urusi hivyo Urusi soon atakuwa mateka wa China