Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nchi kubwa kama Urusi vikundi kama hivyo lazima viwepo kama marekani vile vile Watu ktk jimbo la Texas kila Leo wanapigania jimbo Lao kujitenga na Mexico City, ukubwa wa eneo sio tatizo kama una walinzi na ulinzi wa kutosha...Ukraine hayo majimbo manne ayasahau maisha yake yote hata kama mkataba wa Amani utafikiwaushachanganyikiwa wewe , watu wanauana ndani ya Urusi , ndani ya urus kuna vikundi vinadai kujitenga , hiyo ardhi ya ukraine ataitawala lini ? Ungekuwa na akili ungeangalia kabla ya 2022 na leo 2024 Urusi kaenda mbele au karudi nyuma , China sasa hv anakamata import za Urusi hivyo Urusi soon atakuwa mateka wa China