Urusi: Rais Putin asaini amri ya kukamatwa kwa Mali za Raia wa Marekani Nchini Urusi pamoja na Kampuni ili kufidia Vikwazo vya Marekani dhidi ya Mosco

Urusi: Rais Putin asaini amri ya kukamatwa kwa Mali za Raia wa Marekani Nchini Urusi pamoja na Kampuni ili kufidia Vikwazo vya Marekani dhidi ya Mosco

ushachanganyikiwa wewe , watu wanauana ndani ya Urusi , ndani ya urus kuna vikundi vinadai kujitenga , hiyo ardhi ya ukraine ataitawala lini ? Ungekuwa na akili ungeangalia kabla ya 2022 na leo 2024 Urusi kaenda mbele au karudi nyuma , China sasa hv anakamata import za Urusi hivyo Urusi soon atakuwa mateka wa China
Kwa nchi kubwa kama Urusi vikundi kama hivyo lazima viwepo kama marekani vile vile Watu ktk jimbo la Texas kila Leo wanapigania jimbo Lao kujitenga na Mexico City, ukubwa wa eneo sio tatizo kama una walinzi na ulinzi wa kutosha...Ukraine hayo majimbo manne ayasahau maisha yake yote hata kama mkataba wa Amani utafikiwa
 
Back
Top Bottom