Urusi: Rais Putin kuwalipa Tsh. 398,436, raia wanaohamia kutoka Ukraine

Urusi: Rais Putin kuwalipa Tsh. 398,436, raia wanaohamia kutoka Ukraine

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Rais Vladimir Putin leo Agosti 27, 2022 amesaini amri ya kuwalipa kiasi hicho cha fedha watu wote walioondoka Ukraine na kuhamia Urusi wakiwemo Wastaafu, Wajawazito na Walemavu.

Amri hiyo iliyowekwa kwenye tovuti ya serikali, inaweka malipo ya pensheni ya kila mwezi kwa waliolazimika kuondoka nchini Ukraine tangu Februari 18, 2022.

Urusi pia imekuwa ikiwapa raia wa Ukraine Passport za kusafiria zenye uraia wa nchi hiyo, kitu ambacho Ukraine na Marekani zinadai ni juhudi za Putin kuchukua ardhi inayoishikilia tangu kuanza vita kati ya nchi hizo mbili.

=====================


Russian President Vladimir Putin on Saturday signed a decree introducing financial benefits for people who left Ukrainian territory to come to Russia, including pensioners, pregnant women and disabled people.

The decree, published on a government portal, establishes monthly pension payments of 10,000 roubles ($170) for people who have been forced to leave the territory of Ukraine since Feb. 18. Disabled people will also be eligible for the same monthly support, while pregnant women are entitled to a one-off benefit.

The decree says the payments will be made to citizens of Ukraine and the self-styled Donetsk and Luhansk People's Republics - two breakaway Russian-backed entities in eastern Ukraine that Moscow recognised as independent in February in a move condemned by Ukraine and the West as illegal.

On Feb. 18, Putin ordered every person who arrived in Russia from Donetsk and Luhansk to be given a payment of 10,000 roubles.

REUTERS
 
Looks like special military operation not going so well
IMG_20220827_204649.jpg
 
Back
Top Bottom