escapee
Senior Member
- Feb 1, 2020
- 175
- 302
Well done putin,
Mizungu mpaka inyooke safari hii
Kwani Putin ni mwarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well done putin,
Mizungu mpaka inyooke safari hii
Akili kaziweka makalioni pimbi huyoWewe ni mbwa. Kwani uongo? Tena mbwa jike unayetaka dume
Wapumbav wengi Sana humu ,akikujibu unitagKwani Putin ni mwarabu?
Hiyo laki 4 kasoro unadhani ni kitu hapo kwa ulaya?🤔Duuh jamaa kweli kajipanga
Yani uuliwe ndugu zako udanganywe na laki 3. Watu kama nyie sijui niwaweke kwenye kundi gani.Jamaa anakupiga,anamaliza anajenga,akimaliza kujenga ana wapa chakula na dawa,akimaliza anawapa Uhuru wa kupinga kura ya kuwa sehemu ya Urusi kisha mnapatiwa hati za kusafiri,badaye anawapa mafao.
Hii strategy anaweza chukua Ukraine nzima.
Aah tatizo nimesema tu putin piga wazungu mpaka wanyooke, ndio niwe mbwa?T
Tatizo nini mpaka mfikie huku.Kweli nyie vijana mtapata katiba mpya ?Tozo ya mabando iongezwe.
kwani biden na EU wamewapa sh ngapi ?We naye mbwa Tu TSH laki tatu ndio nini ? ,Yaani huyo mpuuz kasababisha destruction na vifo halafu analipa watu TSH laki tatu ,wtf ,are you serious ?
We naye mbwa Tu TSH laki tatu ndio nini ? ,Yaani huyo mpuuz kasababisha destruction na vifo halafu analipa watu TSH laki tatu ,wtf ,are you serious ?
Wote. MijibwaWewe ni mbwa. Kwani uongo? Tena mbwa jike unayetaka dume
Laki 3 gesi bure umeme bure maji bure...putin mtu m badiii sasa hivi waukrain watakimbilia urusiWe naye mbwa Tu TSH laki tatu ndio nini ? ,Yaani huyo mpuuz kasababisha destruction na vifo halafu analipa watu TSH laki tatu ,wtf ,are you serious ?
Kwani kima Cha chini Tanzania ni sh ngapi mkuu. Serikalini 270,000 watu binafsi 90,000. Acha nyodo , hizo ni fedha nyingi kwa Kila mwezi.Laki tatu???? Hata Kenya huwez ishi ,
Mkuu jua ,kuna kodi ,chakula,mtu akutoe hapa akupeleke Kenya ukaanze life na watoto alafu akupe lak 4 utaweza kweli?Kwani kima Cha chini Tanzania ni sh ngapi mkuu. Serikalini 270,000 watu binafsi 90,000. Acha nyodo , hizo ni fedha nyingi kwa Kila mwezi.
Inapendeza...
Mbona ni hela ndogo sanaRais Vladimir Putin leo Agosti 27, 2022 amesaini amri ya kuwalipa kiasi hicho cha fedha watu wote walioondoka Ukraine na kuhamia Urusi wakiwemo Wastaafu, Wajawazito na Walemavu.
Amri hiyo iliyowekwa kwenye tovuti ya serikali, inaweka malipo ya pensheni ya kila mwezi kwa waliolazimika kuondoka nchini Ukraine tangu Februari 18, 2022.
Urusi pia imekuwa ikiwapa raia wa Ukraine Passport za kusafiria zenye uraia wa nchi hiyo, kitu ambacho Ukraine na Marekani zinadai ni juhudi za Putin kuchukua ardhi inayoishikilia tangu kuanza vita kati ya nchi hizo mbili.
=====================
Russian President Vladimir Putin on Saturday signed a decree introducing financial benefits for people who left Ukrainian territory to come to Russia, including pensioners, pregnant women and disabled people.
The decree, published on a government portal, establishes monthly pension payments of 10,000 roubles ($170) for people who have been forced to leave the territory of Ukraine since Feb. 18. Disabled people will also be eligible for the same monthly support, while pregnant women are entitled to a one-off benefit.
The decree says the payments will be made to citizens of Ukraine and the self-styled Donetsk and Luhansk People's Republics - two breakaway Russian-backed entities in eastern Ukraine that Moscow recognised as independent in February in a move condemned by Ukraine and the West as illegal.
On Feb. 18, Putin ordered every person who arrived in Russia from Donetsk and Luhansk to be given a payment of 10,000 roubles.
REUTERS
Asije nogewa akafika bongolend[emoji41][emoji41][emoji41]Jamaa anakupiga,anamaliza anajenga,akimaliza kujenga ana wapa chakula na dawa,akimaliza anawapa Uhuru wa kupinga kura ya kuwa sehemu ya Urusi kisha mnapatiwa hati za kusafiri,badaye anawapa mafao.
Hii strategy anaweza chukua Ukraine nzima.
Kuna mwanadiplomasia mstaaf wa us alidai kuwa us watasaidia nyuma ya pazia lkn ikifika mwez wa kum km bado ngoma ngumu wanaweza ingia front laiv