Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Maisha ya russia ni simple sana. Mkate ni jero ya kibongo tuLaki tatu???? Hata Kenya huwez ishi ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ya russia ni simple sana. Mkate ni jero ya kibongo tuLaki tatu???? Hata Kenya huwez ishi ,
🤔🤔☹️☹️Usinikumbushe kabisa yule kiumbeUwezo anao basi? Anajitutumua lkn amekaribia ukingoni.
Putin anatabia kama za Jiwe alivyokuwa akinunua wabunge wa upinzani
Hata warusi ni wazunguAah tatizo nimesema tu putin piga wazungu mpaka wanyooke, ndio niwe mbwa?
Inawezekana jamaa ni wazungu
Ndicho wanachopitia Warusi.🤔🤔☹️☹️Usinikumbushe kabisa yule kiumbe
Hahaaaaa mkuu acha masiharaMaisha ya russia ni simple sana. Mkate ni jero ya kibongo tu
Na pia hakuna ubaya mzungu kupiga wazungu,Hata warusi ni wazungu
Walioua uchumi wao wanajulikana mnaficha vichwa ardhini huku mawowowo mnayaacha juu hakuna mjinga asieelewa kwa sasa nani ana hali ngumuNdicho wanachopitia Warusi.
Putin anajitutumua lkn ameua uchumi wa watu wake. Mashirika mengi yamefungwa na yalikuwa yananufaisha Warusi moja kwa moja
Pale mjuaji mjinga anapojitutumuaWalioua uchumi wao wanajulikana mnaficha vichwa ardhini huku mawowowo mnayaacha juu hakuna mjinga asieelewa kwa sasa nani ana hali ngumu
Pale mjuaji mjinga anapojitutumua
Wewe hapa tz una uhuru afu unalipwa laki 2 tena kwa jasho na damu nyingi sana lkn wenzio wanakula kiulainiiii,We naye mbwa Tu TSH laki tatu ndio nini ? ,Yaani huyo mpuuz kasababisha destruction na vifo halafu analipa watu TSH laki tatu ,wtf ,are you serious ?
Kweli putin anakera sio kwa povu hili,Wewe ni mbwa. Kwani uongo? Tena mbwa jike unayetaka dume
Natamani sana afike hadi huku, itapendeza sana
[emoji1787]Jamaa anakupiga,anamaliza anajenga,akimaliza kujenga ana wapa chakula na dawa,akimaliza anawapa Uhuru wa kupinga kura ya kuwa sehemu ya Urusi kisha mnapatiwa hati za kusafiri,badaye anawapa mafao.
Hii strategy anaweza chukua Ukraine nzima.
Wewe nchi Yako inakuwa hata buku1 ?We naye mbwa Tu TSH laki tatu ndio nini ? ,Yaani huyo mpuuz kasababisha destruction na vifo halafu analipa watu TSH laki tatu ,wtf ,are you serious ?
Wana mhaho [emoji1787]Mnashangaza sana, kwani cost of living nchini Urusi ni wakiwango gani, labda tuanzie hapo kwanza na sio mnakimbilia ku-condemn Putin bila ya kufanya utafiti kwanza - kumbukeni "no research, no right to speak"- kumbukeni Putin is light years ahead of western leaders conspiracy - subirini atakuja kuwashangaza wengi.
Kwanini usiweze kama nchi Yako imesha collapse!? Na hapo waweza kukuta Bado Kuna fursa za kupewa kazi ufanye then unalipwaMkuu jua ,kuna kodi ,chakula,mtu akutoe hapa akupeleke Kenya ukaanze life na watoto alafu akupe lak 4 utaweza kweli?
[emoji1787]Na pia hakuna ubaya mzungu kupiga wazungu,
Sasa sijui kwanini wazungu weusi wamekasirika mpaka kuniita mbwa,
Ila sishangai kwani wazungu ndiyo wanavyofundishana huko kwenye mafunzo yao so hakuna ajabu
He's geniusWewe hapa tz una uhuru afu unalipwa laki 2 tena kwa jasho na damu nyingi sana lkn wenzio wanakula kiulainiiii,
Putin ni mtu na robo 3
GB1 iwe 10,000Tshs.T
Tatizo nini mpaka mfikie huku.Kweli nyie vijana mtapata katiba mpya ?Tozo ya mabando iongezwe.