Anachofanya Israel, marekani na hao mabwana zako Wa ulaya hukioni kwan hao Ukraine ndugu zako ushawahi sikia wao wanasikitika kuhusu vita za huku Africa Fanya yako kijana.Washenzi sana; unavamia nchi ya watu; unamwaga damu zisizo na hatia halafu unaleta ujinga! Putin alaaniwe milele.
So, Putin anafanya anayoyafanya kwa kuwa Israel inafanya hivyo au?Anachofanya Israel, marekani na hao mabwana zako Wa ulaya hukioni kwan hao Ukraine ndugu zako ushawahi sikia wao wanasikitika kuhusu vita za huku Africa Fanya yako kijana.
NdioSo, Putin anafanya anayoyafanya kwa kuwa Israel inafanya hivyo au?
Were you in a coma? Kwamba umezinduka hivi karibuni au?Tokea mwanzo... Kabya ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
Atakwambia unaleta propagandaWere you in a coma? Kwamba umezindika hivi karibuni au?
Wapii. Kabla ya vita kuanza Zelenskyy alimsihi Sana Putin. EU ilimsihi sanavPutin asianzishe vita. Hadi Macron alienda Kremlin.Tokea mwanzo... Kabya ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
Miaka 25 Urusi amehubiri wokovu kwa Ukraine.So, Putin anafanya anayoyafanya kwa kuwa Israel inafanya hivyo au?
Wokovu wa vipi Mkuu? Ukraine irudi na kuwa jimbo la Urusi?Miaka 25 Urusi amehubiri wokovu kwa Ukraine.
... hata hakumbuki UN's SG alidhalilishwa sana na Putin kwa kuwekwa at the end of a very long table an indication that he (Putin) didn't to hear from him about the Ukrainian saga. Pope naye pamoja na kumsihi sana dikteta aliishia kudhalilishwa.Wapii. Kabla ya vita kuanza Zelenskyy alimsihi Sana Putin. EU ilimsihi sanavPutin asianzishe vita. Hadi Macron alienda Kremlin
Pumbav Sana na uharibifu wa Mali na maisha ya watu waliosababisha ,kenge wekundu hao ,ngoja waendelee kunyoodhwa na Himars saa hivi wataitema hata Crimea na watanyoodhwa mpaka MoscowMzuka Wanajamvi!
Waziri wa mambo ya nje Urusi Sergey Lavrov amesema Urusi haipingi Wala kukataa kukaa chini kwenye meza ya mazungumzo Negotiation table na Ukraine.
Ameendelea kutahadharisha jinsi wanavyojichelewesha kwenye huu mchakato ndivyo mambo yatakuwa magumu kwao kufikia makubaliano na sisi.
Quote from Lavrov: "We are not opposed to negotiations, but those who are must realise that the longer they delayed this process, the more difficult it would be for them to reach an agreement with us."
Senior JF geopolitics expert and analyst!
Masters
Tunaongelea anachofanya Russia pimbi wewe , elewa madaAnachofanya Israel, marekani na hao mabwana zako Wa ulaya hukioni kwan hao Ukraine ndugu zako ushawahi sikia wao wanasikitika kuhusu vita za huku Africa Fanya yako kijana.
Wanashangaza sana hawa madikteta.mazungumzo ya nini.wakati wao ndo wameanzisha vita
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbuTokea mwanzo... Kabya ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
@Galip Vrl msikilize huyu.Wokovu wa vipi Mkuu? Ukraine irudi na kuwa jimbo la Urusi?
UN hata congo hawatakiwi na wananchi,unamshangaa Putin... hata hakumbuki UN's SG alidhalilishwa sana na Putin kwa kuwekwa at the end of a very long table an indication that he (Putin) didn't to hear from him about the Ukrainian saga. Pope naye pamoja na kumsihi sana dikteta aliishia kudhalilishwa.
Putin anayeonewa kama wananchi wa huko Congo au sio?UN hata congo hawatakiwi na wananchi,unamshangaa Putin View attachment 2353920