Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Hivi huu mgogoro mnaujua kweli?ushabiki ukizid utaolewa , Biden alionya na Putin alisema hana mpango wa kuivamia Ukraine , pia rais wa ufaransa na counsellir wa Austria bila kusahau Waziri mkuu wa Israel wote walienda Moscow ila Putin alichomoa , sasa tuambie lin Putin alitaka suluhu ?