Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Kwamba vita imemshinda sasa anataka maongezi? Atulie hivyohivyo kama alivyoanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulitaka Ukraine isijiunge NATO Mana ndicho Putin alitakaTokea mwanzo... Kabya ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
Na mkataba waliwekeana wasijitanue kuongeza eneo hata nchi mbili,UN na papa(kunradhi) walikua wapi?ulitaka Ukraine isijiunge NATO Mana ndicho Putin alitaka
Huyo tatizo ni dini yakeSo, Putin anafanya anayoyafanya kwa kuwa Israel inafanya hivyo au?
... ananuka udini kila pahala hawezi kuelewa. Wa kumwacha kama alivyo.Huyo tatizo ni dini yake
umetaja majina ya nchi nyingi ila sijaona ukiitaja nchi tunayoizungumzia hapa kuvamiwa nayo ni Ukraine , sasa tunakuomba ustick kweny mada je ni sahihi Urusi kuivamia Ukraine halaf sasa hv ndo akumbuke suluhuAnachofanya Israel, marekani na hao mabwana zako Wa ulaya hukioni kwan hao Ukraine ndugu zako ushawahi sikia wao wanasikitika kuhusu vita za huku Africa Fanya yako kijana.
ushabiki ukizid utaolewa , Biden alionya na Putin alisema hana mpango wa kuivamia Ukraine , pia rais wa ufaransa na counsellir wa Austria bila kusahau Waziri mkuu wa Israel wote walienda Moscow ila Putin alichomoa , sasa tuambie lin Putin alitaka suluhu ?Tokea mwanzo... Kabla ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
miaka 25 Ukraine alikubali kuwa Neutral kuanzia uhalali wa kuwa mshirika wa umoja wa ulaya , huku Urusi akipambana kujiunga na umoja wa ulaya ila yeye hatak Ukraine isijiunge na umoja wa ulaya , km umoja wa ulaya ni tishio kwa Urusi kwann Urusi anataka kujiunga na maadui zake ambao ni umoja wa ulaya ?Miaka 25 Urusi amehubiri wokovu kwa Ukraine.
upo OP ,sijui ni ukichaa au mawenge , bakia kweny madaUN hata congo hawatakiwi na wananchi,unamshangaa Putin View attachment 2353920
ila yeye mkataba wa kutovamiana aliusahau ? akaivamia Crimea mwaka 2014Na mkataba waliwekeana wasijitanue kuongeza eneo hata nchi mbili,UN na papa(kunradhi) walikua wapi?
Usihamishe mjadala we mvaa kobasAnachofanya Israel, marekani na hao mabwana zako Wa ulaya hukioni kwan hao Ukraine ndugu zako ushawahi sikia wao wanasikitika kuhusu vita za huku Africa Fanya yako kijana.
Sijui kwanini wenye mrengo ule ni vichwa maji sanaTunaongelea anachofanya Russia pimbi wewe , elewa mada
Siku hizi ninakuelewa sana wewe kiumbeUkiwa mwongo uwe na kumbukumbu
Hakika hii vita Ukraine watamnyonya Putin macho, atamfuata hadi nchini mwake utashangaa atakavyosakamwa kama walivyomfsnyizia mshirika wake wa karibuKwamba vita imemshinda sasa anataka maongezi? Atulie hivyohivyo kama alivyoanza.
We mapatano gani yaani cha kwangu kilichobaki ndio kikae mezani kujadiliwa ila ulichoniibia ndo cha kwako umejimilikisha tayari.Tokea mwanzo... Kabla ya hii SMO, Russia walijitahidi Sana kufanya mapatana, lakini Zelensy na US walikataa.
Always, Russia amekuwa positive na ishu ya negotiations.
Ukiufanya utamaduni wako ukawa dini wafuasi lazima wawe wehu.Sijui kwanini wenye mrengo ule ni vichwa maji sana
So, Putin anafanya anayoyafanya kwa kuwa Israel inafanya hivy
Mnaoiponda urusi sijui mnaelewa siasa za nje za marekan, hii vita mrusi anajitetea ni sawa na rwanda waje zanzibar kuungana nayo unafikiri tanganyika itakubaliWapii. Kabla ya vita kuanza Zelenskyy alimsihi Sana Putin. EU ilimsihi sanavPutin asianzishe vita. Hadi Macron alienda Kremlin.