Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiumie sana Kremlin haina ADs maana nimeona drone imelipuka juu ya bati, iweje ifike kuleNimekuelewa tu ukweli,leta habari kama ilivyo!
Vyombo vya habari vyote vimereport jaribio Hilo la drones lilikuwa intercepted,wewe unabadili habari Ili Iweje?
Au unaona ni sawa kulishana habari za uongo?
Natuliaje wakati kuna debe tupu linapiga kelele?!!!Basi tulia ka wanyolewa
Imelipuka tu Yenyewe?Taarifa inasema zimekuwa intercepted,wewe unasema zimelipuka!Usiumie sana Kremlin haina ADs maana nimeona drone imelipuka juu ya bati, iweje ifike kule
Sio Putin tu,hata NATO wanamzuia Ukraine kushambulia Urusi Kwa silaha wanazompa!Hii vita inapiganwa sio fair kabisa Putin anaona ni sawa kushambulia ardhi ya Ukraine ila Urusi sio sahihi
Kwa sababu Urusi ni Supa-pawa...Kwanini Putin anaona ni sahihi Kiev kuwaka moto lakini si ruksa kwa upande wa Urussi?
Siwezi kujibu Hilo maana sijui!Nilichoeleza ni kile kilichoripotiwa!Kwa hiyo hawakuziona hadi zifikw roof top?
Nimesema siwezi kujua Nini kimetokea,vp kama ni mabaki ya drone baada ya kulipuliwa yakasababisha motoKaangalie video nyingine rooftop imeonekana inawaka moto
Kweli?Putin ameagiza viongizi wote wa Ukraine akiwemo zelensky wauwawe.
Hana lolote toka anaivamia Ukrean anasema mpaka sasa choka mbaya, nikikutajia ndaro alizosema toka vita inaanza nitajaza ukurasa hapa, kesha ami yako putinMajibu mtayapata,Russia kasema!
Teh tena inaweza ikawa urusi imejitekenya yenyewe ipate sababu ya kuwachapa..... Maana wameshambulia ila shambulio limefeliHaina shida muhimu nayo iwe magofu raia wachukie kinachofuata mtajuana wenyewe ila huu mwaka hauishi kichaa wenu atakuwa amepelekwa mbele za Haki kujibu mashtaka yake.