Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Hana lolote toka anaivamia Ukrean anasema mpaka sasa choka mbaya, nikikutajia ndaro alizosema toka vita inaanza nitajaza ukurasa hapa, kesha ami yako putin
Choka mbaya wamagharibi wangekua wanalialia na vikwazo........ Tena vita kua ndefu imekua advantage kwa urusi. Kwenye kuishusha dola na kuipa nguvu BRICS
 
"Kitendo cha kutaka kumuua Rais wa nchi ni ugaidi tena wa wazi Rusia utalipa kea njia inayoona inafaa"

Kwa jinsi ninavyomjua Putin bila kulila kwa tukio hilo itakuwa dharau kubwa hapo tutegemee breaking news kutokea Kiev.
 
🤣🤣🤣 maskini Zelensky,kamekatalia Finland.

Immediately after the Kremlin's statements about the attempted using a drone, Finnish television reported that Zelensky "will stay in Finland longer than planned."
The original schedule called for a one-day visit
 
Choka mbaya wamagharibi wangekua wanalialia na vikwazo........ Tena vita kua ndefu imekua advantage kwa urusi. Kwenye kuishusha dola na kuipa nguvu BRICS
Mkuu vikwazo vimemuathiri putini juzi amekiri vikwazo vya west sasa vinaanza kuiathiri Urusi, US toka vita inaanza walipitisha badget ya miaka 5 kumshughulikia putin hivyo sasa ndio kwanza mwaka, putini alipotangaza ataivamia Ukrean alisema atatumia 72hrs tu kumaliza kila kitu Ukrean lakini baadae ngoma alipoona ni ngumu akasema miezi 6 sasa mwaka umeisha anapigana kwa hasara

Juzi juzi Urusi wamepitisha sheria Wananchi wa Russia kukatwa mishahara yao 2% ili wachangie gharama za vita ukrean, Vita ameianzisha Putin lakini sasa wanaenda kuchangishwa wananchi wa Urusi, hivyo tutarajie njaa Urusi, Warusi waliandama mpaka na kuwekwa jela kwa maelfu kupinga Urusi kuvamia majirani zao lakini Putin hakusikia sasa wananchi wake ndio wanalipa price ya vita.

Kama haitoshi ilibidi apeleke raia wake vitani kwa nguvu alipwapa mikataba na wengine walikimbia kusikojulikana na wafungwa baada ya uhaba wa wanajeshi wake kuuliwa kama kuku, na kundi la Wagner group kiongozi wao ametangaza kujitoa Bakhmut mana hawana silaha kila siku wanauliwa zaidi ya 1000 na kuziweka maiti kwenye coffin majeneza na kurejesha maiti walikotoka.
 
Mkuu vikwazo vimemuathiri putini juzi amekiri vikwazo vya west sasa vinaanza kuiathiri Urusi, US toka vita inaanza walipitisha badget ya miaka 5 kumshughulikia putin hivyo sasa ndio kwanza mwaka, putini alipotangaza ataivamia Ukrean alisema atatumia 72hrs tu kumaliza kila kitu Ukrean lakini baadae ngoma alipoona ni ngumu akasema miezi 6 sasa mwaka umeisha anapigana kwa hasara

Juzi juzi Urusi wamepitisha sheria Wananchi wa Russia kukatwa mishahara yao 2% ili wachangie gharama za vita ukrean, Vita ameianzisha Putin lakini sasa wanaenda kuchangishwa wananchi wa Urusi, hivyo tutarajie njaa Urusi, Warusi waliandama mpaka na kuwekwa jela kwa maelfu kupinga Urusi kuvamia majirani zao lakini Putin hakusikia sasa wananchi wake ndio wanalipa price ya vita.

Kama haitoshi ilibidi apeleke raia wake vitani kwa nguvu alipwapa mikataba na wengine walikimbia kusikojulikana na wafungwa baada ya uhaba wa wanajeshi wake kuuliwa kama kuku, na kundi la Wagner group kiongozi wao ametangaza kujitoa Bakhmut mana hawana silaha kila siku wanauliwa zaidi ya 1000 na kuziweka maiti kwenye coffin majeneza na kurejesha maiti walikotoka.
Angalia uchumi wa urusi na nchi za ulaya magharibi wakina nani wanasota,,,, Ufaransa kwa sasa ni mwendo wa maandamano tu. Hali ngumu ya maisha
 
Kuna mawili,
1.Ukraine imekuwa desperate kuona Bakhmut inaanguka,kaamua liwalo naliwe.
2. Huenda ni inside job ya Urusi kuhalalisha kutangaza vita kamili.
Anyway,Kwa Putin ajifunze sasa,anacheka na kima sasa anavuna mabua.
Urusi isingependa kutangaza vita kamili.Ukishatangaza vita umeruhusu washirika wa Ukraine nao kuingia maxima kitu ambacho Putin naye anaogopa.Pia akitangaza vita maana yake Ukraine naye ruksa kurusha makombora Urusi.Kumbuka hadi Leo warusi wanaambiwa ni Operation wakati ni vita kamili ndani ya Ukraine.
 
Urusi isingependa kutangaza vita kamili.Ukishatangaza vita umeruhusu washirika wa Ukraine nao kuingia maxima kitu ambacho Putin naye anaogopa.Pia akitangaza vita maana yake Ukraine naye ruksa kurusha makombora Urusi.Kumbuka hadi Leo warusi wanaambiwa ni Operation wakati ni vita kamili ndani ya Ukraine.
Yaani uingereza au Marekani aingie vita ya moja Kwa moja na nuclear superpower?aisee umetoa boko sana
 
Maadaui wa Putin wako ndani ya Urusi.Train za Urusi zinazobeba vitfaa vya kivita zinakutana na misuko suko.Mwisho utaona Russia imekamata warusi lakini atasema walitumwa na Ukraine.Putin akili yake imechoka hivyo anatafuta uhalali wa kuendelea kubaki madarakani.
 
Back
Top Bottom