Urusi: Uvumi wa kuwa silaha za wamagharibi (US+NATO) ni 'superweapons' unayeyuka mithili ya theluji mchana wa jua kali

Urusi: Uvumi wa kuwa silaha za wamagharibi (US+NATO) ni 'superweapons' unayeyuka mithili ya theluji mchana wa jua kali

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Ule uvumi kuwa silaha za wamagharibi ni 'superweapons' (bora zaidi) unayeyuka kama theluji/barafu mchana wa jua kali. Waziri wa Ulinzi wa Urusi General Shoigu amezungumza ktk kongamano la usalama la kimataifa leo Jumanne.

Waziri huyo amesema silaha zote zilizomiminwa Ukraine na mataifa yote ya magharibi ikiwemo Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Canada na hata Australia toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi ya Urusi hazijaweza kufua dafu nchini Ukraine.

Waziri Shoigu akafafanua kuwa mwanzoni ilipigiwa chapuo upelekaji wa Javelin na 'unique' drones na zikapigiwa promo kuwa ni 'superweapons', zingebadili hali ya mambo Ukraine. Hivi karibuni HIMARS na Howitzers ndio zimepigiwa promo na wamagharibi ati ndio 'superweapons'. Lakini silaha zote hizo zinafeli Ukraine.

General huyo akaongezea kuwa Urusi inazisoma vyema silaha hizo inazozikamata vitani.
======


Screenshot_20220816-170032_Chrome.jpg
Screenshot_20220816-170142_Chrome.jpg
 
Silaha za western hamna kitu uwezi amini wakati Iran inashambulia kambi za marekani huko iraq hakuna hata mfumo wa spy satellite ulioweza kuona wakati mataifa 30 ya nato yakitumia kila aina ya silaha kasoro nuclear lakini wamelishindwa kundi la Taliban lililo kuwa linatumia bunduki ya AK 47 tu
 
Angalieni tu drone za waasi WA yemen zinavyo lipua battery za patriot na c ram yaani hawa waasi hawana hata satellite lakini wanavyo lipua hizo battery duuu

Drone zao zinavyo piga missele angani utasikia twiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii twaaaaaaaaaa(ujue mtu kashapigwa hapo)
 
Crimea juzi imelipuliwa kwa Makombora ndege Tisa zimeharibiwa,Leo tena imebutuliwa ghala la silaha linawaka huko. Ile mifumo yenu S300 S400 S500 sijui ilikua wapi kudaka Makombora?!

Pale Kherson Himars kila siku zinalipua Daraja Air defenses za Urusi zinashindwa kudaka vikombora vya Himars
 
Silaha za western hamna kitu uwezi amini wakati Iran inashambulia kambi za marekani huko iraq hakuna hata mfumo wa spy satellite ulioweza kuona wakati mataifa 30 ya nato yakitumia kila aina ya silaha kasoro nuclear lakini wamelishindwa kundi la Taliban lililo kuwa linatumia bunduki ya AK 47 tu
Western wanatumia media zao na viwanda vya movie huko Hollywood kuandaa propaganda lkn ukija kwenye uhalisia ni weupe kama mbunye ya mtoto mchanga[emoji23][emoji23]
 
Angalieni tu drone za waasi WA yemen zinavyo lipua battery za patriot na c ram yaani hawa waasi hawana hata satellite lakini wanavyo lipua hizo battery duuu

Drone zao zinavyo piga missele angani utasikia twiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii twaaaaaaaaaa(ujue mtu kashapigwa hapo)

Ukisikiaaaa paaah [emoji95]
 
Crimea juzi imelipuliwa kwa Makombora ndege Tisa zimeharibiwa,Leo tena imebutuliwa ghala la silaha linawaka huko. Ile mifumo yenu S300 S400 S500 sijui ilikua wapi kudaka Makombora?!

Pale Kherson Himars kila siku zinalipua Daraja Air defenses za Urusi zinashindwa kudaka vikombora vya Himars
Kherson haijawa RUSSIA aloripua crimea nani tujuze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom