Urusi: Uvumi wa kuwa silaha za wamagharibi (US+NATO) ni 'superweapons' unayeyuka mithili ya theluji mchana wa jua kali

Urusi: Uvumi wa kuwa silaha za wamagharibi (US+NATO) ni 'superweapons' unayeyuka mithili ya theluji mchana wa jua kali

Kumbukizi 1: Javelin ikifanyiwa promo kuwa ni superweapon, a game changer!
View attachment 2325492

Vita wanayo shinda akina: Zelensky/Biden/Poland ni vita vya kwenye mitandao and MSM basi.

Silaha zote wanazo pewa kutoka magharibi haziwezi kubadiri chochote katika mwenendo mzima wa vita huko Ukraine, bado Russia ina uwezo mkubwa wa kufanikisha kutimiza malengo yake yote aliyo kusudia kuyatekeleza - Ulaya na USA wataendelea kutuletea maigizo yao yaku exaggerate uwezo wa silaha zao lakini hawasemi chochote zinapo teketezwa na makombora ya Urusi - masaa yote wanakanusha kwa nguvu zao zote pindi jeshi la Russia linaposema limefanikiwa ku-intercept rokets nyingi za HIMARS, pamoja ni kuharibu HIMARS systems/launcher sita kati ya 12 zinazo milikiwa na jeshi la Ukraine,wengine wanashindwa kutofautisha kati ya roketi zinazo rushwa na HIMARS na HIMARS system yenyewe as a Rocket launcher.

Pindi Warusi wanapo tangaza kuharibiwa/teketezwa silaha za US, basi US wana kawaida ya kukanusha vikali ukweli huo na baadhi ya Waswahili wamo katika ukanushaji - US na baadhi ya Waswahili wanataka kuleta an impression as if silaha za US ni invincible/indestructible na wanakasirika kweli kweli ukitoa maoni mbadala,wengi wao hawana habari kwamba picha nyingi na video clips zinazo letwa kwenye mitandao na jeshi la Zelensky ni za kugushi tu ie digitally manipulated nyingine ni za conflicts ya 2014/15, lakini media za magharibi na mitandao wana broadcast hivyo hivyo kimakisudi mradi wazuge Dunia kwamba Rusia inaelekea kushindwa vita, hawazungumziii chochote kuhusu maeneo yaliyo kwisha tekwa na kukaliwa na jeshi la Urusi - uongo mwingi sana sana, mpaka juzi hapa nilimuona Generali wa Ujerumani akisema kwamba madai ya Zelensky kwamba ataweza kukomboa majibo yaliyo tekwa na Urusi ikiwemo Crimea - hizo ni ndoto za mchana, lakini kuna watu wanambishia hata mtu ambaye ni professional soldier mwenye rank ya juu kwenye jeshi la magharibi/NATO.
 
Ule uvumi kuwa silaha za wamagharibi ni 'superweapons' (bora zaidi) unayeyuka kama theluji/barafu mchana wa jua kali. Waziri wa Ulinzi wa Urusi General Shoigu amezungumza ktk kongamano la usalama la kimataifa leo Jumanne.

Waziri huyo amesema silaha zote zilizomiminwa Ukraine na mataifa yote ya magharibi ikiwemo Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Canada na hata Australia toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi ya Urusi hazijaweza kufua dafu nchini Ukraine.

Waziri Shoigu akafafanua kuwa mwanzoni ilipigiwa chapuo upelekaji wa Javelin na 'unique' drones na zikapigiwa promo kuwa ni 'superweapons', zingebadili hali ya mambo Ukraine. Hivi karibuni HIMARS na Howitzers ndio zimepigiwa promo na wamagharibi ati ndio 'superweapons'. Lakini silaha zote hizo zinafeli Ukraine.

General huyo akaongezea kuwa Urusi inazisoma vyema silaha hizo inazozikamata vitani.
======


View attachment 2325465View attachment 2325466
Hiyo ni Jana himaras.Hizo s300na s400 mbona hatuoni maajabu
IMG_20220815_192823.jpg
 
Silaha za western hamna kitu uwezi amini wakati Iran inashambulia kambi za marekani huko iraq hakuna hata mfumo wa spy satellite ulioweza kuona wakati mataifa 30 ya nato yakitumia kila aina ya silaha kasoro nuclear lakini wamelishindwa kundi la Taliban lililo kuwa linatumia bunduki ya AK 47 tu
Hahaha kama hamna kitu mbona iran ilipo lipua ndege ya abiria ya Ukraine ilitaka kukana Marekan alifichua ndipo Waka kubali wali juaje?afu mbona hamna maana ya S400 na S300
 
Ule uvumi kuwa silaha za wamagharibi ni 'superweapons' (bora zaidi) unayeyuka kama theluji/barafu mchana wa jua kali. Waziri wa Ulinzi wa Urusi General Shoigu amezungumza ktk kongamano la usalama la kimataifa leo Jumanne.

Waziri huyo amesema silaha zote zilizomiminwa Ukraine na mataifa yote ya magharibi ikiwemo Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Canada na hata Australia toka kuanza kwa operesheni ya kijeshi ya Urusi hazijaweza kufua dafu nchini Ukraine.

Waziri Shoigu akafafanua kuwa mwanzoni ilipigiwa chapuo upelekaji wa Javelin na 'unique' drones na zikapigiwa promo kuwa ni 'superweapons', zingebadili hali ya mambo Ukraine. Hivi karibuni HIMARS na Howitzers ndio zimepigiwa promo na wamagharibi ati ndio 'superweapons'. Lakini silaha zote hizo zinafeli Ukraine.

General huyo akaongezea kuwa Urusi inazisoma vyema silaha hizo inazozikamata vitani.
======


View attachment 2325465View attachment 2325466
maneno mengi , atujibu kwann aliondoka kyiev na hajawai kurud tena
 
Naona mmefungua kijiuzi chenu huku mjifariji.

Babu yenu mwenyewe kaukubali mziki wa USA kashaasha kubweka hatusikii tena zile tambo za kuweka tayari kikosi cha nyuklia,kweli kenge hua hasikii mpaka damu ianze kumtoka masikioni
Putin accuses US of trying to ‘drag out’ war in UkraineView attachment 2325501
Putin ni kichaa anaona yeye kuua wa ukraine ni haki yake yaan anajiona mungu na wavaa vipedo km kawaida yao washaingizwa chaka wanamsapoti hlf watamkataa baadae , km walivyomuua Ghadaf leo ndo wanamuona mtume wao
 
Western wanatumia media zao na viwanda vya movie huko Hollywood kuandaa propaganda lkn ukija kwenye uhalisia ni weupe kama mbunye ya mtoto mchanga[emoji23][emoji23]
Kwa ukubwa wa Urusi tangu aseme yupo km 11 kuingia kyiev bas angekuwa kaiteka Ukraine ,au media zinatunganya labda Ukraine itakuwa ilitekwa kitambo
 
Vita wanayo shinda akina: Zelensky/Biden/Poland ni vita vya kwenye mitandao and MSM basi.

Silaha zote wanazo pewa kutoka magharibi haziwezi kubadiri chochote katika mwenendo mzima wa vita huko Ukraine, bado Russia ina uwezo mkubwa wa kufanikisha kutimiza malengo yake yote aliyo kusudia kuyatekeleza - Ulaya na USA wataendelea kutuletea maigizo yao yaku exaggerate uwezo wa silaha zao lakini hawasemi chochote zinapo teketezwa na makombora ya Urusi - masaa yote wanakanusha kwa nguvu zao zote pindi jeshi la Russia linaposema limefanikiwa ku-intercept rokets nyingi za HIMARS, pamoja ni kuharibu HIMARS systems/launcher sita kati ya 12 zinazo milikiwa na jeshi la Ukraine,wengine wanashindwa kutofautisha kati ya roketi zinazo rushwa na HIMARS na HIMARS system yenyewe as a Rocket launcher.

Pindi Warusi wanapo tangaza kuharibiwa/teketezwa silaha za US, basi US wana kawaida ya kukanusha vikali ukweli huo na baadhi ya Waswahili wamo katika ukanushaji - US na baadhi ya Waswahili wanataka kuleta an impression as if silaha za US ni invincible/indestructible na wanakasirika kweli kweli ukitoa maoni mbadala,wengi wao hawana habari kwamba picha nyingi na video clips zinazo letwa kwenye mitandao na jeshi la Zelensky ni za kugushi tu ie digitally manipulated nyingine ni za conflicts ya 2014/15, lakini media za magharibi na mitandao wana broadcast hivyo hivyo kimakisudi mradi wazuge Dunia kwamba Rusia inaelekea kushindwa vita, hawazungumziii chochote kuhusu maeneo yaliyo kwisha tekwa na kukaliwa na jeshi la Urusi - uongo mwingi sana sana, mpaka juzi hapa nilimuona Generali wa Ujerumani akisema kwamba madai ya Zelensky kwamba ataweza kukomboa majibo yaliyo tekwa na Urusi ikiwemo Crimea - hizo ni ndoto za mchana, lakini kuna watu wanambishia hata mtu ambaye ni professional soldier mwenye rank ya juu kwenye jeshi la magharibi/NATO.
unaandika Pumba , yaan Kutoka kujificha kweny maandak had kuzurura hadharan huon kuwa warusi wamerudishwa nyuma ? still unaita vita vya mtandao ?
 
Kumbukizi 2: Stinger ikifanyiwa promo kuwa ni superweapon, a Game Chager!
View attachment 2325493

Huu ndio ujinga wa wapuuzi hawa, ujeuri,majivuno and all vices you can imagine - mkuu, just keep your cool utakuja kuniambia- I can assure you kwamba muda si mrefu kuanzia sasa Uncle SAM ataanza ku-loose interest kwenye vita ya Ukraine baada ya ku-realise kwamba wanatwanga maji kwenye kinu hawawezi kushindana na Putin who is unquestionably mega smart upstairs and a very canny tactician kwa masuala ya vita na Geopolitics, hivi sasa mambo yanavyo kwenda huko Ukraine ni wazi kwamba Biden hasipokuwa makini ya Afghanistan na VietNam yatakuja kujirudia tena huko Ukraine - as always Americans never seems to learn from their past mistakes.

Oh, one more thing - if the Western Vampires wannabe weirdo believes they gonna eat alive Vlad Putin for being a formidable opponent of western inept hegemony - they're dead wrong, Putin atawavurumisha huko Ukraine na kuwapa fundisho la mwaka - yetu macho,tuombe uzima.
 
Naona mmefungua kijiuzi chenu huku mjifariji.

Babu yenu mwenyewe kaukubali mziki wa USA kashaasha kubweka hatusikii tena zile tambo za kuweka tayari kikosi cha nyuklia,kweli kenge hua hasikii mpaka damu ianze kumtoka masikioni
Putin accuses US of trying to ‘drag out’ war in UkraineView attachment 2325501
Ngoja nikukumbushe sakata la kuweka nyuklia tayari lilikuaje ww kilaza wa pro NATO.
Ilikuwa hivi, Ufaransa iliiambia Urusi inapaswa kujua kuwa ulaya ina silaha za nyuklia,hapo hapo Putin akawaambia wanajeshi wake waandae silaha za nyuklia kwa lolote, NATO nzima ikaufyata.
 
Crimea juzi imelipuliwa kwa Makombora ndege Tisa zimeharibiwa,Leo tena imebutuliwa ghala la silaha linawaka huko. Ile mifumo yenu S300 S400 S500 sijui ilikua wapi kudaka Makombora?!

Pale Kherson Himars kila siku zinalipua Daraja Air defenses za Urusi zinashindwa kudaka vikombora vya Himars
Swala la kulipulua sio la muhimu,maana vitatengenezwa vingine,hapa maumivu ya maeneo ya Ukraine kuchukuliwa ndio swala la kuzungumzia.
 
Vita wanayo shinda akina: Zelensky/Biden/Poland ni vita vya kwenye mitandao and MSM basi.

Silaha zote wanazo pewa kutoka magharibi haziwezi kubadiri chochote katika mwenendo mzima wa vita huko Ukraine, bado Russia ina uwezo mkubwa wa kufanikisha kutimiza malengo yake yote aliyo kusudia kuyatekeleza - Ulaya na USA wataendelea kutuletea maigizo yao yaku exaggerate uwezo wa silaha zao lakini hawasemi chochote zinapo teketezwa na makombora ya Urusi - masaa yote wanakanusha kwa nguvu zao zote pindi jeshi la Russia linaposema limefanikiwa ku-intercept rokets nyingi za HIMARS, pamoja ni kuharibu HIMARS systems/launcher sita kati ya 12 zinazo milikiwa na jeshi la Ukraine,wengine wanashindwa kutofautisha kati ya roketi zinazo rushwa na HIMARS na HIMARS system yenyewe as a Rocket launcher.

Pindi Warusi wanapo tangaza kuharibiwa/teketezwa silaha za US, basi US wana kawaida ya kukanusha vikali ukweli huo na baadhi ya Waswahili wamo katika ukanushaji - US na baadhi ya Waswahili wanataka kuleta an impression as if silaha za US ni invincible/indestructible na wanakasirika kweli kweli ukitoa maoni mbadala,wengi wao hawana habari kwamba picha nyingi na video clips zinazo letwa kwenye mitandao na jeshi la Zelensky ni za kugushi tu ie digitally manipulated nyingine ni za conflicts ya 2014/15, lakini media za magharibi na mitandao wana broadcast hivyo hivyo kimakisudi mradi wazuge Dunia kwamba Rusia inaelekea kushindwa vita, hawazungumziii chochote kuhusu maeneo yaliyo kwisha tekwa na kukaliwa na jeshi la Urusi - uongo mwingi sana sana, mpaka juzi hapa nilimuona Generali wa Ujerumani akisema kwamba madai ya Zelensky kwamba ataweza kukomboa majibo yaliyo tekwa na Urusi ikiwemo Crimea - hizo ni ndoto za mchana, lakini kuna watu wanambishia hata mtu ambaye ni professional soldier mwenye rank ya juu kwenye jeshi la magharibi/NATO.
Huyo Russia yeye kafika wapi na ngonjera ya kuiteka Ukraine kwa masaa 72 hivi hayo masaa 72 bado hayajatimia tu.
 
West silaha zao ni za kawaida sana wanazifanyia sana promo ila ukweli hazina maajabu. Leo turkey kasaini dili la kununua S-400 nyingine kumbukeni Turkey ni member wa NATO
Turkey ametumwa kufanya hivo, wewe mrussia wa buza huwezi kung’amua hili na njaa yake mrussia anauza tu
 
Duh! na kila wananayo kamata wanacopy tecnologia na kuimprove
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Raha sana Wana kazi mpya ya kuunda silaha mpya ambazo hazitokuwa Zina fahamika na adui hii ni kazi nzito
 
Back
Top Bottom