Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
WAUAJI hawa sio ISIS.ISIS..
ni kama yale mafunzo ya wanafunzi wanayopewa kwa kificho kule dodoma ambayo serikali i.epiga marufuku
Mnakana ndugu zenu wahhabi 🤣🤣Mitandao ya machoko na wafuasi wao humu JF walikuwa wameshaanza kukata viuno kwa ngoma ya jirani
Wale ni waislamu ndo waliofanya tukio la ugaid usitake kuamisha magoliMitandao ya machoko na wafuasi wao humu JF walikuwa wameshaanza kukata viuno kwa ngoma ya jirani
UKraine imekuwa mbuzi wa kafara shida ya bwana putin alicheza na mbwa msikitini acha wamtie adabuWAUAJI hawa sio ISIS.
VIDEO ZOTE ZA MAGAIDI HAWA WAKIHOJIWA, wanakiri kua kuingizwa mkenge na majasusi wa Ukraine.
Sasa Marekan na Ulaya, wameamua kuwalisha wajinga baadhi wa hapa Duniani uongo waamini kua ni ISIS .
Marekan na Ulaya, kuanzia tarehe 8 mwezi huu, walitoa waraka kuwaonya Raia wao juu ya kutotembelea maeneo yenye mikusanyiko.
Hata wewe mashoga wa US na Ulaya wanaweza kukupa passpoti na kukupa jina la kiislamu kwa hela mbuzi tuWale ni waislamu ndo waliofanya tukio la ugaid usitake kuamisha magoli
Hizi picha hata wewe unaweza kuzipiga ndani pagala lako ukaziweka mtandaoni
njaa hizi dola 5500 inamponza anakubali kufanya ugaidi. mimi hata unipe matrilioni bwana we sikubali huo upuuzi.🤣🤣🤣umekuja mbio kutetea gaidi mwenzako
View: https://twitter.com/OCanonist/status/1771487718465310778?t=qhRxzTb5XWogwi1PIrYFDA&s=19
Nimeshare tu. Jamaa wataminywa vizuri mpaka watasema, nani kawatuma kuua watuHizi picha hata wewe unaweza kuzipiga ndani pagala lako ukaziweka mtandaoni
Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.Nao walikuwa na matukio mengi ya namna hii kule Xinjiang wamepakana na Afghanistan.
Kuanzia miaka ya 90 matukio ya kujilipua na kushambulia watu kwa risasi yalichachamaa sana kwa sasa pamepoa.
Kuna kitu walikifanya wanajua wao wenyewe wakomunisti wale.
Mbna anatetemeke sana mdomo na mwili🤣🤣🤣umekuja mbio kutetea gaidi mwenzako
View: https://twitter.com/OCanonist/status/1771487718465310778?t=qhRxzTb5XWogwi1PIrYFDA&s=19
Maandiko yale changamoto sana yakikaa kichwani basi biashara imeishanjaa hizi dola 5500 inamponza anakubali kufanya ugaidi. mimi hata unipe matrilioni bwana we sikubali huo upuuzi.
Kaingia cha kike wamezoea kusumbua wayahudiMbna anatetemeke sana mdomo na mwili
Isis= Israel = USAkwani kuna mpya tena wakati magaidi wa islamic wahhabi kutoka tajikistan 🤣🤣