Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Uzi unahusu shambulio la urusiHata wewe mashoga wa US na Ulaya wanaweza kukupa passpoti na kukupa jina la kiislamu kwa hela mbuzi tu
Kwani umekula leo ?
Hii mbona kama Movie au ni mimi tu naona?Wanaukumbi.
BREAKING: INTERROGATION VIDEO OF MOSCOW TERROR SUSPECT
HE CLAIMS HE WAS RECRUITED VIA TELEGRAM:
'Police: “What did you do in Crocus?”
Suspect: “Shot.”
Police: “Whom?”
Suspect: “People.”
Police: “For what?”
Suspect: “For money. Half a million Rubles.”
Police: “Where did you get the weapons?”
Suspect: “They delivered the weapons themselves.”
Police: “Who are they?”
Suspect: “I don’t know. They wrote by Telegram without a name, without anything.”
BREAKING: VIDEO YA KUHOJIWA YA MTUHUMIWA WA UGAIDI MOSCOW
ANADAI ALIAJIRIWA KUPITIA TELEGRAM:
'Polisi: "Ulifanya nini huko Crocus?"
Mtuhumiwa: "Piga risasi."
Polisi: "Nani?"
Mtuhumiwa: "Watu."
Polisi: "Kwa nini?"
Mtuhumiwa: "Kwa pesa. Rubles nusu milioni."
Polisi: "Ulipata wapi silaha?"
Mshukiwa: "Walikabidhi silaha wenyewe."
Polisi: "Ni akina nani?"
Mtuhumiwa: "Sijui. Waliandika na Telegram bila jina, bila chochote.
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1771504136179077548?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Walioshambulia ni waislamu na ndo magaid yenyeweIsis= Israel = USA
Mtandanganyana humu ila Hamtandanganya Putin ambaye anajua mchezo yote.
1. Isis waliomba msamaha walivyowapiga bahati mbaya Israel
2. Isis wakiumia wanatibiwa Israel
3. Viongozi wa Isis wanaajiriwa Israel/Usa
4. Obama kwa mdomo wake Amewahi kukiri kuwapa msaada Isil
5. Trump kwa mdomo wake amekiri Isis ni zao la Usa
6. Viongozi kibao ambao wamewahi kukamatwa wa isis ni agents wa mosad na picha zao zipo
7. Maofisa mbalimbali wa FBI wamewahi kukiri Isis ni kikundi cha Usa.
Chagua point yoyote hapo juu Nakuekea source isio na mashaka.
Mpuuzi pekee ndio ataamini ISis ni kundi la kiisilamu.
Hii mbona kama Movie au ni mimi tu naona?
Kuna kitu Putin anataka kuficha hapa au NATO.
Hapa hakuna Guide.
Ni mara ngapi Criminal interogation ambayo ni very sensitivr kiasi hiki inakuwa Published na the Very Special Security Forces tena kwenye hatua za Awali?
Thubutu!
Kwanza Han na Uyghur ni ethnic mbili tofauti.Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.
Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
Huyu tayari kashakatwa kende zote na hapo mateso makali hadi kifo kinamjia
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema kila aliyehusika kwenye shambulizi lililowaua Watu zaidi ya 100 hadi sasa katika eneo la Crocus City Hall Nchini Urusi atakumbana na adhabu kali ambapo amesisitiza kuwa watamshughulikia kuanzia aliyewatuma hadi waliotekeleza uhalifu huo.
Akihutubia Wananchi wa Urusi leo Putin ameliita shambulizi hilo kuwa ni shambulizi la damu na la kishenzi ambapo amesema kwa sasa nguvu kubwa inaelekezwa kwenye kuwazuia walio nyuma ya shambulizi hilo wasifanye uhalifu mwingine huku pia akitoa pole kwa wote walioguswa na kuumizwa na vifo na majeruhi yaliyotokana na shambulizi hilo.
Shambulizi hilo la kigaidi ambalo Kikundi cha Kigaidi cha ISIS kimedai kuhusika nalo, limetokea usiku wa kuamkia leo ambapo Vijana walioficha sura zao waliwashambulia Watu kwa risasi na kulipua jengo hilo.
Mapema leo Mamlaka za usalama Nchini Urusi zilimfahamisha Rais Putin kwamba zimewakamata Watu 11 wakiwemo wanne ambao wamehusika moja kwa moja na shambulizi hilo, Watu hao wamekamatwa wakiwa wanavuka mpaka wa Urusi na Ukraine na walikuwa na mawasiliano na upande wa Ukraine.
Ni miaka miwili sio kuwaua tu viongozi wa ukraine bali ilitaka ichukue nchi nzima ya ukraine lakin mpaka sahivi wameshindwaUrusi inasema itawaua viongozi wa Ukraine iwapo watahusishwa na shambulizi la kigaidi mjini Moscow.
Kawasaidie,
Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.
Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
The FAKE NEWS about ISIS was released by the Ukrainian Telegram channels and the media, all in order to shift the blame from themselves. The perpetrators are active soldiers in the Ukrainian Army.Thubutu!
Halafu majuzi hapa huyu Putin eti kashinda uchaguzi 🤣.
Laughable!
Waislamu wanajifariji kwamba china hana tatizo na uislamu lakin hakuna nchi ina watreat vibaya waslamu kama chinaKwanza Han na Uyghur ni ethnic mbili tofauti.
Hilo neno wachina limebebwa na Han.
Hao mambo ya Hui achana nayo maana hata wao mara nyingi tu wanakosana serikali ya Beijing.
Unataka kubisha kuwa Xinjiang na Afghanistan hazijapakana ?
Na unataka kubisha kuwa hakuwepo terrorism Xinjiang hasa miaka ya 2000 ?
Hakuna mu-ukraine anmuonekano ule watu wa ukraine ni wazungu sio kama waleThe FAKE NEWS about ISIS was released by the Ukrainian Telegram channels and the media, all in order to shift the blame from themselves. The perpetrators are active soldiers in the Ukrainian Army.
China haina tatizo lolote na Uislam wala dini yoyote as long as ukifuata principle za serikali iliyopo Beijing.Waislamu wanajifariji kwamba china hana tatizo na uislamu lakin hakuna nchi ina watreat vibaya waslamu kama china View attachment 2942685
Duh 🤣😂😁😁 astaghafirullahView attachment 2942624
Ndio maana uchinani hawataki masihara